N'gwasi D. Kamani, the most brilliant lawyer from Tanzania i have ever met

N'gwasi D. Kamani, the most brilliant lawyer from Tanzania i have ever met

Nilifahamiana na N'gwasi D. Kamani kwa mara ya kwanza mwaka 2017 akiwa bado binti mbichi kabisa mwenye umri wa miaka 20/21. Yes she was just born in 1996.

Nilikutana nae kwenye event moja jijini Darusalama.

The kind of events which are attended only by people who really matters in this country.

Alikuwa anasoma Law School Of Tanzania Cohort ya 24, a Fresh LIB Graduate from St.Augustine University of Tanzania ( SAUT- Mwanza)

Rafiki zake walimwita simply "Mwasi" Na Mimi kwenye Uzi huu nitamuita Mwasi.

Niliambiwa N'gwasi kwa kisukuma maana yake ni msichana, kama ilivyo kwa kilingala (Mwasi. Mfano Mwasi Kitoko = Msichana mzuri)

Tulikuwa tumekaa kwenye meza moja kubwa iliyo zungungukwa na viti kumi na viwili.

Vitu alivyo kuwa akiviongea na hoja alizo kuwa akizijenga ikilinganishwa na umri wake vilini fanya niprove beyond any reasonable doubt ndani ya nafsi yangu kwamba ama kwa hakika this fine specie of a woman before me, is undoubtebly extremly brilliant. She only spoke relevant facts and relevant facts only

Ukiniambia nitunge sentensi moja kuhusu N'gwasi D. Kamani i will simply say , Mwasi D. Kimani is a very brilliant lady.


Kupitia maongezi ya hapo kwenye meza niligundua kwamba huyu mdada is a Lawyer in the making. She was pursuing her Diploma in Legal Practising at the Law School Of Tanzania and Of course I said to my self sijawahi KUKUTANA na lawyer or a lawyer to be wa kitanzania ambae yupo brilliant kama huyu dada " Mwasi "

Niliomba namba zake za simu na tukawa marafiki wakubwa sana na msichana huyu makini smart brilliant na mtoto wa tajiri kutoka kwao huko jijini Mwanza.

To be honest with u guys, I have got a very deep respect toward this girl na huwaga naamini atakuja kufika mbali sana kwenye career yake kama ninavyo amini kuhusu Jokate Mwegelo na Khadija K.Ismail.

Kutokana na heshima kubwa niliyo nayo kwa Mwasi, mwaka 2020 Nilipata mtoto wa kike and I named her after her.

Can u imagine? Mimi sio msukuma lakini nimempa mtoto wangu wa kike jina la kisukuma. Yani ni sawa na wewe mnyakyusa umuite mtoto wako Kokushubila simply kwa sababu umependezwa na msichana wa kihaya aitwae Kokushubila.


Ukiona mtanzania anampa mtoto wake jina la kikabila la mtanzania mwingine kwa sababu ya mtanzania huyo basi jua mtanzania huyo ana sifa za kipekee sana.

Nilisomaga na jamaa anaitwa Zamoyoni Massawe.

Baba ake mzee Massawe alimkubali sana Zamoyoni Mogella hadi akaamua kumuita mtoto wake jina la kiluguru/kizaramo wakati yeye ni mchagga. ( Zamoyoni Massawe baba ako alikuwaga anauza supu kwenye bar Manzese miaka ya 95 tukiwa darasa la 4 ni wewe ndo nakuzungumzia hapa)


Kwa wale wasio fahamu, I am a Gemini. We the Gemini people across the world , are characterised by one common character , the which character is we have the most biggest Egos on the face of planet earth.

When u think about the Gemini people u think about people like:

Donald Trump

Kanye West

T.I.D

Jide

Diva the Bawse

Tupac

Biggie etc .

Ni watu wenye big ego and arrogancy. We think we are the gods of this planet ( of course we are)

Ukiona mpaka nimefikia hatua ya kumkubali mtu kiasi cha kumpa mtoto wangu jina lake basi jua there is something special about that person.

Mwasi never speak nonsense.



When she speak one time I listen a million times.

Rule numbre uno: Mwasi is never wrong when she speak.


Rule number 2: if u think she is wrong then refers to rule number 1.


Rule no 3: If u think she is very very wrong then you should regard the " wrong" thing as a new idea.


Mh. N'GWASI D.KAMANI, The Advocate of the High Court of Tanzania and subordinate courts there too save for primary courts.

With due respect. I beg to agree with your statement.

Sura ya Samia iwekwe kwenye hela ya Tanzania..

Sio mnatuwekea picha ya tembo, nyoka, twiga au Simba.

Wewe unaweza kumshika tembo wewe? Unaweza kumshika Simba au nyoka wewe?

Wenzako walio weka picha ya tembo na nyoka na Simba wanakutukana kiutu uzima wanakwambia kwa lugha ya picha kwamba huwezi kushika hela wewe kama ambavyo huwezi kumshika tembo utabaki kuwa masikini.

Mwasi ameshauri iwekwe picha ya mama Samia badala ufurahie wewe unataka iendelee kukaa picha ya tembo ili usiendelee kushika hela. ( kwa sauti ya Mzee Mpili; we mjinga nini???)

Wewe ponda tu kauli ya Mwasi , Utaendelea na ufala wako wa kutokushika hela hivyo hivyo.

# Mama Kizimkazi.

# Samia mbele kwa mbele.
# Naunga mkono hoja ya Mh.Mwasi
Hivi ni binti yake Dr Titus Kamani ?
 
Hata January kuna wapumbavu walikuwa wanamdanganya yupo smart akawa anajikuta smart kumbe ni parachichi tu.

Huyu Nyasi unayemsema ni brilliant, anaweza kuwa mzuri kwenye field yake ya sheria lakini si katika uongozi.

Kuwa kiongozi inahitaji uwe mzalendo,decision maker mzuri na uwe charismatic katika level ambayo utashawishi wenzako wakubaliane na mawazo yako.

Kama hapo ameongea hoja ya kipumbavu tu, hana u brilliant wowote na hana uzalendo wowote ni chawa tu, hakunaga chawa wazalendo, chawa always ni kujipendekeza apate chochote.

Being brilliant, wise or intelligent is not enough.
 
Kama unaona kuweka picha ya huyo bibi kwenye noti kutapunguza umaskini wa waTanzania na kutaleta maisha bora basi noti zote wekeni picha yake

BUT IF NOT

Achane ujinga..Hali ni ngumu mtaani serikali tafuteni namna ya kupunguzu ugumu wa maisha kwa kupunguza bei za bidhaa
My friend why have you chosen to be poor while there is a plenty of money every where?
Hata January kuna wapumbavu walikuwa wanamdanganya yupo smart akawa anajikuta smart kumbe ni parachichi tu.

Huyu Nyasi unayemsema ni brilliant, anaweza kuwa mzuri kwenye field yake ya sheria lakini si katika uongozi.

Kuwa kiongozi inahitaji uwe mzalendo,decision maker mzuri na uwe charismatic katika level ambayo utashawishi wenzako wakubaliane na mawazo yako.

Kama hapo ameongea hoja ya kipumbavu tu, hana u brilliant wowote na hana uzalendo wowote ni chawa tu, hakunaga chawa wazalendo, chawa always ni kujipendekeza apate chochote.

Being brilliant, wise or intelligent is not enough.
Sema hujaelewa alicho kisema. Ameongea kitu kikubwa sana ni ngumu mno kwa mtu asie penda kuwaza kuelewa alicho kisema Mwasi
 
Brilliant Lawyer ameshinda case ngapi za Individual Client au za Nchi yetu????
Tofautisha kati ya Majukumu ya msingi/ professional ya mtu na majukumu mengineyo
Unafikiri kazi ya mwanasheria ni kushinda kesi ama?
 
Mtu hajawahi tatua hata kesi ya panya na paka unamwita brilliant labda kama hilo neno huijui maana yake, uchawa mwingine Hadi unakuwa chizi
Don't limit urself in the understanding of the term " brilliant"
 
Kwa kigezo cha kua mwanamke wa kwanza Rais ni sawa, ila kwa maana ya utendaji, hakuna jambo remarkable alilofanya Samia kustahili recognition hiyo.
 
Once an arrogant person get to the point of having a confidence, basi hatari sana, she has Dip, is she brilliant?? Is it??? we got 10 flat A’s, in Advance 3 flat A’s and distinction in UD and Self pay 8 figure salary after all deductions paying myself, and built Co’s in a self made fortunes, paying all taxes and dues, employing and creating job 100+ for others, yet another hooligan with Dip just meet in a street or a bar side talking in a chair and decorating a human being with unknown background in anything or any field of expertise, in a single day, just in empty decorated words, hopeless, pumbaf again and again..!!
 
Duu, nilikua nafanya nae issue moja bila kujua ni Gemini, ningejua ni Gemini ningejua how to handle her. Mimi ni virgo, tukiwa na gemini ni paka na panya. Maana wote wajuaji😂😂😂
 
Once an arrogant person get to the point of having a confidence, basi hatari sana, she has Dip and she is brilliant?? Is it??? we got 10 flat A’s, in Advance 3 flat A’s and distinction in UD and Self pay 8 figure salary after all deductions paying myself, and built Co’s in a self made fortunes, paying all taxes and dues, employing and creating job 100+ for others, yet another hooligan with Dip just meet in a street or a bar side talking in a chair and decorating a human being with unknown background in anything or any field of expertise, in a single day, just in empty decorated words, hopeless, pumbaf again and again..!!
Mention the name of ur company here so that we satisfy ourselves that ur not talking about a ghost
 
Duu, nilikua nafanya nae issue moja bila kujua ni Gemini, ningejua ni Gemini ningejua how to handle her. Mimi ni virgo, tukiwa na gemini ni paka na panya. Maana wote wajuaji😂😂😂
Nope yeye sio Gemini Mimi ndio Gemini. Do u agree with me about her? Kwamba She is very smart and brilliant?
 
Kwa kigezo cha kua mwanamke wa kwanza Rais ni sawa, ila kwa maana ya utendaji, hakuna jambo remarkable alilofanya Samia kustahili recognition hiyo.
Yote heri
 
Mjinga mmoja tu huyo ana hoja za kijinga, sema ulitanguliza hisia ukashindwa kumdadisi
 
Once an arrogant person get to the point of having a confidence, basi hatari sana, she has Dip and she is brilliant?? Is it??? we got 10 flat A’s, in Advance 3 flat A’s and distinction in UD and Self pay 8 figure salary after all deductions paying myself, and built Co’s in a self made fortunes, paying all taxes and dues, employing and creating job 100+ for others, yet another hooligan with Dip just meet in a street or a bar side talking in a chair and decorating a human being with unknown background in anything or any field of expertise, in a single day, just in empty decorated words, hopeless, pumbaf again and again..!!
Heshima kwako mkuu
 
Mjinga mmoja tu huyo ana hoja za kijinga, sema ulitanguliza hisia ukashindwa kumdadisi
She is smart. Wewe una muona mjinga kwa sababu huna hela. Ukiwa huna hela kila mtu unakuwa unaona kama anazingua vile
 
Ni binti wa Damas Kamani.

Mdogo wake na Dr Titus Kamani. Damas Kamani ni mfanyabiashara wa Mwanza.
U know her? Unakubaliana ma.mimi kwamba she is very smart and brilliant?
 
Back
Top Bottom