Ni 1% tu ya Wakenya wanaoweza kumiliki Milioni 40 za Kitanzania

Ni 1% tu ya Wakenya wanaoweza kumiliki Milioni 40 za Kitanzania

Naton Jr

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2016
Posts
7,867
Reaction score
19,250
Report mpya ya ukwasi wa mtu mmoja mmoja katika mataifa tofauti duniani imetoka ikionesha hali ya utajiri katika taifa.

Aidha report hii inaonesha ni kiasi gani cha fedha unapaswa kuwa nacho ili uingie kwenye country's millionaire club au uwe regarded as a wealth man au uwemo katika kundi dogo la juu kabisa la watu wenye ukwasi.

Katika jedwali kuna mataifa kadhaa na kiasi cha pesa in USD raia wa taifa hilo anapaswa kuwa nacho ili awe miongoni mwa kundi dogo la watu wenye utajiri wa juu kabisa.

Cha kushangaza ni kwamba kenya inashika mkia na unahitaji kuwa na dollars za Marekani 20k tu ili uwe mtu tajiri zaidi Kenya kwa maneno mengine ni million 40 za Kitanzania zinakufanya uwe katika 1% ya wakenya wenye utajiri wa kutisha ambao 98% ya wakenya wote wanatamani wawe kama wewe.

Polish_20210423_043256844.png
 
Ukisha maliza kukenua kenua kisa umeona jina la Kenya, S.Africa na Nigeria kwenye graph soma ripoti yote kikamilifu. Nchi zilizotajwa ndio zinaongoza kwenye bara na kanda zao kwa wingi wa $ anazofaa kumiliki mtu binafsi ili ajiunge na hiyo 1% 'club' ya matajiri. Inamaana kwamba 1% ya watanzania hata hiyo $20,000(46,380,000tzshs) kama za 1% ya wakenya, hawazioni. Haya basi, sasa anza kuimba ile chorus yenu pendwa ya kuhujumiwa na mabeberu. [emoji1] How much wealth gets you into the global top 1%?
 
Ukisha maliza kukenua kenua kisa umeona jina la Kenya S.Africa na Nigeria kwenye graph soma ripoti yote kikamilifu. Nchi zilizotajwa ndio zinaongoza kwenye bara na kanda zao kwa wingi wa $ anazofaa kumiliki mtu binafsi ili ajiunge na hiyo 1% 'club' ya matajiri. Inamaana kwamba 1% ya watanzania hata hiyo $20,000, kama za Kenya, hawazioni. Haya basi anza kuimba ile chorus yenu pendwa ya kuhujumiwa na mabeberu. [emoji1] How much wealth gets you into the global top 1%?
Kenya kweli ni failed state😂😂😂😂

billionaire-pic.jpg
 
Mchumi mwandamizi Tony254 anasemaje katika hili?

Washeni taa tumulike kwa tochi nyang'au hawaonekani kwenye huu uzi.
 
The quality of conversation in this forum has gone to the dogs!!!! People do not even understand what they are posting. SMH.
Ndio upuuzi ambao huwa unainyima mvuto jukwaa hili. Mwanzoni nilidhani ni lugha gongana. IIa siku hizi sina muda wa kujibizana na watu ambao hata kuelewa data simple ambazo zimechambuliwa tayari ni kibarua kigumu kwao. Low IQ haina tiba ya haraka.
 
Ukisha maliza kukenua kenua kisa umeona jina la Kenya, S.Africa na Nigeria kwenye graph soma ripoti yote kikamilifu. Nchi zilizotajwa ndio zinaongoza kwenye bara na kanda zao kwa wingi wa $ anazofaa kumiliki mtu binafsi ili ajiunge na hiyo 1% 'club' ya matajiri. Inamaana kwamba 1% ya watanzania hata hiyo $20,000(46,380,000tzshs) kama za 1% ya wakenya, hawazioni. Haya basi, sasa anza kuimba ile chorus yenu pendwa ya kuhujumiwa na mabeberu. [emoji1] How much wealth gets you into the global top 1%?
😅😅😅 Report imeanza na wa kichwani na kumaliza na wa matakoni, isingewezekana nchi zote ziwe featured hapo 😅😅😅
 
The quality of conversation in this forum has gone to the dogs!!!! People do not even understand what they are posting. SMH.
😅😅😅 Tulia wewe na uchumi wenu wa miraaa 😅😅😅 mfuga kuku wa Singida ni billionaire Kenya 😆
 
Ndio upuuzi ambao huwa unainyima mvuto jukwaa hili. Mwanzoni nilidhani ni lugha gongana. IIa siku hizi sina muda wa kujibizana na watu ambao hata kuelewa data simple ambazo zimechambuliwa tayari ni kibarua kigumu kwao. Low IQ haina tiba ya haraka.
Nafurahia kuona namna Dunia inavumbua ukweli kwamba uchumi wa Kenya ni wa wauza gongo na komoni

Sasa Kenya ni nairobi tu ukifika hapo juu tu Lamu ni kama upo jehanamu 😅😅😅
 
[emoji28][emoji28][emoji28] Tulia wewe na uchumi wenu wa miraaa [emoji28][emoji28][emoji28] mfuga kuku wa Singida ni billionaire Kenya [emoji38]
Kuna yule mshikaji niliona video yake kwa millard Ayo anafanya biashara ya kufuga na kuuza mbwa na yeye atakuwa ni billionaire kenya [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna yule mshikaji niliona video yake kwa millard Ayo anafanya biashara ya kufuga na kuuza mbwa na yeye atakuwa ni billionaire kenya [emoji23][emoji23][emoji23]
😅😅😅😅



Ebwanaeeh tena ukisoma comments wapo wakenya wa kufa mtu humo, uzuri wanajadiliana humohumo kwamba hakuna mkenya mwenye uchumi wa kununua hao mbwa na wa nashangaa sana mbwa wanakula diet ambayo wakenya wengi hawajawahi kuiona mezani 😅😅😅
 
[emoji28][emoji28][emoji28] Report imeanza na wa kichwani na kumaliza na wa matakoni, isingewezekana nchi zote ziwe featured hapo [emoji28][emoji28][emoji28]
Haitakugharimu hela nyingi kuingia darasani ukafunzwe kiingereza jombaa. Ripoti yote ndio hiyo hapo tafuta mkalimani akutafsirie. Eti kwamba mna afueni zaidi ya S.Africa? [emoji1]
 
Haitakugharimu hela nyingi kuingua darasani kufunzwa kiingereza jombaa. Ripoti yote ndio hiyo hapo tafuta mkalimani akutafsirie. Eti kwamba mna afueni zaidi ya S.Africa. [emoji1]
Sasa Unabisha wakati mnategemea remittance kutoka Tanzania ili kusurvive? 😅😅😅😅
 
Eti kusurvive, kivipi wakati Kenya ni Kati ya nchi zinazo ongoza kwa uwekezaji nchini Tanzania? Mataga buana!
Uwekezaji tunautaka sana tena sana sababu tunataka ajira, kodi, tozo na mzunguko mkubwa wa uchumi na Tanzania ni eneo linalovutia kwa uwekezaji sababu ya mazingira bora

Uchumi huu imara ndio unafanya ninyi wafa njaa muendelee kupumua na kuzaliana bila Tanzania, Kenya ingekua more failed state than what we experiencing now, yaani pamoja na hii hostility relation lakini bado Tanzania inaifanya Kenya itoke kimasomaso 😅😅
 
Back
Top Bottom