Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Technology ipo juu sana wanaweza kutenganisha kwa umri huo pia kila umri unapoongezeka anaweka Gumba tena..New born (0-2 months), infant (3 months - 11 months) Toddler below (1-2yrs), preschool children (3-4yrs) school children (5-12yrs), teen (13-17yrs)
Hazibadiliki ila watoto wadogo kidole kidogo fingerprint hazimalizi maana mimi wapo wanaotibiwa Groot Skill Hospital Fingerprint walichukua mara mbili walipokua chini ya umri wa miaka kumi na baada ya 13yrs...Sidhani kama fingerprint zinabadilika kulingana na umri.
Hawa NHIF nina shaka na utendaji wao wa kazi kwani wanafungia kadi za wanufaika bila sababu yoyote ya msingi mimi nina miezi kama sita kadi zangu zote za Watoto, mke wazazi zimefungiwa chaajabu nimeenda nimeuliza kwanini mmefungia kadi hkn jibu la msingi wanafai et kuna mtu ametumia kadi yng kiukweli hkn aliyetumia kadi yng wala hao dependant naishi na watoto na mke hkn hata mmoja aliyetumia nje ya utaratibu. Wakasema nipeleke nyaraka nimepeleka nyaraka zote. Nikaambiwa nipeleke picha tulizofunga ndoa na mke wangu . Ni mambo ya ajabu ambayo sijawah kuyaskia sehemu yoyote ile .Habari wadau. Kumekuwa na wimbi la wafanyakazi wa NHIF waliopo mahospitali kuwataka wazazi wabadilishe vitambulisho vya watoto kwakuwa picha zilizopo kwenye vitambulisho hazifanani na watoto kutokana na kubadilika.
Mimi hiki sikatai. Watoto wadogo wako katika hatua ya makuzi si jambo la kushangaza kuona mtoto akibadilika sura kila baada ya mwezi mmoja au kama si mwaka. Sasa sijafahamu kwanini hawa watu wanataka mtu abadilishe kadi kila sura inapobadilika, je hawajui kwamba hawa watoto wanakua. Kubadilisha kadi/ kitambukisho kinagharimu kiasi cha shilingi elfu ishirini. Kama mzazi ana mtoto zaidi ya mmoja inagharimu zaidi.
Nafahamu kwamba mzazi huwa anaulizwa details mbalimbali zinazohusu mtoto au mchangiaji kabla ya kadi au kitambulisho kutumika, lakini taarifa hizi kwao huwa bado hazitoshi wanasisitiza picha ya mtoto. Mimi nashauri badala ya kung'ang'ania mfumo tambuzi mmoja wa picha, wawekeze kwenye mifumo mingine ya utambuzi kama fingerprint scanner au scanner ya macho ambayo naamini ni za kudumu kuliko hii ya kusumbua wazazi kubadilisha vitambulisho mara kwa mara.
Mimi ndugu yangu mtoto wake mwenye mwaka mmoja alikataliwa kitambulisho cha mtoto wake kisa mtoto sura imebabadilika, huu ni uonevu wa hali ya juu.
Kwa hiyo wao wamekuwa wasajili wa ndoa siku hizi. Mbona wakati wa kuanza makato walianza tu bila kunitaji hayo yote. Pia nachofahamu cheti cha ndoa ndicho huwa kinahitajika na siyo picha ya wanandoa.Hawa NHIF nina shaka na utendaji wao wa kazi kwani wanafungia kadi za wanufaika bila sababu yoyote ya msingi mimi nina miezi kama sita kadi zangu zote za Watoto, mke wazazi zimefungiwa chaajabu nimeenda nimeuliza kwanini mmefungia kadi hkn jibu la msingi wanafai et kuna mtu ametumia kadi yng kiukweli hkn aliyetumia kadi yng wala hao dependant naishi na watoto na mke hkn hata mmoja aliyetumia nje ya utaratibu. Wakasema nipeleke nyaraka nimepeleka nyaraka zote. Nikaambiwa nipeleke picha tulizofunga ndoa na mke wangu . Ni mambo ya ajabu ambayo sijawah kuyaskia sehemu yoyote ile .
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ni pepa ya nuclear physics duhNhif ni kichefu chefu yaani hata hata hospital zinazotoa huduma kwa nhif wanapitia tabu sana wakati wa kuclaim Madai ni zaid ya mtihani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanakatwa had huruma
Mfumo ulishaanza, ila sikila health facility inaweza kuafford vifaa husika. Hospitali nyingi za serikari ukiachilia MNH kufunga mifumo ya online system ni changamoto. Kwa private, aliyeweza kuafford ni hospitali chache za kanda kama Bugando na Aga khan main hospital. Vituo vimewezeshwa juu ya hicho kitu ila vifaa na mifumo hawana, je wakufungie huduma mpaka wakipata hivyo vitu?Nashukuru uzi kupandishwa kwenye Instagram. Wahusika wameona na wamejibu kisanii sana. Wanadai kwamba wameanza mfumo tambuzi wa finger print na face recognition kwa kuhuwisha na kitambulisho cha taifa. Sasa tujiulize ni watoto wangapi wanavitambulisho vya taifa. Ni usanii ndani ya usanii.
Taarifa zako zinatoka kwa muajiri wako, au yeye hana taarifa zako mkuu??Kwa hiyo wao wamekuwa wasajili wa ndoa siku hizi. Mbona wakati wa kuanza makato walianza tu bila kunitaji hayo yote. Pia nachofahamu cheti cha ndoa ndicho huwa kinahitajika na siyo picha ya wanandoa.
Muasili mtoto kisheria pamoja na uambatanisho wa documents ndio umweke huyo mtoto kama mtegemezi wako.Kumbe huruhusiwi kumkatia bima mtoto unayemlea wewe ambaye sio mtoto wako wa kumzaa?
Huo ni ukiritimba tu wa kipumbafu.... Ni haki yangu kumuwekea yeyote yule kutibiwa ...sio lazima awe mwanangu unajua ukimuasili mtu anakuwa na haki zote !??... Waache ufwala shenzi hawa... Nilishamkandika makofi dada mmoja pale kamanga Kwa ujinga kama huu.... Mke wangu kapata uchungu ghafla eti Hana kadi asipate huduma wakati clinic yote kahudhuria hapo na kadi kwenye mfumo wameiona eti mpaka awe nayo ...aaa weee nilimchapa Kofi mbili tatu nililazwa ndani nyegezi lakini wife huduma alipata washenzi sana watu wa bima...Unaweza mkatia iwapo umemuasili.