NHIF yakusudia kusitisha Mkataba wa Huduma kwa Hospitali za APHTA Ikiwemo Aghakani na TMJ

NHIF yakusudia kusitisha Mkataba wa Huduma kwa Hospitali za APHTA Ikiwemo Aghakani na TMJ

Aghakani hawategemei Bima mzee
Jibu lako linaweza lisiwe sahihi sana. AGHA KHAN bei za za matibabu ziko juu sana ukilinganisha na hospitali nyingi achilia mbali za umma. Hivyo watu wengi waliokuwa wanatibiwa huko ni wale wa NHiF. Na kuna kamchezo ka kupandisha bei kwenye Bill zao. Hivyo kuwa kosa wateja wa NHiF ubaridi utawaingia kama si kutetemeka. No matter how big their
 
Hata kairuki ,Bugando ,KCMC nk , hospitali zote za binafsi ndio tegemeo nchi hii , na wako mbioni kusitishwa kabisa hii huduma
Ndio kilio na kusaga meno vitafuata na majitu nchi hii akili zitaingia vizuri
Mbinyo bado haujakolea , Kenge huwa atoke damu masikioni

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
Those hospitals wanapata government subsides awawezi . Ni full private tu
 
Wanategemea mkuu, angalia wateja wengi wanaotibiwa pale ni watu wa NHIF na matawi yao ambayo yapo kila sehemu hapa dar.



Kwani miaka yote hiyo watanzania walikuwa wanaotibiwa wapi ?
Na miaka yote hiyo Watanzania wenye uwezo ndiyo walikuwa wanatibiwa Agha Khan siyo kapuku kama wewe!
 
Kwa what hospital agha khan , ukitoa ya Dar agha khan will fail else where
Kama una akili usingeshindwa kujua kwamba Agakhan ni chain hospitals ambapo zipo karibia kila pande ya nchi ,wale wanahudumia watu wenye uwezo wa kuhandle gharama kubwa , hizo huduma za bima kusitishwa ni kwamba kutakuwa na msongamano na tatizo kubwa la huduma katika hospitali nyingine za serikali , maana si Aghakan tu anayesitisha huduma ,hata vituo vya afya binafsi huko mitaani ni hivyo hivyo
Na mnajua hali ilivyo kwenye vituo vya afya vya serikali

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Sasa mfano Regency hospital pale ukipeleka mzazi kujifungua wanakwambia ulipie 90,000/=ya kipimo sijui kipimo gani ambacho hakipo kwenye bima na bima inatumika ,..

Wao wapo kwenye faida tu mbwa hao.
 
Sasa mfano Regency hospital pale ukipeleka mzazi kujifungua wanakwambia ulipie 90,000/=ya kipimo sijui kipimo gani ambacho hakipo kwenye bima na bima inatumika ,..

Wao wapo kwenye faida tu mbwa hao.
Taja ni kipimo gani kwanza?...usaidiwe...
Kutokuwepo kwenye bima haimaanishi hakina umuhimu sawa?...
 
Jibu lako linaweza lisiwe sahihi sana. AGHA KHAN bei za za matibabu ziko juu sana ukilinganisha na hospitali nyingi achilia mbali za umma. Hivyo watu wengi waliokuwa wanatibiwa huko ni wale wa NHiF. Na kuna kamchezo ka kupandisha bei kwenye Bill zao. Hivyo kuwa kosa wateja wa NHiF ubaridi utawaingia kama si kutetemeka. No matter how big their
Nhif Walikuwa wanalipa pesa gani??
Umewahi kudai claim kwa NHIF
 
Tatizo ni serikali na hilo shirika la NHIF , ccm na vilaza wanaoongoza hizi wizara na taasisi zake ni wendawazimu
Ni suala la muda tu hii nchi inaenda kuwa kama Zimbabwe ile failed state ya Mugabe ,
Hamna nchi ambayo ilishathrive kwa kuongozwa na wapumbavu ,never


Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Mkataba huwa unakuwa reniewed kila baada ya miaka mitano Mkuu walichokitaja ni Mkataba wa hivi karibuni..
Kwa mfano Kuna wabunge ambao wana miaka zaidi ya 20 Bungeni ila tukiwataja tutasema wameingia Bungeni miaka mitano iliyopita kulingana na uchaguzi ulipofanyika..
Sijui kama umenielewa
Pitia mtandaon huko utaona wana miaka mingi tu hawakua wakipokea Bima za kina Ummy lkn pia 2022 hadi 2025 sidhan kama n miaka mitano
 
Pitia mtandaon huko utaona wana miaka mingi tu hawakua wakipokea Bima za kina Ummy lkn pia 2022 hadi 2025 sidhan kama n miaka mitano
Waliomba 2021 wakapewa 2022 ambayo inaisha mwaka 2025..

Nimewahi kutibiwa Aghakan Mwaka 2020 na mwaka 2021 kwakutumia Bima
 
Agha Khan haifi

Wala hizi hospitali hazifi

Na hapo hawajaonesha hospitali zingine msururu ndogo ndogo,wana umoja wao hawa...watatoka na kauli moja regardless

Serikali haiwezi kushindana na hawa

Serikali inakusanya hela kutoka kwa wananchi kwa ahadi ya kutoa matibabu,serikali inakula hizo hela

Haya mahospitali hayalipwi,therefore cut the fvcken ties with this stupid govtment!
 
Na miaka yote hiyo Watanzania wenye uwezo ndiyo walikuwa wanatibiwa Agha Khan siyo kapuku kama wewe!
Mimi siyo kapuku ningekuwa kapuku nisingekuwa hapa ,ina maana ningekosa hata pesa ya bando .

Naongelea watanzania wanyonge ambao wananyanyasika na watu ambao ni profit oriented kiasi kwamba hawaangalii hata ustawi wa watu.
 
Watu wanaotumia NHIF ndio watakaoumia.....Hii bima ni takataka kitambo sana...
Isitoshe Agakhan walikuwa hawaitaki...Pole sana wanachama...
'Walikuwa hawataki' wakati waliomba wenyewe kuwa watoa huduma. Au una maana nyingine mkuu?
 
Waliomba 2021 wakapewa 2022 ambayo inaisha mwaka 2025..

Nimewahi kutibiwa Aghakan Mwaka 2020 na mwaka 2021 kwakutumia Bima
Hiyo sio miaka mitano , mkataba wa wapi unaanza kuhesabiwa kwenye barua ya maombi? But bottom line n kuwa walikua na miaka mingi tu nyuma huko, hata humu humu JF threads zipo hawakua wakipokea hiyo bima
 
Hizi ni akili za kijinga mzee, watu wanao endesha health facilities karibu 500 dunian huko unadhan unaweza kua na ujuz kuliko wao namna ya kuendesha wakat hata duka la dawa muhim hujawah endesha ?
Hii nchi watu wengi ni wapuuzi mkuu
Yaani udumaze private sector halafu utegemee huduma bora na ufanisi katika hiyo sector ? , aisee
Nchi hii private institutions Ndio zinazopokea hii sector ya afya ,sasa ngoja hizo hospitali binafsi wagome hii bima ya kipuuzi halafu watu waone ripple effects zake
Unajua kuna watu hawajawahi kutwa na msala wa kuuguza au kuugua kunakohitaji matibabu serious
Halafu ukute huyu naye alienda chuo kabisa

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom