Ni 1% tu ya Wakenya wanaoweza kumiliki Milioni 40 za Kitanzania

Ni 1% tu ya Wakenya wanaoweza kumiliki Milioni 40 za Kitanzania

Uwekezaji tunautaka sana tena sana sababu tunataka ajira, kodi, tozo na mzunguko mkubwa wa uchumi na Tanzania ni eneo linalovutia kwa uwekezaji sababu ya mazingira bora

Uchumi huu imara ndio unafanya ninyi wafa njaa muendelee kupumua na kuzaliana bila Tanzania, Kenya ingekua more failed state than what we experiencing now, yaani pamoja na hii hostility relation lakini bado Tanzania inaifanya Kenya itoke kimasomaso [emoji28][emoji28]
Yea na UK mabeberu ambao ndio wanaongoza kwa uwekezaji nchini Tz wanasurvive kwa neema zenu. [emoji106] Itakuwa najadiliana na mtu ambaye hata hawezi kuhesabu kutoka 1 hadi 100.

Wakenya kuwekeza nchini Tz haimaanishi kwamba mmetuzidi kwenye kuwavutia wawekezaji au kwenye mazingira mazuri ya kibiashara. Kama unazo takwimu za ukanda huu kuhusu suala hilo zilete humu uaibike bure. Wawekezaji wanafata faida ya haraka haraka jombaa, hela zao hawazileti kama misaada, acha kutumia akili za vijijini.
 
Yea na UK mabeberu ambao ndio wanaongoza kwa uwekezaji nchini Tz wanasurvive kwa neema zenu. [emoji106] Itakuwa najadiliana na mtu ambaye hata hawezi kuhesabu kutoka 1 hadi 100.

Wakenya kuwekeza nchini Tz haimaanishi kwamba mmetuzidi kwenye kuwavutia wawekezaji au kwenye mazingira mazuri ya kibiashara. Kama unazo takwimu za ukanda huu kuhusu suala hilo zilete humu uaibike bure. Wawekezaji wanafata faida ya haraka haraka jombaa, hela zao hawazileti kama misaada, acha kutumia akili za vijijini.
Mzee remittance sio profit

Remittance ni kipimo cha utegemezi kutoka kwa sender kwenda kwa receiver, unatuma pesa nyumbani sababu wa nyumbani wana shida sana na ni mafukara hawana any local means to survive ndio maana wanahitaji the helping hand

Tanzania donor country ukanda huu 😅😅😅
 
Jombaa, tupo mwaka wa 2021 sio 2019.
2749140_tapatalk_1619023730777.png
Africa Wealth Report 2021 - AfrAsia Bank Mauritius
Fake
 
Mzee remittance sio profit

Remittance ni kipimo cha utegemezi kutoka kwa sender kwenda kwa receiver, unatuma pesa nyumbani sababu wa nyumbani wana shida sana na ni mafukara hawana any local means to survive ndio maana wanahitaji the helping hand

Tanzania donor country ukanda huu [emoji28][emoji28][emoji28]
Nazungumza kuhusu faida wanazopata wawekezaji wa Kenya nchini Tz, hata kiswahili pia kinakukanganya? [emoji1] Eti remittance ni utegemezi? Wakenya wanafanya kazi kila kona duniani na hela wanazozituma nyumbani ni kwa faida yao , kwa njia zaidi ya moja, kimaendeleo, sio kwa matumizi tu ya kawaida ya wanaotumiwa.

Jombaa, unasoma kweli unachoandika kabla ya kupost? Alafu imekuaje ukaanza kuruka ruka bila formular, au ndio umeangukia pua vibaya kwenye mada yako uliotupia hapo juu kwenye uzi huu? [emoji41]
 
Nazungumza kuhusu faida wanazopata wawekezaji wa Kenya nchini Tz, hata kiswahili pia kinakukanganya? [emoji1] Eti remittance ni utegemezi? Wakenya wanafanya kazi kila kona duniani na hela wanazozituma nyumbani ni kwa faida yao , kwa njia zaidi ya moja, kimaendeleo, sio kwa matumizi tu ya kawaida ya wanaotumiwa. Jombaa, unasoma kweli unachoandika kabla ya kupost?
Remittance ni utegemezi tena uvivu na kukosa akili na maarifa, mijitu imekaa tu haijushughulishi na chochote inategemea manamba wa muarab huko Gulf apigike kusugua masafuria kisha atume nyumbani chochote

Ili kujua remittance ni utegemezi Kenya ni fact kwamba remittance ndio leading forex channel into Kenyas economy

Yaani hiyo Chai yenu sijui parachichi kahawa, utalii na makorokocho yote hakuna hata 1 inayoipita remittance kuingiza pesa nyingi za kigeni

Maana yake ni kwamba wakenya less than 2% wanaoishi abroad wanafanya kazi kubwa sana kuliko wakenya zaidi ya million 48 waliopo nchini katika kuzalisha forex money

Hii ni ishara ya ufukara wa akili na maarifa ni Mexico na Colombia pia ndio yenye hii sifa kutokana na kuwa ndio source kubwa ya housemaids wa US

SHAME
 
Remittance ni utegemezi tena uvivu na kukosa akili na maarifa, mijitu imekaa tu haijushughulishi na chochote inategemea manamba wa muarab huko Gulf apigike kusugua masafuria kisha atume nyumbani chochote

Ili kujua remittance ni utegemezi Kenya ni fact kwamba remittance ndio leading forex channel into Kenyas economy

Yaani hiyo Chai yenu sijui parachichi kahawa, utalii na makorokocho yote hakuna hata 1 inayoipita remittance kuingiza pesa nyingi za kigeni

Maana yake ni kwamba wakenya less than 2% wanaoishi abroad wanafanya kazi kubwa sana kuliko wakenya zaidi ya million 48 waliopo nchini katika kuzalisha forex money

Hii ni ishara ya ufukara wa akili na maarifa ni Mexico pia ndio yenye hii sifa kutokana na kuwa ndio source kubwa ya housemaids wa US

SHAME
Ok.
 
Report mpya ya ukwasi wa mtu mmoja mmoja katika mataifa tofauti duniani imetoka ikionesha hali ya utajiri katika taifa.

Aidha report hii inaonesha ni kiasi gani cha fedha unapaswa kuwa nacho ili uingie kwenye country's millionaire club au uwe regarded as a wealth man au uwemo katika kundi dogo la juu kabisa la watu wenye ukwasi.

Katika jedwali kuna mataifa kadhaa na kiasi cha pesa in USD raia wa taifa hilo anapaswa kuwa nacho ili awe miongoni mwa kundi dogo la watu wenye utajiri wa juu kabisa.

Cha kushangaza ni kwamba kenya inashika mkia na unahitaji kuwa na dollars za Marekani 20k tu ili uwe mtu tajiri zaidi Kenya kwa maneno mengine ni million 40 za Kitanzania zinakufanya uwe katika 1% ya wakenya wenye utajiri wa kutisha ambao 98% ya wakenya wote wanatamani wawe kama wewe.

View attachment 1760996
Kama hijatajwa kwa hiyo list just know that you need very little man to get into 1% of your country, I think Tanzanians need $1000 compared to Kenya's $20,000 get into the 1%.
 
Kama hijatajwa kwa hiyo list just know that you need very little man to get into 1% of your country, I think Tanzanians need $1000 compared to Kenya's $20,000 get into the 1%.
20k ndio bottom line bro, kima cha mama mboga huku 😅😅
 
Kama hijatajwa kwa hiyo list just know that you need very little man to get into 1% of your country, I think Tanzanians need $1000 compared to Kenya's $20,000 get into the 1%.
Eti $1,000? [emoji1][emoji1][emoji1] Jamaa alipandwa na mahanjam aliposoma jina la Kenya, hadi akaipaka nchi yake tope bila kujua.
 
Eti $1,000? [emoji1][emoji1][emoji1] Jamaa alipandwa na mahanjam aliposoma jina la Kenya, hadi akaipaka nchi yake tope bila kujua.
😅😅 Huyo unayemquote ndio alikua anademka na hii aibu jana kututambia, kumbe nae English is a problem 😅😅😅
 
Ukisha maliza kukenua kenua kisa umeona jina la Kenya, S.Africa na Nigeria kwenye graph soma ripoti yote kikamilifu. Nchi zilizotajwa ndio zinaongoza kwenye bara na kanda zao kwa wingi wa $ anazofaa kumiliki mtu binafsi ili ajiunge na hiyo 1% 'club' ya matajiri. Inamaana kwamba 1% ya watanzania hata hiyo $20,000(46,380,000tzshs) kama za 1% ya wakenya, hawazioni. Haya basi, sasa anza kuimba ile chorus yenu pendwa ya kuhujumiwa na mabeberu. [emoji1] How much wealth gets you into the global top 1%?
The report also shows that the number of Tanzanian high-net-worth individuals (HNWI) with $1 million or more worth of assets including their primary residence rose eight per cent to 5,553 from 5,118 over the same period.

In Kenya the number of HNWI declined 15 per cent to 2,900 from 3,399, while the number of UHNWIs declined by 13 per cent to 42 from 48 individuals.

In Uganda, the number of HNWI declined by six per cent to 137 in 2019 from 146 in 2018 while the number of UHNWIs remained unchanged at five individuals.
 
😅😅 Huyo unayemquote ndio alikua anademka na hii aibu jana kututambia, kumbe nae English is a problem 😅😅😅
Jana nilikuwa nawaambia kuwa Kenya iko juu yenu juu ilitoka kwa hiyo list. Hiyo ni list ya matajiri pekee, sio watu wenye wamejazwa na umaskini kama watanzania.
 
Kingereza kimempinga Chenga🤣🤣😂
East African countries are home to a growing list of wealthy individuals, with Tanzania topping the region in creating dollar millionaires.

The Wealth Report 2020 by real estate consultancy firm Knight Frank shows that Tanzania is the only country in the region to have produced a single individual controlling a net wealth of $1 billion or more, with the number of ultra-high-net-worth individuals (UHNWIs) holding $30 million or more worth of assets including their primary residence rising five per cent to 114 last year, from 109 in 2018.
 
The report also shows that the number of Tanzanian high-net-worth individuals (HNWI) with $1 million or more worth of assets including their primary residence rose eight per cent to 5,553 from 5,118 over the same period.

In Kenya the number of HNWI declined 15 per cent to 2,900 from 3,399, while the number of UHNWIs declined by 13 per cent to 42 from 48 individuals.

In Uganda, the number of HNWI declined by six per cent to 137 in 2019 from 146 in 2018 while the number of UHNWIs remained unchanged at five individuals.
Thanks for reports za 2019. Tuko 2021 saa hii 😂😂👇👇

tapatalk_1619023730777.png
 
East African countries are home to a growing list of wealthy individuals, with Tanzania topping the region in creating dollar millionaires.

The Wealth Report 2020 by real estate consultancy firm Knight Frank shows that Tanzania is the only country in the region to have produced a single individual controlling a net wealth of $1 billion or more, with the number of ultra-high-net-worth individuals (UHNWIs) holding $30 million or more worth of assets including their primary residence rising five per cent to 114 last year, from 109 in 2018.
Tumechoka na data zenu za kitambo.

tapatalk_1619023730777.png
Screenshot (5)~2.png
 
Back
Top Bottom