NHIF yakusudia kusitisha Mkataba wa Huduma kwa Hospitali za APHTA Ikiwemo Aghakani na TMJ

NHIF yakusudia kusitisha Mkataba wa Huduma kwa Hospitali za APHTA Ikiwemo Aghakani na TMJ

Jibu lako linaweza lisiwe sahihi sana. AGHA KHAN bei za za matibabu ziko juu sana ukilinganisha na hospitali nyingi achilia mbali za umma. Hivyo watu wengi waliokuwa wanatibiwa huko ni wale wa NHiF. Na kuna kamchezo ka kupandisha bei kwenye Bill zao. Hivyo kuwa kosa wateja wa NHiF ubaridi utawaingia kama si kutetemeka. No matter how big their
Kwani mkuu unajua aghakani imeanza kupokea Bima lini za NHIF???
Je kipindi ambacho walikuwa hawapokei walikuwa Hawana Fund au walikuwa wanategemea nini??

Hakuna kitu kama kupandisha bei kwa Wateja huo ni upuuzi mnaojijengea..

Lets say..Bei ya Jumla nanunua ceftriaxone Tsh 900 mpaka 1000..
Kumbuka kuna Bomba la sindano hapo la 250/-
Risk taking 100/-
Wahudumu wanaochoma labda 300/=
Na tuseme labda Spirit ,Pamba swabs ni 500/-
Gharama za kuchoma Taka hiyo tuseme ni Tsh 200/-

Jumla tu hapo bila kuweka Faida ni 2500 nikiweka na Faida labda iwe 3000/-

Then unajiuliza kwanini NHIF wamepunguza Bei mpaka Tsh 1200/=
Lengo ni nini kwamba Hospitali zijiendeshe kutumia nini???
 
Hospital kama AK, TMJ etc...target yao siyo walalahoi. Ni walalahai!
Siku zote ukiona huduma fulani ni aghali popote pale...tambua kwamba wewe siyo mlengwa. The earlier the better.

Siku zote uchumi binafsi unaamua...utibiwe wapi, usome wapi, uishi wapi nk.
Mengine ni porojo za CCM na wapiga korasi wao.
 
Hospital kama AK, TMJ etc...target yao siyo walalahoi. Ni walalahai!
Siku zote ukiona huduma fulani ni aghali popote pale...tambua kwamba wewe siyo mlengwa. The earlier the better.

Siku zote uchumi binafsi unaamua...utibiwe wapi, usome wapi, uishi wapi nk.
Mengine ni porojo za CCM na wapiga korasi wao.
 
Huwezi shindana Na serikali Na ukashinda hakunaga kitu kama iko
Wangapi walishindana na wakashinda Mkuu..
Hebu acha mawazo finyu hayo..
Mgomo wa madaktari ulivotokea kipindi cha Mkapa na kikwete Nani alikuwa mshindi wa Mgomo.??
Ni Madaktari na wakapandishwa mishahara waliokuwa wanadai..

Tatizo vijana mnaozaliwa gen z au gen y Huwa mnalishwa ujinga sana wa uoga
 
Wanataka tutumie substandard drugs
Kwani mkuu unajua aghakani imeanza kupokea Bima lini za NHIF???
Je kipindi ambacho walikuwa hawapokei walikuwa Hawana Fund au walikuwa wanategemea nini??

Hakuna kitu kama kupandisha bei kwa Wateja huo ni upuuzi mnaojijengea..

Lets say..Bei ya Jumla nanunua ceftriaxone Tsh 900 mpaka 1000..
Kumbuka kuna Bomba la sindano hapo la 250/-
Risk taking 100/-
Wahudumu wanaochoma labda 300/=
Na tuseme labda Spirit ,Pamba swabs ni 500/-
Gharama za kuchoma Taka hiyo tuseme ni Tsh 200/-

Jumla tu hapo bila kuweka Faida ni 2500 nikiweka na Faida labda iwe 3000/-

Then unajiuliza kwanini NHIF wamepunguza Bei mpaka Tsh 1200/=
Lengo ni nini kwamba Hospitali zijiendeshe kutumia nini???
 
Mkuu tutoe hspa
Malipo ya naweza kuchelewa lakini ni billions of money. Trust me
Nakutrust Vipi na mimi ni mmoj wa Wahanga 😅😅
Unadai claim ya Tsh 12Mil unaletewa 3 Milion unkuta umekatwa bila sababu zisizoeleweka mpaka uwafate na madaktari kwnda kubishana kila mwezi wanakuongeza kutoka 3 mpaka 6..
Ni upuuzi tu unaendesha matibabu kwa hasara
 
Wanachokifanya NHIF ni devide and rule wanawatumia barua kila Hospitali kwa muda wake ili kila mmoja ajibu kivyake
Kwani wanapoingia mkataba na NHIF huwa wanaingia kama kundi, au ni kila hospitali husika.....utaona mbali na kuvunja masharti ya mkataba pia wamevunja sheria za nchi, nchi inachezewa sana hii...
 
Kwani wanapoingia mkataba na NHIF huwa wanaingia kama kundi, au ni kila hospitali husika.....utaona mbali na kuvunja masharti ya mkataba pia wamevunja sheria za nchi, nchi inachezewa sana hii...
Ni kundi ila wamefanikiwa kulivunja baadhi
 
Wait and see . Wait and see . Very different economic generations
. No one is paying 100k-200k per treatment . Every month for the rest of the life . In this economy . Also the lack of funds forced them to accept the insurance
Kaka Kingereza kingi mno ila ukae ukijua tuna matabaka
Wagonjwa wengine ukiwatajia bei nafuu wanahama hospital
 
Sasa mfano Regency hospital pale ukipeleka mzazi kujifungua wanakwambia ulipie 90,000/=ya kipimo sijui kipimo gani ambacho hakipo kwenye bima na bima inatumika ,..

Wao wapo kwenye faida tu mbwa hao.
Cardiotocography (CTG) ambayo ina monitor status ya mtoto haipo kwenye NHIF, na vipimo vyengine vingi tu
 
Jibu lako linaweza lisiwe sahihi sana. AGHA KHAN bei za za matibabu ziko juu sana ukilinganisha na hospitali nyingi achilia mbali za umma. Hivyo watu wengi waliokuwa wanatibiwa huko ni wale wa NHiF. Na kuna kamchezo ka kupandisha bei kwenye Bill zao. Hivyo kuwa kosa wateja wa NHiF ubaridi utawaingia kama si kutetemeka. No matter how big their
Nkupe mfano wa huduma
NHIF kwenye Operation A itachangia 3M
Bei ya Operation A MOI ni 8M
Bei ya Operation A Aga khan ni 21M


Hapo nani atakua dependent na Bima?
 
NHIF needs to be re engineered. Management imeshindwa kazi. They don't pay for services rendered to their clients. Hata hospital za serikali given the choice, they would not give service to NHIF card holders.
 
Agha khan iko karibu nusu ya dunia, usidhan ni Tanzania tu
Benard Konga hana CV wala uzoefu wa kuivusha NHIF kwenye hii recession, Ummy anadanganywa na wataalam pale wizarani, miongozo inatengenezwa kuwatarget watoa huduma binafsi kutokana na wivu wa madaktari walioko wizarani na NHIF kwa wamiliki na madaktari wenzao wanaomiliki vituo binafsi! shida ya NHIF kuelemewa ni kujiingiza kwenye shughuli ambazo sio zake, kuwekeza kwenye miradi isiyolipa kama ya ujenzi, kutoa mikopo ya. hovyo kwa wafanyakazi wake na mipango ya makadirio mibovu. Mfujko unahitaji overall reforms ya uongozi na approach, ondoa Monopoly kwa kuruhusu watu wachague mfuko wa kujiunga tofauti na sasa wafanyakazi wa serikali na mashirika hawana hiari ya kuchangua mfuko, mnakusanya hela zao badala walau zitumike kutibu makundi maalum kama watoto chini ya miaka mitano na wao mmewafutia Toto afya Cards" sasa hizo hela manapeleka wapi na wachangiaji mnawapa huduma mbovu sizioendana na michango?
 
Back
Top Bottom