DOKEZO NHIF wanataka kutuua na dawa za bei chee

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ccm ni wanyonya damu, mbwa kabisa,
 
Shida na kwa upande wa watoa huduma ipo, wanaweza kukupa dawa ya India lakini mfuko wa NHIF ukadaiwa bei ya dawa ya ujerumani. Mungu tuokoe waja wako kwani mboga na ugali vyote vya moto!
 
Shida na kwa upande wa watoa huduma ipo, wanaweza kukupa dawa ya India lakini mfuko wa NHIF ukadaiwa bei ya dawa ya ujerumani. Mungu tuokoe waja wako kwani mboga na ugali vyote vya moto!
Unazijua bei za dawa za Ujerumani?...Umeziona bei za dawa za NHIF?...fanya homework yako usiwe mvivu...hilo fuko lenu haliwezi kulipa dawa ya Germany hata iwe Paracetamol
 
Kwenye Maandamani ya MWanza mww yenye mtoo ali andamana? kumbuka yalikuwa ya amani.

Sikiliza hizi kulalamika hazisaidii kitu, Watawala wanajua fika wanatawala aina gani ya Raia, watawala sio wajinga.
Sawa
 
Nchi tumejaa vilaza, tumejaza waogaa, wanafki, machawa wachumia tumbo acha hili dude linaloitwaa CCM litukomeshe tukiduwazwa na Aman ya kinafki!
 
Unazijua bei za dawa za Ujerumani?...Umeziona bei za dawa za NHIF?...fanya homework yako usiwe mvivu...hilo fuko lenu haliwezi kulipa dawa ya Germany hata iwe Paracetamol

Kuna haki na wajibu,
Je mkuu niny raia mkiambiwa mlipie 1M kwa bima ili mpate dawa za ujerumani mtaweza ?
 
Watanzania tulivyo mazuzu tumewaachia huu mjadala wamiliki wa vituo binafsi, tumenyamaza Kama vile haituhusu wakati ni afya zetu zinachezewa.
wadau wakubwa ambao ni wachangiaji, hawashirikishwi kwenye mazungumzo yanauofantika yakidaiwa kuwahusisha wadau. Wadau gani bila wanaowezesha uwepo wa mfuko?
 
Nataka ifike mahali wote tuongee Lugha moja
 
Ili swala la tutaweza huwa mnalitoa wapi??
Kwani mwananchi ndo anayetoa Pesa??

Bima inatakiwa Itumie hizo pesa inazokusanya kwa Faida ya Wananchi na sio kwa faida yao wenywe..
Na wakifanya hivyo vyote vinawezekana
 
Hili suala ndio wapinzani wanatakiwa walivalie njuga maana linamgusq mwananchi moja kwa moja
 
Watu wapo busy na simba na yanga na kusahau mambo Kama haya muhimu.
 
Ili swala la tutaweza huwa mnalitoa wapi??
Kwani mwananchi ndo anayetoa Pesa??

Bila inatakiwa Itumie hizo pesa inazokusanya kwa Faida ya Wananchi na sio kwa faida yao wenywe..
Na wakifanya hivyo vyote vinawezekana
Sasa unataka kutoa 192k kisha utibiwe kwa dawa za ujerumani ? Uwe unafikiri na wew,

Wafanyakazi eg wanaolipwa 1M wanalipa 300k kisha wanaongezewa 300k na serikali, jumla 600k kwa watu 6, kwa kiasi hicho unataka kutibiwa kwa dawa za mjerumani ambapo panaldo ni 10K ?
 
swala la dawa ni kamba. medicine is cheap sana. especially in India. in western countries expensive sababu ya labour cost. also ceftriaxone ni ceftriaxone. acheni kudanganywa kuwa ya Germany sijui Egypt is better that any other. biggest lies ever.

funny side all African and Europe countries go to India for medical tourism. hii kamba kubwa sana
 
mimi mwenyewe simwelewi waziri na RAIS .sijui wanawaza kushinda uchaguzi kwa mabavu?
 
Hii kawaambie mafala...
FYI humu jamvini kuna mapapa wa knowledge.
 
Rais mambo ya namna hii huwa hapendi ...muacheni
 
Shida na kwa upande wa watoa huduma ipo, wanaweza kukupa dawa ya India lakini mfuko wa NHIF ukadaiwa bei ya dawa ya ujerumani. Mungu tuokoe waja wako kwani mboga na ugali vyote vya moto!
NHIF wao kwenye service portal wameseti kila kitu automatically.

Bei ya dawa imesetiwa, mfano Cough syrup 1,300/=. Sasa wewe mto huduma unaweza kuwa na dawa za Cough syrup brand tofauti tofauti ambapo bei pia ni tofauti.

Ukimpa mgonjwa dawa ya 3,000/=, kule kwenye portal ukiingiza hilo jina la dawa uliyotoa(hapa jina ni moja tu, Generic name lililosetiwa), bei itasoma 1,300/= ambayo utalipwa.

Sasa huoni unapata hasara?

Dawa za kutoka Ujerumani ndio zina bei kubwa, wewe ukiwa unawapa wagonjwa hizo dawa halafu utegemee kulipwa na NHIF unakula hasara mbaya sana.

Ili mtoa huduma aepuke hiyo hasara atalazimilika kutoa dawa za kutoka India ambazo ni bei chee halafu ubora mdogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…