Kama hatuwezi ndio tupewe zenye ubora duni ili tuendelee kufa ?Kuna haki na wajibu,
Je mkuu niny raia mkiambiwa mlipie 1M kwa bima ili mpate dawa za ujerumani mtaweza ?
ubora is little to no difference. this has been proven several time. toa paper which shows the big difference in quality of medicine in treatmentNHIF wao kwenye service portal wameseti kila kitu automatically.
Bei ya dawa imesetiwa, mfano Cough syrup 1,300/=. Sasa wewe mto huduma unaweza kuwa na dawa za Cough syrup brand tofauti tofauti ambapo bei pia ni tofauti.
Ukimpa mgonjwa dawa ya 3,000/=, kule kwenye portal ukiingiza hilo jina la dawa uliyotoa(hapa jina ni moja tu, Generic name lililosetiwa), bei itasoma 1,300/= ambayo utalipwa.
Sasa huoni unapata hasara?
Dawa za kutoka Ujerumani ndio zina bei kubwa, wewe ukiwa unawapa wagonjwa hizo dawa halafu utegemee kulipwa na NHIF unakula hasara mbaya sana.
Ili mtoa huduma aepuke hiyo hasara atalazimilika kutoa dawa za kutoka India ambazo ni bei chee halafu ubora mdogo.
Hii sio kweli, where do you guys get this mind set. hii ni kamba pro max. njoo na research papers hapa. upo to maneno ya jaba. sitetei mtu ila hizi story za kahawaKama hatuwezi ndio tupewe zenye ubora duni ili tuendelee kufa ?
Hapo ndio utaona uhai wa wananchi sio priority kwa Watawala
Tumekupata Afisa wa NHIF.swala la dawa ni kamba. medicine is cheap sana. especially in India. in western countries expensive sababu ya labour cost. also ceftriaxone ni ceftriaxone. acheni kudanganywa kuwa ya Germany sijui Egypt is better that any other. biggest lies ever.
funny side all African and Europe countries go to India for medical tourism. hii kamba kubwa sana
Sasa kama upo nje ya practise utajuaje yaliyomo?ubora is little to no difference. this has been proven several time. toa paper which shows the big difference in quality of medicine in treatment
Kaa utulie ...usiharibu uzi wa watu!we mzee ujui chochote. shule huna. una lopoka. ata using simple Google search umeshindwa
Nishapita huko kwenye practise, wateja wa NHIF wanapewa sana dawa zenye ubora duni kutokana na bei itakayolipwa na NHIF kuwa ndogo.Hii sio kweli, where do you guys get this mind set. hii ni kamba pro max. njoo na research papers hapa. upo to maneno ya jaba. sitetei mtu ila hizi story za kahawa
Alivyo mpuuzi atakupinga hata hili.Nishapita huko kwenye practise, wateja wa NHIF wanapewa sana dawa zenye ubora duni kutokana na bei itakayolipwa na NHIF kuwa ndogo.
Wale wa cash wanapewa dawa nzuri zenye ubora kulingana na cash zao.
Hii ishu ya vituo vya afya kusema wanaendelea na huduma ya NHIF usifikiri wamekubaliana na hizo, wanajua namna watakavyofanya kupunguza hasara ikiwemo kutumia hizo dawa za ubora Duni.
Swali: Kwanini simu ya Iphone haiwezi kufanana na TECNO kwa ubora ilihali zote ni simu? pia bei zake ni tofauti
Mkuu samahani!Sasa unataka kutoa 192k kisha utibiwe kwa dawa za ujerumani ? Uwe unafikiri na wew,
Wafanyakazi eg wanaolipwa 1M wanalipa 300k kisha wanaongezewa 300k na serikali, jumla 600k kwa watu 6, kwa kiasi hicho unataka kutibiwa kwa dawa za mjerumani ambapo panaldo ni 10K ?
Medicine Ziko tofauti mkuu Kuna preparation ya Dawa na hapo ndo hutofautiana..swala la dawa ni kamba. medicine is cheap sana. especially in India. in western countries expensive sababu ya labour cost. also ceftriaxone ni ceftriaxone. acheni kudanganywa kuwa ya Germany sijui Egypt is better that any other. biggest lies ever.
funny side all African and Europe countries go to India for medical tourism. hii kamba kubwa sana
it has zero difference in term of disease treatment. hizi ni siasa za dawa.Medicine Ziko tofauti mkuu Kuna preparation ya Dawa na hapo ndo hutofautiana..
Kuna USP na BP
Dawa zote Duniani zipo kwenye Preparation Mbili kama sio Tatu either ni British Pharmacopoeia au ni United States Pharmacopeia..
Na kuna International Pharmacopeia ..
Kila preparation iko na Ingredients percent na Raw material zake...
Usitegemee Ceftriaxone inayotoka Marekani ikawa sawa na ceftriaxone inayotoka England au JP inayotopa Japani..
Hakuna Siasa za Dawa mkuu..it has zero difference in term of disease treatment. hizi ni siasa za dawa.
sio kweli. tofauti ni dawa za bima zinatoka kwa elimu yako sio kwa experience. kuna dawa watu awawezi kuandika. ila quality of medicine is nearly the same. hiyo Japan, German ni siasa za dawa. watu wawa pige hela. amna kitu hapo. kama kuna mtu ana papers au research za hiyo kitu aje nazo.Nishapita huko kwenye practise, wateja wa NHIF wanapewa sana dawa zenye ubora duni kutokana na bei itakayolipwa na NHIF kuwa ndogo.
Wale wa cash wanapewa dawa nzuri zenye ubora kulingana na cash zao.
Hii ishu ya vituo vya afya kusema wanaendelea na huduma ya NHIF usifikiri wamekubaliana na hizo, wanajua namna watakavyofanya kupunguza hasara ikiwemo kutumia hizo dawa za ubora Duni.
Swali: Kwanini simu ya Iphone haiwezi kufanana na TECNO kwa ubora ilihali zote ni simu? pia bei zake ni tofauti
bring papers au research Acha hzi siasaHakuna Siasa za Dawa mkuu..
Sijui kama umewahi kusoma Pharmacy au hata Afya yoyote..
Acha siasa. bring out facts. wewe ujui. if you did?? shule inaongea, aina kelele nyingiKaa utulie ...usiharibu uzi wa watu!
Kama kuandika kiswahili fasaha unashindwa unadhani nani atapoteza muda na wewe?....
Wewe lazima umeajiriwa NHIF kwa kimemo na sio Merits ndio maana mfuko upo ICU.
Mkuu hizo pesa , si wazirudishe kwenye huo mfuko,Msome Malisa GJ amelizungumza kwa kina swala la NHIF , tatizo kubwa ni kwamba NHIF ndani ya miaka mi5 inaenda kufilisika kwa mujibu wa report ya CAG ,fedha nyingi zimekwapuliwa kifisadi na serikali pamoja na vigogo wa NHIF.
Unataka paper inayohusu nini au Research inayohusu Nini?bring papers au research Acha hzi siasa
Watanzania wanachojua ni wamepeleka timu mbili kwenye michuano ya CAF, inasikitishaWatanzania tulivyo mazuzu tumewaachia huu mjadala wamiliki wa vituo binafsi, tumenyamaza Kama vile haituhusu wakati ni afya zetu zinachezewa.
Huyo hajaajiriwa NHIF wala sio Mfanyajazi wa Afya..Kaa utulie ...usiharibu uzi wa watu!
Kama kuandika kiswahili fasaha unashindwa unadhani nani atapoteza muda na wewe?....
Wewe lazima umeajiriwa NHIF kwa kimemo na sio Merits ndio maana mfuko upo ICU.