NHIF yaja na makali zaidi kwa Watanzania, yaondoa dawa lukuki kwenye orodha ya dawa zinazonufaika na malipo ya bima

Status
Not open for further replies.
Yote hayo ndui maana tunasema Uhuru,haki na maendeleo.
 
Tutaichagua CCM maana Chadema ni waongo sana, walishachukua advance ya kuuza nchi
 
Jumla ya dawa 138 zimeondolewa ktk bima ya afya kuanzia September 1,2020. Tazama dawa zilizoondolewa hapa
 
Nadhani swali la maana zaidi ni Kwanini ?, Kabla hatujahukumu...
 
Bima ya afya, NHIF imezidi kuondoa madawa muhimu kwenye orodha ya madawa yanayolipiwa na mfuko huo wa bima.

Sasa dawa nyingi itabidi wanufaika wa mfuko huo wajinunulie kwa pesa tasilimu.

Kinachoendelea sasa NHIF watakua wanalipia panadol tu.
 
Inamaana gani Sana kua na bima[emoji3525]
 
Mada chochezi hii, wazijua dawa muhimu wewe? Tafuta zinaitwa TRACE MEDICINE, humo hakuna hata moja zote hizi zina mbadala wake au sio common katika mazingira ya walio wengi labda private ndio huzitumia sana
 
Sasa kuna umuhimu ggani wa kuwa na bima ya afya kama dawa muhimu unatoa badala ya kuongeza huduma.

Yaani wanajitengenezea njiaa za kuwaibia wanachama

Ccm ipumzishwe
 
Mada chochezi hii, wazijua dawa muhimu wewe? Tafuta zinaitwa TRACE MEDICINE, humo hakuna hata moja zote hizi zina mbadala wake au sio common katika mazingira ya walio wengi labda private ndio huzitumia sana
Kwahiyo aliyeandika kakurupuka?
 
Mada chochezi hii, wazijua dawa muhimu wewe? Tafuta zinaitwa TRACE MEDICINE, humo hakuna hata moja zote hizi zina mbadala wake au sio common katika mazingira ya walio wengi labda private ndio huzitumia sana
Kwamba watu wanaotibiwa private wana magonjwa tofauti na wanaotibiwa serikalini hadi wao wawe wanatumia hizo dawa sana kuliko hospitali za serikali?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…