NHIF Waongeza gharama za Bima ya Afya kwa Watoto, sasa kulipa Tsh. 120,000/= badala ya Tsh. 50,400/=

NHIF Waongeza gharama za Bima ya Afya kwa Watoto, sasa kulipa Tsh. 120,000/= badala ya Tsh. 50,400/=

Nadhani tatizo letu ni kujielewa,

Kwenye ujamaa, bima ya elf 50 ni sawa.

Ila kwenye ubepari hakuna bima ya elf 50.

Sasa watu tunataka bima za elfu 50 halafu huduma za milion, yaani bima za kijamaa halafu huduma za kibepari.

Tuchague moja, kuna bima za kijamaa zile za elf 30 kwa familia nzima. Au hamzijui?

Kama huzitaki hizo then chagua bima za 2M kwa familia nzima.

Ukiambiwa hivo pia unapiga kelele.

Tuchague kusuka au kunyoa tujue moja
 
Nadhani tatizo letu ni kujielewa,

Kwenye ujamaa, bima ya elf 50 ni sawa.

Ila kwenye ubepari hakuna bima ya elf 50.

Sasa watu tunataka bima za elfu 50 halafu huduma za milion, yaani bima za kijamaa halafu huduma za kibepari.

Tuchague moja, kuna bima za kijamaa zile za elf 30 kwa familia nzima. Au hamzijui?

Kama huzitaki hizo then chagua bima za 2M kwa familia nzima.

Ukiambiwa hivo pia unapiga kelele.

Tuchague kusuka au kunyoa tujue moja
Bima ni jukumu la serikali. Hio kuwachangia ni hisani tu sababu wanakusanya 18% na kodi zingine kibao tu.
 
Bima ni jukumu la serikali. Hio kuwachangia ni hisani tu sababu wanakusanya 18% na kodi zingine kibao tu.
Kupanga ni kuchagua,

Wewe chagua hivo, na mwingine akisema vice versa usimlaumu. Thats all ndo democracia hiyo
 
Nadhani tatizo letu ni kujielewa,

Kwenye ujamaa, bima ya elf 50 ni sawa.

Ila kwenye ubepari hakuna bima ya elf 50.

Sasa watu tunataka bima za elfu 50 halafu huduma za milion, yaani bima za kijamaa halafu huduma za kibepari.

Tuchague moja, kuna bima za kijamaa zile za elf 30 kwa familia nzima. Au hamzijui?

Kama huzitaki hizo then chagua bima za 2M kwa familia nzima.

Ukiambiwa hivo pia unapiga kelele.

Tuchague kusuka au kunyoa tujue moja
Unasahau kama fedha hizo hizo ndio wanalipana mishahara minono na kukopeshana!?

Jipe muda kufuatilia fedha ambayo iko nje ya mzunguko wa Bima, utashangaa akili ya mtu mweusi.
 
Wamekopeshana bila riba, wamelipana mishahara minono, wamefilisi mfuko, adhabu wanapewa wananchi.
 
Yani hii Bima nashindwa kuelewa Tatizo ni Location ya Usajili au kuna ajenda nyingine nyuma yakee bhasi tuseme lengo ni Watoto wapelekwe shulee. Shida inakuja kwa watoto ambao hawajaanza kusoma huduma ya Matibabu bure kwa watoto chini ya miaka 5 ni Utapelii tuu hakuna huduma ya bure ya maana ni kichaka cha kujificha ambapo serikali ionekane inatoa huduma bure.

Waruhusu bima ya watoto iwe kigezo ni mtu awe Mtoto hizo mbwembwe sijui asajiliwe kupitia shule ni utapeliii tu.
 
Wamekopeshana bila riba, wamelipana mishahara minono, wamefilisi mfuko, adhabu wanapewa wananchi.
Wapuuzi sana hii nchi siku mnipe mimi tu niinyooshe. Naanza na Katiba naigeuza geuza kidogo kisha ni kunyoosha wezi mwanzo mwisho sitanii yani.

Takukuru naifumua naingiza graduates ambao sio wezi on top positions. Yani ni kula sahani moja na wezi kila kona.

Mafisadi wote wataozea jela ni kifungo cha maisha tu. Wapiga dili wote lupango hatuwezi kubaki na wezi wa mali za umma mtaani.

Watakaodakwa baada ya sheria mpya kuanza kazi ni kuwatia shaba tu. Mashushu kibao ntawajaza vitengo kwa ajili ya ku monitor hilo.
 
Yani hii Bima nashindwa kuelewa Tatizo ni Location ya Usajili au kuna ajenda nyingine nyuma yakee bhasi tuseme lengo ni Watoto wapelekwe shulee. Shida inakuja kwa watoto ambao hawajaanza kusoma huduma ya Matibabu bure kwa watoto chini ya miaka 5 ni Utapelii tuu hakuna huduma ya bure ya maana ni kichaka cha kujificha ambapo serikali ionekane inatoa huduma bure.

Waruhusu bima ya watoto iwe kigezo ni mtu awe Mtoto hizo mbwembwe sijui asajiliwe kupitia shule ni utapeliii tu.
Wamenyima haki watoto ambao hawajaanza shule.
 
Wapuuzi sana hii nchi siku mnipe mimi tu niinyooshe. Naanza na Katiba naigeuza geuza kidogo kisha ni kunyoosha wezi mwanzo mwisho sitanii yani.

Takukuru naifumua naingiza graduates ambao sio wezi on top positions. Yani ni kula sahani moja na wezi kila kona.

Mafisadi wote wataozea jela ni kifungo cha maisha tu. Wapiga dili wote lupango hatuwezi kubaki na wezi wa mali za umma mtaani.

Watakaodakwa baada ya sheria mpya kuanza kazi ni kuwatia shaba tu. Mashushu kibao ntawajaza vitengo kwa ajili ya ku monitor hilo.
Hii kitu China wameiweza, sasa na wahindi pia wanaanza kupambana nayo kidogo, sisi raisi naye yupo kwenye mgao 😂
 
Back
Top Bottom