Ndo tupunge mademu tulipie bimaGharama ni rafiki na kwa mtoto ndio ilikuwa sahihi maana mtoto ni malaika jamani. Kwa jitu zima linaweza kuchemsha hata mwarobaini likala ila mtoto utampa mu40 kwelii?
Mkuu kwani wewe sio great thinker?Mfuko wa Bima ya Afya haujafuta Toto Afya kadi bali unafanyq maboresho katika utaratibu wa usajili ,tusome taarifa vuzuri na katika kipindi hicho mfuko umetoa utaratibu mbadala
Ndo huo ungesee ambao haupooo yaniii... kutibiwa bure ni siasaa tu ndo yale mtoto anapewa panado tu imeishaa hiyo ovyoo sanaWamesema watoto wasiosoma wapelekwe hospital za serikali matibabu ni bure au mzazi ajiunge na bima ili mtoto apate
Kuna wazaziii hata waoo hawana bimaaa... kula yenyewe ya shidaa ila anajikongoja amkatiee mwanae Bima na vijisent anavyochanga leo unamwambia sijui bima ya familiaaa ujinga huu.Mkuu kwani wewe sio great thinker?
Mbona kila kitu kiko wazi hapo kuwa hicho kifurushi cha Toto Afya ndio kinakwenda kuzikwa kimya kimya hivyo.
Waza haya maswali.
1. Kuna ulazima gani kusitisha huduma wakati wakiendelea kufanya maboresho?
2. Huwezi kusitisha huduma kwa muda bila kuweka muda maalum wa kuja kurejesha tena hiyo huduma. Hayo maboresho yatakamilika lini? Miaka mingapi?
3. Hicho unachosema ni mbadala (kujiunga kupitia shule, vyuo, familia) mbona kimekuwepo siku zote? Sote tunajua hakikidhi. Kwa mfano: Mtoto ambaye hajaanza shule (watoto wachanga), shule ambayo haina huo utaratibu, Yatima nk.
Kwa ufupi ni kwamba wanaweka bima kwa wote kupitia mlango wa nyuma.Ndo huo ungesee ambao haupooo yaniii... kutibiwa bure ni siasaa tu ndo yale mtoto anapewa panado tu imeishaa hiyo ovyoo sana
Kwamba familia nzima ijiungee UWEZO NDO TATIZOO labda waweke iwe lakiKwa ufupi ni kwamba wanaweka bima kwa wote kupitia mlango wa nyuma.
Lazima wazazi wajiunge ili mtoto apate bima
Ndo hivyo inabidi tu ujiunge hauna uchaguziKwamba familia nzima ijiungee UWEZO NDO TATIZOO labda waweke iwe lakiView attachment 2550023
Hamnaga huduma ya bure Tanzania 🇹🇿 hizo huduma za bima tu ukienda hospitali dawa unaambiwa hamna.Wamesema watoto wasiosoma wapelekwe hospital za serikali matibabu ni bure au mzazi ajiunge na bima ili mtoto apate
Ndio umunge tegemezi hapo kwny milion + kudadeki akati bima ya gari third party 118k inakutoa jasho unakwepa trafic[emoji1787][emoji1787]Kwahio mtoto wangu ambaye hajaanza shule mie mzazi niumie na gharama za matibabu kila siku? [emoji1787]
Si ndio hapo hata kampun za simu zikifanya maboresho flan huwa zitatoa time frame huduma ya tigo pesa haito kuwepo kuanzia mda flan had mda flan...Mkuu kwani wewe sio great thinker?
Mbona kila kitu kiko wazi hapo kuwa hicho kifurushi cha Toto Afya ndio kinakwenda kuzikwa kimya kimya hivyo.
Waza haya maswali.
1. Kuna ulazima gani kusitisha huduma wakati wakiendelea kufanya maboresho?
2. Huwezi kusitisha huduma kwa muda bila kuweka muda maalum wa kuja kurejesha tena hiyo huduma. Hayo maboresho yatakamilika lini? Miaka mingapi?
3. Hicho unachosema ni mbadala (kujiunga kupitia shule, vyuo, familia) mbona kimekuwepo siku zote? Sote tunajua hakikidhi. Kwa mfano: Mtoto ambaye hajaanza shule (watoto wachanga), shule ambayo haina huo utaratibu, Yatima nk.
Hahahahahah wana utani na mimi hawa 🤣🤣🤣!!! Bima ya dogo inaisha mwezi wa 5.Ndio umunge tegemezi hapo kwny milion + kudadeki akati bima ya gari third party 118k inakutoa jasho unakwepa trafic[emoji1787][emoji1787]
Pumbavu,simlikuwa mnakosoa nyie!Kitu gani kilifanya mswada wa UHC usiingie bungeni
Wangetoa time frame ya hayo maboresho sio kuacha watu hewani...Hahahahahah wana utani na mimi hawa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!! Bima ya dogo inaisha mwezi wa 5.
Habari za awali zinadai kwamba Mfuko wa Taifa wa BIma ya Afya umefuta rasmi bidhaa ya "Toto Afya Kadi" iliyokuwa inatolewa na mfuko huo kwa watoto wa chini ya miaka 18 wanaosajiliwa ili kuwawezesha kupata huduma za matibabu katika vituo vilivyosajiliwa na NHIF nchi nzima.
Ikumbukwe kuwa Toto Afya Kadi ilikuwa inatoa nafasi kwa watoto chini ya miaka 18 kutibiwa kwa gharama ya Tsh. 50,400/= kwa mwaka mzima.
Lakini miongozo iliyotoka hivi karibuni inaonesha kuwa mwanachama aliyekuwa akitibiwa kwa bima hii hawezi kufanya malipo mapya pale bima yale inapokwisha muda wa matumizi (hawezi kurenew).
Hivyo ni kama imeondolewa kimyakimya na hata ukitaka kulipia Bima hiyo hivi sasa wanakwambia kuwa huduma haipo.
View attachment 2549215
Hayo maboresho yatatumia muda gani kukamilika?TAARIFA KWA UMMAView attachment 2549212
Bima gani duniani ulishaona mtu anaweka mdogo wake au mtoto wa mjomba kama mtegemezi? Yaaani tumezoea sana mambo ya kijamaa mno?BIMA ilishawashinda muda tu, mfano Toka waanze kudhibiti mtumishi wategemezi mara awe mke ulete cheti cha ndoa mara wazazi wako tu hata wadogo zako wasihusike pale ilikuwa tayari inasubiri kuzikwa.
Hii nchi ukipata nafasi ya kuwa raisi siku moja unaitisha mkutano wa kitaifa tu mahali waje viongozi wote wakubwa walafi wa CCM. Unawaita na kuwakusanyia kwenye jengo flani tu hata ufukweni huko hotelini.Wangetoa time frame ya hayo maboresho sio kuacha watu hewani...
Huo ni ujanja ujanja
Hicho kifurushi cha Toto Afya ndio kimefutwa rasmi. Njia pekee ya kuweza kukifufua ni wadau wote kupiga kelele nzito, tena kelele hizo ziwe sasa, wale jamaa wa NHIF wakiona kimenuka ghafla kitarudishwa.Wangetoa time frame ya hayo maboresho sio kuacha watu hewani...
Huo ni ujanja ujanja