Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I don't think u are normal.Yaani wewe kwa ufupi ni shortwireWacha kudemka mama, maisha yanakuchapa huko njoo huku uwe house keeper au barmaid kwenye mahotel yetu uchangamke na remittance ukomboe family yenu inayotafunwa na funza π π π
Hio funza nikama imekula ubongo yakoMama pambana na funza kwanza π π
They are not in the list because they need less than that 20,000 to get in the 1%.Nioneshe Egypt kwenye list πͺπ¬π
Hiyo 20k ndio hamna ndio maana hamko kwenye list.20k ni tajiri wa wapi hata vx v8 hupati π π π
I know you are now regretting opening this thread.Umekaa kwenye PowerPoint unaunda hizi pumba kuhangaisha vichaa wenzio sio? π
Uko na reasoning ya kitoto Sana. Kwani huyo mwenye billions atakuwa anagawia watu pesa zake hili wawe millionaires wengi? Now I understand why your government said that Tanzanians use 1% of their brain to reason.Ni economy law that the more billionaires the higher the millionaires
Eti wenye billionaire wawe na millionaires wachache kuliko wasio na billionaires, we kweli kichaa π π π
Leta report from 2010 till 2021,East African countries are home to a growing list of wealthy individuals, with Tanzania topping the region in creating dollar millionaires.
The Wealth Report 2020 by real estate consultancy firm Knight Frank shows that Tanzania is the only country in the region to have produced a single individual controlling a net wealth of $1 billion or more, with the number of ultra-high-net-worth individuals (UHNWIs) holding $30 million or more worth of assets including their primary residence rising five per cent to 114 last year, from 109 in 2018.
π π π Wakati millionaires wa Kenya wanamiliki 20k ya probox 2?Uko na reasoning ya kitoto Sana. Kwani huyo mwenye billions atakuwa anagawia watu pesa zake hili wawe millionaires wengi? Now I understand why your government said that Tanzanians use 1% of their brain to reason.
View attachment 1761323View attachment 1761325
Ukisha maliza kukenua kenua kisa umeona jina la Kenya, S.Africa na Nigeria kwenye graph soma ripoti yote kikamilifu. Nchi zilizotajwa ndio zinaongoza kwenye bara na kanda zao kwa wingi wa $ anazofaa kumiliki mtu binafsi ili ajiunge na hiyo 1% 'club' ya matajiri. Inamaana kwamba 1% ya watanzania hata hiyo $20,000(46,380,000tzshs) kama za 1% ya wakenya, hawazioni. Haya basi, sasa anza kuimba ile chorus yenu pendwa ya kuhujumiwa na mabeberu. [emoji1] How much wealth gets you into the global top 1%?
Hehehe kweli ujinga ni kazi ngumu kweli, kwani hata huelewi thread yakoπππ€£. Wakati bado unapoesha kidonda tafadhali jifurahishe na hii.π π π Wakati millionaires wa Kenya wanamiliki 20k ya probox 2?
Hii kafungie maandaziHehehe kweli ujinga ni kazi ngumu kweli, kwani hata huelewi thread yakoπππ€£. Wakati bado unapoesha kidonda tafadhali jifurahishe na hii.
![]()
View attachment 1761344
View attachment 1761341