Mr Sir1
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 1,749
- 7,945
Hawa mbwa wanacheza na uhai wa watu.
Yani kwa ajili ya urasimu wao wa kipumbavu wanataka kuanza kupiga dana dana wagonjwa. NHIF ni janga la taifa na kama yalivyo majanga mengine ya taifa hili litaishia hivyo hivyo kuwa janga.
Bila ya kupenda wote tutaambiwa turundikane hospitali za serikali zisizo na huduma.
Yani kwa ajili ya urasimu wao wa kipumbavu wanataka kuanza kupiga dana dana wagonjwa. NHIF ni janga la taifa na kama yalivyo majanga mengine ya taifa hili litaishia hivyo hivyo kuwa janga.
Bila ya kupenda wote tutaambiwa turundikane hospitali za serikali zisizo na huduma.