DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
- Thread starter
- #121
Vigumu sana ukiona Mpaka Muhimbiri wameiingia kati Kuokoa Jahazi maana yake ngoma ngumuWakiufyata sijui utasemaje ndg?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vigumu sana ukiona Mpaka Muhimbiri wameiingia kati Kuokoa Jahazi maana yake ngoma ngumuWakiufyata sijui utasemaje ndg?
Waziri wa afya kashasema mgonjwa asiondelewe wodini Na wagonjwa wa dharura wapokeleweWangapi walishindana na wakashinda Mkuu..
Hebu acha mawazo finyu hayo..
Mgomo wa madaktari ulivotokea kipindi cha Mkapa na kikwete Nani alikuwa mshindi wa Mgomo.??
Ni Madaktari na wakapandishwa mishahara waliokuwa wanadai..
Tatizo vijana mnaozaliwa gen z au gen y Huwa mnalishwa ujinga sana wa uoga
Tembelea mahospitalini uone uhalisiaW
Waziri wa afya kashasema mgonjwa asiondelewe wodini Na wagonjwa wa dharura wapokelewe
MkuuHata Magu aliwahi kuwasemea mbovu juu ya gharama zao kuwa juu sana, wakati wana misamaha ya kodi.
Wafe kabisa...maana ni upumbavu mtu mzima kumpa mwanasiasa serikalini hela zako eti ukiumwa akakutibie kama litoto lidogoWahanga watakuwa ni wagonjwa na si hospitali zinazotoa huduma.
Kwa nini hawakuikataa tokea mwanzo?.Watu wanaotumia NHIF ndio watakaoumia.....Hii bima ni takataka kitambo sana...
Isitoshe Agakhan walikuwa hawaitaki...Pole sana wanachama...
MkuuWangapi walishindana na wakashinda Mkuu..
Hebu acha mawazo finyu hayo..
Mgomo wa madaktari ulivotokea kipindi cha Mkapa na kikwete Nani alikuwa mshindi wa Mgomo.??
Ni Madaktari na wakapandishwa mishahara waliokuwa wanadai..
Tatizo vijana mnaozaliwa gen z au gen y Huwa mnalishwa ujinga sana wa uoga
Hahahaha Sasa kwani tamko.la.waziri linaathari gani???W
Waziri wa afya kashasema mgonjwa asiondelewe wodini Na wagonjwa wa dharura wapokelewe
Wapokelewe hospitali yake?W
Waziri wa afya kashasema mgonjwa asiondelewe wodini Na wagonjwa wa dharura wapokelewe
Hazilipi kwa wakati kwasababu serikali inaenda kwenye hiyo mifuko na kuchota mahela yote na kwenda kuyala kwenye mambo yao ya siasa hukoHapo cha msingi ni maokoto tu , ugomvi mkubwa wa hospital na bima nyingi ni kutolipwa kwa wakati ,NHIF hailipi kwa wakati ndiyo maana hospital nyingi hazipokei bima ya NHIF na baadhi ya BIMA michosho.
Ushauri tu ni kwamba NHIF lipeni kwa wakati ,mkiendesha kisiasa hamtotoboa.
Utu KwanzaWapokelewe hospitali yake?
Wasiondolewe hospitali yake?
Muwe mnaheshimu private enterprise......
Wanaondolewa na hana la kufanya....akileta mguu kupigia private property kelele anapelekwa mahakamani alipie damages!
Kuna wanasiasa vichaa sana dunia hii
MkuuKwa nini hawakuikataa tokea mwanzo?.
Hazilipi kwa wakati kwasababu serikali inaenda kwenye hiyo mifuko na kuchota mahela yote na kwenda kuyala kwenye mambo yao ya siasa huko
Now its time to pay back
Politicians are the human tragedy!
Utu?Utu Kwanza
Sio intimidation boss, Aga khan walitoa tamko la kusitisha huduma kwa wateja wa bima hivyo wamevunja na kukiuka mkataba na bima ndiyo maana mkataba unavunjwa. Acheni fikra kuwa kila siku unawindwa.Barua ilo sawa its called intimidation Mkuu..
Yaani namwambia Athumani kwamba Juma nimekwisha mpiga kwa kosa mlilofanya jana wote wawili alafu namtaka athumani.aombe msamaha kabla sijampiga..
Sijui umenielewa..
Its called intimidation to create Division..
Its called Divide and rule