Ni Adhabu ipi kati ya hizi zifuatazo zinamfaa mno Abiria wa Mabasi yaendayo Mikoani ambaye hupenda Kukulalia, Kukutemea udenda yake na hadi Kujamba?

Ni Adhabu ipi kati ya hizi zifuatazo zinamfaa mno Abiria wa Mabasi yaendayo Mikoani ambaye hupenda Kukulalia, Kukutemea udenda yake na hadi Kujamba?

Mzukulu

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2020
Posts
1,401
Reaction score
2,641
Unakuta unasafiri Umbali mrefu sana kama wa kutoka Mkoani Dar es Salaam na kwenda zako Mkoani Kigoma halafu unajikuta umekaa Siti moja na Abiria ambaye huwa ana tabia zake za Kipuuzi Kipuuzi tu ambapo Usingizi ukimshika atakuegamia na kuanza Kukulalia na hapo hapo akikulalia ataanza Kukutolea Miudenda yake na Valvu yake ya Matakoni itaachia na atakujambia vilevile.

Je, Mzukulu nikikutana na Abiria Mpuuzi Mpuuzi kama huyu nikimpa Adhabu moja kati ya hizi nitakuwa namkosea au namuonea?

1. Nikiona amenilalia tu namwacha Usingizi umkolee kabisa kisha nafyatuka haraka ili ajigonge katika Siti ya mbele aumie akome
2. Nikiona amenilalia tu na kaanza Kunitolea Maudenda (Mate) yako nivumilie na tukifika sehemu ya Kula anifulie Nguo yangu
3. Nikiona amenilalia tu kwa Kuniegemea, Kunidondoshea Maudenda yake na Kunijambia nimzabe Kofi/ Kibao kimoja takatifu

Tafadhalini nichagulieni Adhabu moja tu hapo juu kwani nahisi Siku si nyingi nitasafiri Safari ndefu na najua haya Mauzauza nitakutana nayo tena.
 
Namba moja imekaa njema Sana na anaweza asirudie tena maana anaweza kujua Basi linadondoka akapiga na kelele kukazia upuuzi wake na anaweza asiishie tu kupiga kelele lazima atoe na kinyampo!. umemkurupua ghafla hapo lzm ahisi mambo yamekuwa mambo..😜😂

Ila nikikaa siti moja na mtoto kama lliedie afanye awezacho tu nitakuwa sina usemi maana hakuna mkate mgumu mbele ya chai..😉
 
Kati ya hizo zako labda ya kwanza.

Ila Mimi huwa nafungua dirisha mpaka mwisho maana huwa nasafiri na lile kopo LA maji LA lt1.5 namwaga Lita nzima ya maji kisha naweka k vant kubwa ni mwendo wa kugonga kinywaji kikiisha narudia tena mpaka nafika mwisho hivyo upepo haunistui

Mkojo huwa nakojolea kwenye kopo kisha nautupa njiani
NB sio vizuri kusafiri ukiwa umelewa in case ikitokea ajali

Ila safari huwa fupi sana ukiwa liquid
 
Mimi kuna lijamaa nilipanda nalo basi, kwanza likafosi kukaa dirishani nikaona poa haina shida.

Huyu bwege alikua analala mpaka anakoroma, ubaya akilala ananiegemea, ikawa kila likinilalia nalistua linaamka, linakaa kama dk5 linalala tena, nikaona isiwe taabu, nikaliacha likalala mpaka usingizi ukalikolea kweli kweli.

Nilipohakikisha liko ndotoni nikaliseti vizuri likalala mapajani kwangu(muda huo niliichezea dushe ikawa wima kama mlingoti) kisha kiutaratiiibu nikalishikisha dushe halafu nikajifanya na mie nimelala.

Abiria wa pembeni walipoona wakastuana wakaanza kuangalia huku wanacheka tu.

Baadae linakuja kustuka linajikuta lipo mapajani kwa mwanaume, mkono mmoja umeshika dushe, halafu ule udenda wake umelowanisha pale juu ya zipu likapagawa, likaanza kunikoromea, hapo ndo nikawa mkali kama mbogo mpaka basi zima wakajua

Mie nikawa nafoka kwa sauti ya juu kabisa " yaani umeona nimelala ukaamua kunichezea mboo yangu, ona mboo mpaka imesimama, halafu abiria wamekuona unajidai kuzuga, hebu tazama nguo yangu ilivyolowa, in umeninyonya mpaka nimekojoa"

Ilibidi nibadilishiwe seat maana vita kubwa sana ilikua inaelekea kutokea
 
Kati ya hizo zako labda ya kwanza.

Ila Mimi huwa nafungua dirisha mpaka mwisho maana huwa nasafiri na lile kopo LA maji LA lt1.5 namwaga Lita nzima ya maji kisha naweka k vant kubwa ni mwendo wa kugonga kinywaji kikiisha narudia tena mpaka nafika mwisho hivyo upepo haunistui

Mkojo huwa nakojolea kwenye kopo kisha nautupa njiani
NB sio vizuri kusafiri ukiwa umelewa in case ikitokea ajali

Ila safari huwa fupi sana ukiwa liquid

Nilianza Kuvutiwa na huu Mrejesho wako ila uliposema tu kuwa huwa Unakojoa Koponi na Kutupa nje nimekudharau na nakuona ni Mchafu sana.
 
Mimi kuna lijamaa nilipanda nalo basi, kwanza likafosi kukaa dirishani nikaona poa haina shida.

Huyu bwege alikua analala mpaka anakoroma, ubaya akilala ananiegemea, ikawa kila likinilalia nalistua linaamka, linakaa kama dk5 linalala tena, nikaona isiwe taabu, nikaliacha likalala mpaka usingizi ukalikolea kweli kweli.

Nilipohakikisha liko ndotoni nikaliseti vizuri likalala mapajani kwangu(muda huo niliichezea dushe ikawa wima kama mlingoti) kisha kiutaratiiibu nikalishikisha dushe halafu nikajifanya na mie nimelala.

Ndugu yangu hii Comment yako imenivunja mbavu hadi kila mara nikiirejea Kuisoma najikuta naangua Kicheko. Umenianzishia Siku kwa Furaha.
 
Kati ya hizo zako labda ya kwanza...

Ila Mimi huwa nafungua dirisha mpaka mwisho maana huwa nasafiri na lile kopo LA maji LA lt1.5 namwaga Lita nzima ya maji kisha naweka k vant kubwa ni mwendo wa kugonga kinywaji kikiisha narudia tena mpaka nafika mwisho hivyo upepo haunistui

Mkojo huwa nakojolea kwenye kopo kisha nautupa njiani
NB sio vizuri kusafiri ukiwa umelewa in case ikitokea ajali

Ila safari huwa fupi sana ukiwa liquid
We sio mstaarabu kabisa, yani ufungue dirisha hadi mwisho unategemea aliyekaa nyuma yako au pembeni yako ajiskiaje!!

Yaani, kama unasafiri na mimi ufungue dirisha hadi mwisho kisa tu umekunywa k-vant yako nakulamba makofi mpaka pombe ikutoke.

Ulivyokuwa mchafu unajisifu kukojolea kwenye kopo ndani ya gari!!, na movement za gari mamikojo yako yakimrukia abiria mwenzako utasemaje!, au yakurukie wewe mwenyewe uanze kunuka mikojo,..

Nakuhakikishia kama kweli hii ndio tabia yako ipo siku utakutana na size yako, mpaka muda wa kufika unapoenda utakuwa umevimba macho kwa makofi na ngumi
 
Nilianza Kuvutiwa na huu Mrejesho wako ila uliposema tu kuwa huwa Unakojoa Koponi na Kutupa nje nimekudharau na nakuona ni Mchafu sana.
Sawa ulitaka nijikojolee ili nionekane msafi hujui kilevi wewe
 
Mimi kuna lijamaa nilipanda nalo basi, kwanza likafosi kukaa dirishani nikaona poa haina shida.

Huyu bwege alikua analala mpaka anakoroma, ubaya akilala ananiegemea, ikawa kila likinilalia nalistua linaamka, linakaa kama dk5 linalala tena, nikaona isiwe taabu, nikaliacha likalala mpaka usingizi ukalikolea kweli kweli.

Nilipohakikisha liko ndotoni nikaliseti vizuri likalala mapajani kwangu(muda huo niliichezea dushe ikawa wima kama mlingoti) kisha kiutaratiiibu nikalishikisha dushe halafu nikajifanya na mie nimelala.

Abiria wa pembeni walipoona wakastuana wakaanza kuangalia huku wanacheka tu,

Baadae linakuja kustuka linajikuta lipo mapajani kwa mwanaume, mkono mmoja umeshika dushe, halafu ule udenda wake umelowanisha pale juu ya zipu likapagawa, likaanza kunikoromea, hapo ndo nikawa mkali kama mbogo mpaka basi zima wakajua

Mie nikawa nafoka kwa sauti ya juu kabisa " yaani umeona nimelala ukaamua kunichezea mboo yangu, ona mboo mpaka imesimama, halafu abiria wamekuona unajidai kuzuga, hebu tazama nguo yangu ilivyolowa, in umeninyonya mpaka nimekojoa"

Ilibidi nibadilishiwe seat maana vita kubwa sana ilikua inaelekea kutokea
Duh Jamaa unagawa chai mapema!!
 
We sio mstaarabu kabisa, yani ufungue dirisha hadi mwisho unategemea aliyekaa nyuma yako au pembeni yako ajiskiaje!!

Yaani, kama unasafiri na mimi ufungue dirisha hadi mwisho kisa tu umekunywa k-vant yako nakulamba makofi mpaka pombe ikutoke.

Ulivyokuwa mchafu unajisifu kukojolea kwenye kopo ndani ya gari!!, na movement za gari mamikojo yako yakimrukia abiria mwenzako utasemaje!, au yakurukie wewe mwenyewe uanze kunuka mikojo,..

Nakuhakikishia kama kweli hii ndio tabia yako ipo siku utakutana na size yako, mpaka muda wa kufika unapoenda utakuwa umevimba macho kwa makofi na ngumi

Sent using Jamii Forums mobile app

Hata Mimi hapo tu aliposema kuwa huwa anakojoa katika Kopo na Kulitupa nje dirishani amenifanya si tu nimpuuze bali hadi nimdharau kabisa pia.
 
Sawa ulitaka nijikojolee ili nionekane msafi hujui kilevi wewe

Acha Upumbavu wako Wewe kwani huko Kulewa Kwako umelazimishwa na Abiria Wenzako au Mmiliki wa hilo Basi? Umejiaibisha na tunakudharau.
 
We sio mstaarabu kabisa, yani ufungue dirisha hadi mwisho unategemea aliyekaa nyuma yako au pembeni yako ajiskiaje!!

Yaani, kama unasafiri na mimi ufungue dirisha hadi mwisho kisa tu umekunywa k-vant yako nakulamba makofi mpaka pombe ikutoke.

Ulivyokuwa mchafu unajisifu kukojolea kwenye kopo ndani ya gari!!, na movement za gari mamikojo yako yakimrukia abiria mwenzako utasemaje!, au yakurukie wewe mwenyewe uanze kunuka mikojo,..
Tatizo lako unakaa siti nyuma ya dereva hivi unywe tungi usubiri mpaka uchimbe dawa hiyo penis unaifunga na kamba ?

Hivi ukikojoa kwenye kopo na ukijikojolea UPI ni usafi wewe kima
 
Tatizo lako unakaa siti nyuma ya dereva hivi unywe tungi usubiri mpaka uchimbe dawa hiyo penis unaifunga na kamba ?

Hivi ukikojoa kwenye kopo na ukijikojolea UPI ni usafi wewe kima

Upuuzi wako uliotuandikia wa kupenda Kunywa Mipombe yako na Kukojoa katika Makopo na Kutupa Dirishani unautetea kwa Hoja za Kipumbavu.
 
Duh Jamaa unagawa chai mapema!!
Kama huamini, basi tusafiri pamoja halafu uone kama hujaamka na dushe mkononi, tena ilikua bahati yake jamaa aliamka kaishika, wewe unaweza kustuka usingizini ukaikuta mdomoni (si huwa ukilala unaacha mdomo wazi) hapo sasa sijui utafanyaje, utaendelea kuinyonya au utaitema hahaaaaa.

Hahaaaaaa sorry
 
Nimecheka siku moja nilipanda basi kwenye zile siti za watu watatu tulikuwa wanawake wawili mimi dirishani huyo Mama katikati na jamaa mmoja pembeni.

Basi yule Mama weee kila akisinzia anamlalia yule jamaa halafu ikitokea kashtuka eti anamuomba radhi. 😀😀😀 Jamaa hata hakuwa anamjibu anamuacha tu mana alikuwa amenuna huyo na ukiangalia hana jinsi ya kumkwepa.
 
kama huamini, basi tusafiri pamoja halafu uone kama hujaamka na dushe mkononi, tena ilikua bahati yake jamaa aliamka kaishika, wewe unaweza kustuka usingizini ukaikuta mdomoni(si huwa ukilala unaacha mdomo wazi) hapo sasa sijui utafanyaje, utaendelea kuinyonya au utaitema hahaaaaa

Hahaaaaaa sorry

Ndugu basi bhana hebu spare my Ribs tafadhali kwani unifanya nicheke mno kwa Vituko vyako. Una Kipaji kikubwa sana cha Uchekeshaji Ndugu.
 
Back
Top Bottom