Ni Adhabu ipi kati ya hizi zifuatazo zinamfaa mno Abiria wa Mabasi yaendayo Mikoani ambaye hupenda Kukulalia, Kukutemea udenda yake na hadi Kujamba?

Ni Adhabu ipi kati ya hizi zifuatazo zinamfaa mno Abiria wa Mabasi yaendayo Mikoani ambaye hupenda Kukulalia, Kukutemea udenda yake na hadi Kujamba?

Hata Mimi hapo tu aliposema kuwa huwa anakojoa katika Kopo na Kulitupa nje dirishani amenifanya si tu nimpuuze bali hadi nimdharau kabisa pia.
Kima nyie mkichimba dawa msituni mnaweka wapi haja zenu mnajifanya wastaarabu kumbe mnatembea na vinyesi tumboni
 
Sijui inakuwaje mtu analala mpaka anaota kwenye gari!!!
Mimi huwa nashindwa sababu mpaka nafika kichwa kinauma sana.
 
Ndugu yangu hii Comment yako imenivunja mbavu hadi kila mara nikiirejea Kuisoma najikuta naangua Kicheko. Umenianzishia Siku kwa Furaha.
Haya mambo ya usafiri yanakera sana

Kuna siku nilipanda bus na jimama lineneee halafu lina watoto watatu kwa makadirio umri wao ni kati ya miaka miwili mpaka minne, lile mama likagoma kuwalipia siti, likasema litawapakata, yaani basi ilitembea hata robo kilomita bado likaanza kukafosi kale kakubwa kakae katikati yetu(kumbuka lenyewe ni libooonge halafu katoto kakae katikati, can you imagine? halafu lenyewe liko upande wa dirishani) nikajikuta bila kupenda nimekaa tako moja kwenye seat kama vile nililipa nauli nusu, mbaya zaidi tuliposogea mbele kidogo nikapewa na kale kadogo nikapakate.

Nauli umelipa yoote, seat unakaa tako moja halafu juu umebeba mtoto, mbaya zaidi kale katoto kakanikojolea aiseeeee! ukiwa na hasira za karibu utaonekana mbaya, nikajikuta nimekua baba wa watoto watatu na mke wangu bonge
 
Mimi kuna lijamaa nilipanda nalo basi, kwanza likafosi kukaa dirishani nikaona poa haina shida.

Huyu bwege alikua analala mpaka anakoroma, ubaya akilala ananiegemea, ikawa kila likinilalia nalistua linaamka, linakaa kama dk5 linalala tena, nikaona isiwe taabu, nikaliacha likalala mpaka usingizi ukalikolea kweli kweli.

Nilipohakikisha liko ndotoni nikaliseti vizuri likalala mapajani kwangu(muda huo niliichezea dushe ikawa wima kama mlingoti) kisha kiutaratiiibu nikalishikisha dushe halafu nikajifanya na mie nimelala.

Abiria wa pembeni walipoona wakastuana wakaanza kuangalia huku wanacheka tu,

Baadae linakuja kustuka linajikuta lipo mapajani kwa mwanaume, mkono mmoja umeshika dushe, halafu ule udenda wake umelowanisha pale juu ya zipu likapagawa, likaanza kunikoromea, hapo ndo nikawa mkali kama mbogo mpaka basi zima wakajua

Mie nikawa nafoka kwa sauti ya juu kabisa " yaani umeona nimelala ukaamua kunichezea mboo yangu, ona mboo mpaka imesimama, halafu abiria wamekuona unajidai kuzuga, hebu tazama nguo yangu ilivyolowa, in umeninyonya mpaka nimekojoa"

Ilibidi nibadilishiwe seat maana vita kubwa sana ilikua inaelekea kutokea
😂😂😂😂
 
Namba moja imekaa njema Sana na anaweza asirudie tena maana anaweza kujua Basi linadondoka akapiga na kelele kukazia upuuzi wake na anaweza asiishie tu kupiga kelele lazima atoe na kinyampo!.. umemkurupua ghafla hapo lzm ahisi mambo yamekuwa mambo..😜😂

Ila nikikaa siti moja na mtoto kama lliedie afanye awezacho tu nitakuwa sina usemi maana hakuna mkate mgumu mbele ya chai..😉
😅😅😅😅Aisee bhs siku tusafiri wote
 
Kweli jf kuna kila aina yawatu!

Yani ndo umekaa ukafikiria kuleta uzi kama huu naukapata kundi la watu wenye hakiri km zako mkaanza kuchangia!

Uzi wakipuuzi
 
Kweli jf kuna kila aina yawatu!

Yani ndo umekaa ukafikiria kuleta uzi kama huu naukapata kundi la watu wenye hakiri km zako mkaanza kuchangia!

Uzi wakipuuzi

Pumbavu Wahed Kajifunze Kwanza Kiswahili vizuri ili ujue kutofautisha kati ya neno Akili na lako uliloandika la Hakiri ndipo urudi Kujibizana nami.
 
Tatizo lako unakaa siti nyuma ya dereva hivi unywe tungi usubiri mpaka uchimbe dawa hiyo penis unaifunga na kamba ?

Hivi ukikojoa kwenye kopo na ukijikojolea UPI ni usafi wewe kima
Upuuzi wako uliotuandikia wa kupenda Kunywa Mipombe yako na Kukojoa katika Makopo na Kutupa Dirishani unautetea kwa Hoja za Kipumbavu.
Yawezekana mnabishana na mtu ambaye hajawahi hata kutoka ndani ya wilayaa anayoishi bure. Mtu amezoea kupanda fuso na tipper za mchanga mnategemea nini? Kwenye basi hakuna abiria wanaweza kukubali ufungue dirisha lote kisa pombe zako, utashuka njiani bila kupenda.
 
Acha
Yawezekana mnabishana na mtu ambaye hajawahi hata kutoka ndani ya wilayaa anayoishi bure. Mtu amezoea kupanda fuso na tipper za mchanga mnategemea nini? Kwenye basi hakuna abiria wanaweza kukubali ufungue dirisha lote kisa pombe zako, utashuka njiani bila kupenda.
Acha undezi soma vizuri punguza upompoma wako hapa

MTU amesema Mimi nafungua dirisha kila akitaka kunilalia wewe unatoka huko unajiona smart nyang'au na hapa nipo ndani ya gari /bus na konyagi juu kenge wewe
 
Acha
Acha undezi soma vizuri punguza upompoma wako hapa

MTU amesema Mimi nafungua dirisha kila akitaka kunilalia wewe unatoka huko unajiona smart nyang'au na hapa nipo ndani ya gari /bus na konyagi juu kenge wewe
Kenge wa jf siku hizi ni werevu
 
Haya mambo ya usafiri yanakera sana

Kuna siku nilipanda bus na jimama lineneee halafu lina watoto watatu kwa makadirio umri wao ni kati ya miaka miwili mpaka minne, lile mama likagoma kuwalipia siti, likasema litawapakata, yaani basi ilitembea hata robo kilomita bado likaanza kukafosi kale kakubwa kakae katikati yetu(kumbuka lenyewe ni libooonge halafu katoto kakae katikati, can you imagine? halafu lenyewe liko upande wa dirishani) nikajikuta bila kupenda nimekaa tako moja kwenye seat kama vile nililipa nauli nusu, mbaya zaidi tuliposogea mbele kidogo nikapewa na kale kadogo nikapakate.

Nauli umelipa yoote, seat unakaa tako moja halafu juu umebeba mtoto, mbaya zaidi kale katoto kakanikojolea aiseeeee! ukiwa na hasira za karibu utaonekana mbaya, nikajikuta nimekua baba wa watoto watatu na mke wangu bonge

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Washa kibao bwege huyo, mbona kuna watu wengine ni wastaarabu, anakuwa kasinzia lakini muda wote kaegemea siti yake..
 
Kuna wanaoigiza na wanaolala kweli ,kuna jamaa city ya watu watatu yeye mimi dirishani,demu wangu yupo kati halafu yeye city ya pembeni,akaanza kulala kwa kuweka kichwa kwenye manyonyo ya dem wangu,demu wangu akisogea na yeye anajiachia ndo analala,nikamwambia dem njoo kaa dirishani mi nikae kati,nilipokaa kati akazuga tena kama dk 5 kulala bila kuegesha kichwa halafu hakulala tena
 
Back
Top Bottom