NHIF: Tumeona matangazo ya Hospitali zinazositisha huduma, wamekiuka mkataba

NHIF: Tumeona matangazo ya Hospitali zinazositisha huduma, wamekiuka mkataba

Mzee tuliza pressure hii Tanzania ili uendane nayo lazima ujifanye mjinga mjinga maana kunamambo Yana umiza ukiishi kwenye uhalisia utaishia kuumia tu na hakuna kitakacho badirika na mimi nimechagua upande huo
🤣🤣🤣na mie nimeamua kujiburudisha na kile kinywaji usichokipenda yaani chai ya hilikišŸ˜€
 
Ukiondoa Kairuki hizo zingine siyo za wahindi kweli?!
Tulisema tuwe makini na hao watu wanajipenyeza mdogomdogo ila madhara yao watapata wajukuu na vitukuu vyetu
Ni wahindi hao wengine

Km wamekiuka mkataba na makubaliano,serikali inawachukulia hatua gani ?
 
1709267677219.png
1709267677219.png
 
Izo hospital zifutiwe vibari haraka sana
Huna uwezo wa kupambanua mambo!!
Ni Hospitali pekee zenye vifaa karibu vyote vya kisasa!!Hata MUHIMBILI haigusi Kwa Aga khani.

Hizo Hospitali zina MRI na CT scan ni Hospitali ngapi za serikali zenye huduma hii?
Hizo Hospitali tajwa zote zina huduma ya Pathology diagnostic ni Hospitali ngapi zenye huduma ??
 
haya ndio matokeo ya kuembemelezana kila mtu anajifanya mbabe!! vituo vya afya wababe, wfnyabahra wa sukari wababe!!!

viongozi wetu wasipo kuwa wakali basi wasitegemee kusonga mbele.
 
Huna uwezo wa kupambanua mambo!!
Ni Hospitali pekee zenye vifaa karibu vyote vya kisasa!!Hata MUHIMBILI haigusi Kwa Aga khani.

Hizo Hospitali zina MRI na CT scan ni Hospitali ngapi za serikali zenye huduma hii?
Hizo Hospitali tajwa zote zina huduma ya Pathology diagnostic ni Hospitali ngapi zenye huduma ??
CT scan sikuizi had hospital za mikoa zipo hakuna cha ajabu hapo
 
Kwahiyo serikali mmeona suruhisho ni kusajili hospital nyingine na huko pia mkadhurumu kweli nimeamini kukopa sherehe kulipa matanga serikali ya ajabu sana hii najua mpango wenu serikali ni mmoja tu kwa sasa kuhakikisha hizo hospital zilizogomea zinajuta na kodi. Mnasemaga mwaga mboga na mwaga ugališŸ˜‚šŸ˜‚
 
Serikali imewataka wateja na wanachama wa Bima wasiwe na Hofu hivyo kwenda kwenye Hospitali na Vituo vya afya ambavyo havijagoma kupatiwa huduma..
Kama Hospitali za serkali na Hospitali za Mashirika ya Dini, Ili kupatiwa huduma..

Nani yuko Nyuma ya kutunishiana Msuli huku kati ya Serikali na Vituo vya afya anayeumia ni Mwanachama..
20240301_082359.jpg
 
Back
Top Bottom