N'gwasi D. Kamani, the most brilliant lawyer from Tanzania i have ever met

sijasoma yote lakini baadaye nitarudi.
inaonekana inaweza kunivutia nikaanza weekend vzr.
 
What is all this rubbish you have written??? Broken English all over the place for a start!!!!!!. You would be wiser to keep your admiration for the lady to yourself. Pathetic!!!!!
 
 
What is all this rubbish you have written??? Broken English all over the place for a start!!!!!!. You would be wiser to keep your admiration for the lady to yourself. Pathetic!!!!!
Wacha bana.
 
Kesho saa 4 kamili uje hapa ofisi za GPA (Gemini peoople association) kitaru a shekilango.
Uje na viambatanisho hivi
1.barua ya maelezo ya kuandika huu upumbafu tangu chama kusimikwa
2.kadi yako ya uanachama kwa maamuzi yeyote
3.mali za chama ulizonazo za kuhamishika
Aidha mwenyekiti anatoa rai wajumbe mpuuze hii post ni ya watu wasioitakia mema taasisi yetu
Wenu
Katibu mwenezi GPA
......
The only
 
Yaani brilliant asome SAUT? tupunguze uchawa.....angekuwa brilliant angesoma walau UDSM na angekuwa recommended kuwa academician, na leo hii angekuwa anayo Masters au PhD kutoka Harvard.​
 
Yaani brilliant asome SAUT? tupunguze uchawa.....angekuwa brilliant angesoma walau UDSM na angekuwa recommended kuwa academician, na leo hii angekuwa anayo Masters au PhD kutoka Harvard.​
tusikariri sana watu wanabadilika wengi wenye maisha mazuri na mafanikio ni wale wasioenda shule kubwa na wengi tunatumwa mjini na wao.
huwezi kujua huwenda wakati wa mitihani alikuwa awe period lakini ikatokea siku zake zikagoma na kusababisha wenge ikashusha uwezo wake wa kufanya vizuri.
 
Yaani brilliant asome SAUT? tupunguze uchawa.....angekuwa brilliant angesoma walau UDSM na angekuwa recommended kuwa academician, na leo hii angekuwa anayo Masters au PhD kutoka Harvard.​
Mimi nimesoma udsm pia . Ingawa sijasoma sheria lakini records za Law School zinaonyesha graduates wa SAUT ndio wanao fanya vizuri zaidi kwenye mitihani ya LST.

Hata huyu Mwasi alifaulu First sitting mitihani ya Law School Cohort ya 24 wakati kuna graduates kibao tu wa udsm mpaka leo bado wanasota.


Kingine hiyo status ya udsm ilikuwaga miaka ya 2005 kushuka chini sasa udsm inaonekana ya kawaida tu kama vyuo vingine na graduates wake wengi tu wamekuwa bodaboda ubungo Msewe na Changanyikeni.



3. Mwasi ni mtoto wa tajiri. And she is her father's daughter huenda baba ake hakutaka mtoto wake akasome mbali na nyumbani ndio maana dogo kasomea SAUT. Kumbuka Mwasi ni mtoto wa mwaka 96 tu. Hiyo mwaka 2017 alikuwa na miaka 20/21. Kama ameingia law school na miaka 21 ukitoa na miaka minne ya llb maana ake ameingia first year akiwa na miaka 16 au 17.


Cha mwisho kama Mwasi angekuwa amesoma St Augustine miaka ya 80 au 90 hoja yako ingeweza kuwa na mashiko kwa sababu kipindi hicho chuo kilikuwa udsm pekee labda na mzumbe.

Mwasi ni mtoto wa juzi hapa kitoto cha 96 wakati wewe upo form four mwaka huo
 
My friend why have you chosen to be poor while there is a plenty of money every where?

Sema hujaelewa alicho kisema. Ameongea kitu kikubwa sana ni ngumu mno kwa mtu asie penda kuwaza kuelewa alicho kisema Mwasi
Chawa tu.
 
Hisia na mahaba ya wazi yasio na msingi yametapakaa katika uzi.
Taifa haliwezi kukurupuka tu na kuweka picha ya raisi wa sasa katika fedha, kwakua mwanasheria bla bla bla kasema hivyo.
Lakini sishangai, dunia ya sasa ukitaka watu wakuskilize zungumzia Wanawake, Mashoga na watoto utapewa kila sikio
 
Huwezi kuwa Gemini wewe
 
Huwezi kuwa Gemini wewe
Nimezaliwa same day na 2pac.ndo maana gemini wengi wako aganst system sio machawa wa mama kizimkazi kama ww na mwijaku.
Jaydee anafahamika alikuwa against magu na ushenzi wake
2pac aliuawa na system
Trump yuko against system
Gemini mm nikienda popote anaeongea ukweli na haogopi mtu 70 per huwa sisi wahuni wa gemini.
 

Usikariri mkuu hata Giggy Money ana share the same birthday with Pac. Masha Love na yeye ni Gemini pia. Bila kuwasahau TID na Diva the Bawse.

Biggie Smalls alikuwa Gemini pia.

Gemini ni watu ambao wana amini wana akili nyingi kushinda watu wengine na huo ndio udhaifu wao mkubwa.

Mbona Biggie hakuwa against the government?
 
Watu tuko gizani for several months, productivity imeshuka, kazi haziendi, mapato yameyumba maji hakuna etc etc alafu unakuja na post kama hii yakipumbavu kabisa! Shame on you and your whole clan!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…