HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Uzuri hawajalazimishwa lipiaAcha vituko basi yaani mzazi mwenye watoto 7, 8, au 5 (kumbuka ndio hali halisi vijijini huko) na wote wanasoma shule alipie kila mtoto elfu 50,400 tena kwa mwaka.
Bongo hii hii?