Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 4,740
- 7,179
Repoti zinasema yeye ndo aliyeleta janga hilo hapo nhif, ni tetesi za muda mrefu sana,Duh enzi za JPM hakukua na migomo kihivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Repoti zinasema yeye ndo aliyeleta janga hilo hapo nhif, ni tetesi za muda mrefu sana,Duh enzi za JPM hakukua na migomo kihivi
Mungu wa Mbinguni mrehemu Shujaa MagufuliDuh enzi za JPM hakukua na migomo kihivi
Zile tetesi kwamba alichota mihela nhif kupeleka kwenye miradi vp?Hata NHIF hawakua wakizingua hivi
R.i.P John....😥
Siyo kweliRepoti zinasema yeye ndo aliyeleta janga hilo hapo nhif, ni tetesi za muda mrefu sana,
Hela zilichukuliwa pssf acheni uzushiZile tetesi kwamba alichota mihela nhif kupeleka kwenye miradi vp?
Watu si waende huko sasa? Unadhani hawazioniCT scan sikuizi had hospital za mikoa zipo hakuna cha ajabu hapo
Magu angeendelea kusihi hizi mambo zingemkuta yeye mwenyeweHela zilichukuliwa pssf acheni uzushi
Ohhhh...Zile tetesi kwamba alichota mihela nhif kupeleka kwenye miradi vp?
Hata mzee wetu wa ruksa ilikua tetsi mpaka jana, hata magu mwenyew ilikua tetesi mpaka kutangazwa, tetesi inategemea zinatoka wapiOhhhh...
Kumbe ni tetesi🤔
Sio Tetesi Tena maana Zimethibit8shwa na CAGZile tetesi kwamba alichota mihela nhif kupeleka kwenye miradi vp?
Mambo Ni MwayangumwayanguMambo holela...... Serikali holela..... Kishikaji zaidi.....
Kwako UshimenSio Tetesi Tena maana Zimethibit8shwa na CAG
View attachment 2921110
Ila ni kajitawi ka serikali.... ambayo ina vyombo vyenye mamlaka.NHIF haina mandate ya kufuta leseni ya usajili wa hospitali...
Tatizo NHIF wanatumia ubabe Kwa sababu ya nguvu ya serikalizama za kukurupuka zimeisha
watasikilizwa na Muafaka utafikiwa, NHIF nao walizungunza nao na kufanya tathmini ya gharama za uendeshaji kabla ya kuja na hizo bei elekezi ?
Na ndio wataanza mwenda huko ni swala la mdaWatu si waende huko sasa? Unadhani hawazioni
Sawa mkuuNa ndio wataanza mwenda huko ni swala la mda