Hahahaaa hongera. Wakilisha wanaume wengineLabda nguvu zikianza kupungua..
Ninavyokueleza hapa naishi nae pika pakua, na bado sijachoka wala kukinai, na aheri ingekuwa umri wa mwanzo ungesema balehe inanipeleka puta!! Nisharuka mnoo mpaka kuamua kutulia
Weeee wiki tu tumeshaachanaWakati mwingine naweza kukwambia subiri kidogo nitakupigia, ukiona kimya ujue ndio tumeshaagana havyo. Duh! Sijui kama tungeweza kuishi pamoja.
Kupiga puchu.Aisee kwenye maisha kuna mambo ukizoea kuyafanya baadae yanageuka tabia, yanageuka hulka na mwenendo wa maisha.. *Addiction* ni moja ya vitu vigumu sana kuvikimbia..
Mimi hulka ya kunywa soda kila mara nimeshindwa kabisa kuiacha..
Hebu tuambie addiction yako ni ipi ???pengine tutasaidiana kuziacha..
Wahi hospitali wallahSababu yoyote ile kuna mda natamani niwe mkavu usoni ila najikuta machozi yamefunika uso tayari.
Asante kwa ushauri wallahWahi hospitali wallah
Vinginevyo kama si ugonjwa basi utakuwa na nyota ya misiba wallahAsante kwa ushauri wallah
Kama Leo msiba wa Mengi nimelia sana wallahVinginevyo kama si ugonjwa basi utakuwa na nyota ya misiba wallah
Wa Ruge nasikia ulilia mpaka meno yakatoa jasho wallahKama Leo msiba wa Mengi nimelia sana wallah
ππππ Nitakuwa na tatizo gani wallahWa Ruge nasikia ulilia mpaka meno yakatoa jasho wallah
wow, ni wadada wachache sana wanafanya hivoNeed For Speed Most Wanted
AisePonografia
Njoo nikukague wallah...ππππ Nitakuwa na tatizo gani wallah