NHIF yafuta Bima ya Afya kwa watoto "TOTO Afya Kadi". NHIF yadai hawajafuta ila wameboresha

NHIF yafuta Bima ya Afya kwa watoto "TOTO Afya Kadi". NHIF yadai hawajafuta ila wameboresha

Mkuu karibu sana, huduma zipo hadi za kutibiwa nnje ya nchi kama
*Jsenior
*Jjunior nkadharija

Ambapo utaweza kupata matibabu nchi Tanzania, nchi za East Arica zote pamoja nje ya Africa. Matibabu ya hadi
*Million 20 kwa daraja la premier
*Million 50 kwa Advanced
*Million 80 kwa Executive
*Million 100 kwa Royal na
*Million 150 kwa Classy

na pia benefits nyingi sana kutegemea na daraja lako. Mfano kwa
*Inpatient , Pre-existing and chronic desease unapata hadi 10Million
*Outpatient, medical checkups hadi za 300,000, depends na daraja lako.

Na benefits zingine kama mkono wa pole na pesa ya mzishi.

Kwa maelezo mengine zaidi na kujiunga, tafadhari wasiliani kwa 0752328591
Sasa hamuoni NHIF wako vizuri hawana limit ya out patient. Hiyo limit ya 300,000 kwa mwaka inaweza isifike popote pale
 
Ukisoma magazeti ni rasmi Toto Afya imefutwa kwa wasajili wapya, wa zamani wataendelea hadi malipo yao yatapofikia kikomo (Ndani ya mwaka wa malipo)
Baada ya hapo Mtoto atajiunga kama tegemezi
Tegemezi Gharam ziko juuu nazo
 
Sasa hamuoni NHIF wako vizuri hawana limit ya out patient. Hiyo limit ya 300,000 kwa mwaka inaweza isifike popote pale
Ziko za zaidi ya hapo mkuu, inategemea na daraja lako, na huduma pia. Huduma za jubilee ni nafuu zaidi kwa mtu ambae asingehitaji usumbufu wowote ujitokeze wakati anajiuguza au kumuuguza mtu wake wa karibu alie na Bima, kwa Jubilee unahakikishiwa huduma na usaidizi kwa masaa 24 ili kama unachangamoto inatatuliwa kwa haraka, gharama zinaendana na huduma bora zaidi. Karibu mkuu.
 
Ziko za zaidi ya hapo mkuu, inategemea na daraja lako, na huduma pia. Huduma za jubilee ni nafuu zaidi kwa mtu ambae asingehitaji usumbufu wowote ujitokeze wakati anajiuguza au kumuuguza mtu wake wa karibu alie na Bima, kwa Jubilee unahakikishiwa huduma na usaidizi kwa masaa 24 ili kama unachangamoto inatatuliwa kwa haraka, gharama zinaendana na huduma bora zaidi. Karibu mkuu.
Maana outpatient kubwa kabisa ni 1500000 ambayo kwa mwaka inaweza zidi endapo mtu akifanya MRI 5
 
Mnasema watoto wasajiliwe kama wategemezi au kupitia shule zao vipi kuhusu wale wasiosoma na wanaishi mazingira magumu hawana wazazi ila wanalipiwa na wasamalia? Je wao hawastahili kupata huduma za afya?
Ok sasa
Maana outpatient kubwa kabisa ni 1500000 ambayo kwa mwaka inaweza zidi endapo mtu akifanya MRI 5
Sasa kwa jubilee insurance, mfano kwa autpatient aliekata Royal, anapata 3,000,000 (3M), na kwa Royal anapata 2,500,000 (2.5) na kuendelea, pia kuna last expense kuanzia 1.2M hadi 1.5M kutegemea na daraja lako. Hapo gharama za dental , optical etc benefit zake ni za hadi 800k nakuendelea.

So benefits ni nyingi nyingi sana, inategemea na daraja lako, uzuri nyingi zipo kwa madaraja karibu yote. Tupigie kwa maelezo zaidi na jinsi ya kujiunga na uchague daraja litakalokufaa wewe na familia yako : 0752329591
 
Katia watoto wako Bima ya Afya kutoka Jubilee na upate huduma bora kabisa kwa gharama nafuu na upate faida nyingi na uondoe wasiwasi wa natibabu ya mtoto wako kwa mwaka mzima. Tupigie: 0752329591
超级截屏_20230314_103033.png
IMG_nbgygy.jpg
超级截屏_20230314_103015.png
 
Ok sasa

Sasa kwa jubilee insurance, mfano kwa autpatient aliekata Royal, anapata 3,000,000 (3M), na kwa Royal anapata 2,500,000 (2.5) na kuendelea, pia kuna last expense kuanzia 1.2M hadi 1.5M kutegemea na daraja lako. Hapo gharama za dental , optical etc benefit zake ni za hadi 800k nakuendelea.

So benefits ni nyingi nyingi sana, inategemea na daraja lako, uzuri nyingi zipo kwa madaraja karibu yote. Tupigie kwa maelezo zaidi na jinsi ya kujiunga na uchague daraja litakalokufaa wewe na familia yako : 0752329591
Kwanini usiweke bronchure au mfano Family yenye Mke, Mme, Watoto 2 bei gani kwa kila kifurushi
Umri hauzidi 35
 
Habari za awali zinadai kwamba Mfuko wa Taifa wa BIma ya Afya umefuta rasmi bidhaa ya "Toto Afya Kadi" iliyokuwa inatolewa na mfuko huo kwa watoto wa chini ya miaka 18 wanaosajiliwa ili kuwawezesha kupata huduma za matibabu katika vituo vilivyosajiliwa na NHIF nchi nzima.

Ikumbukwe kuwa Toto Afya Kadi ilikuwa inatoa nafasi kwa watoto chini ya miaka 18 kutibiwa kwa gharama ya Tsh. 50,400/= kwa mwaka mzima.

Lakini miongozo iliyotoka hivi karibuni inaonesha kuwa mwanachama aliyekuwa akitibiwa kwa bima hii hawezi kufanya malipo mapya pale bima yale inapokwisha muda wa matumizi (hawezi kurenew).

Hivyo ni kama imeondolewa kimyakimya na hata ukitaka kulipia Bima hiyo hivi sasa wanakwambia kuwa huduma haipo.

View attachment 2549215
Sasa mm namwangu wa 1 year na yeye nimpeleke shuleni akaandikishe bima huko??
Stupid!!
 
Acha ujamaa, jiangalie wewe na watoto wako.
Kila mtu apigane vita yake mwenyewe
Wewe unapigia debe ubepari kwasababu ni dalali wa jubilee insurance hata usa na america wanafuata maisha ya ubepari wanaoumia ni watu weusi china wanafuata ujamaa na wameendelea tuujinga wako na tamaa zako hazitakuzika na hutoondoka na ubinafsi wako,ubepari ni ubinafsi
 
Wewe unapigia debe ubepari kwasababu ni dalali wa jubilee insurance hata usa na america wanafuata maisha ya ubepari wanaoumia ni watu weusi china wanafuata ujamaa na wameendelea tuujinga wako na tamaa zako hazitakuzika na hutoondoka na ubinafsi wako,ubepari ni ubinafsi
Hata viongozi wetu hawamo nhif wako jubilee insurance na wewe lazima mpigie debe biashara yenu kwa kuburunda nhif ili msimamishe private insurances
 
Hili Ummy kalikubali kabisa??? Aisee safari ni ndefu sanaaa.. Mtoto mchanga anasoma wapi?? Sasa kuna kengee litasema watoto chini ya Miaka 5 wanatibiwa bure.. Bure ya nyokooo mbwaa weweee ushawahi kuwa hata na mtoto??? Ushawahi enda tibiwa hospital ukapewa dawa bure??? Mambo ya ovyoo sanaa hayaaa system za serikali zinasupport mambo ya ovyoo kama haya Bora wangeongeza gharama hata kidogoo sio huu upuuzi.
Aisee [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom