Ni Adhabu ipi kati ya hizi zifuatazo zinamfaa mno Abiria wa Mabasi yaendayo Mikoani ambaye hupenda Kukulalia, Kukutemea udenda yake na hadi Kujamba?

Ni Adhabu ipi kati ya hizi zifuatazo zinamfaa mno Abiria wa Mabasi yaendayo Mikoani ambaye hupenda Kukulalia, Kukutemea udenda yake na hadi Kujamba?

Hahaaaa....aseee nimecheka kufa
yaani siku ile ilikua nipigwe mpaka nife na yule mwamba, ila kilichonisaidia alikua kafunga mkanda, hivyo alipojaribu kuinuka mkanda ukamzuia, mie kuona hivyo kama umeme fastaaa nikakimbia mpaka kule mbele kwa dereva, halafu abiria wengine wakamzuia.

Kwa kuwa mimi nilikua naenda dar na yeye anashukia msamvu, tulipofika pale msamvu, mimi nikaanza kushushwa kwanza, nikapelekwa kwa wale trafiki wa pale getini ili wanipe ulinzi binafsi, jamaa akashuka then ndo nikapanda.

Huyo mwamba kama yumo humu jf i'm sorry mwamba(ila ulishika dudu langu hahaaaaa)
 
Wee jamaa unapenda ugomvi si kwa kumseti mwenzio hivyo

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
aaaah!

Wakati mwingine mtu unachoka, yaani unajiskiaje mwanaume mwenzio akulalie halafu anakoroma kabisa? Halafu ukimuelekeza anakwambia "im sorry" halafu haziiti hata dk 10 anarudia kitu kilekile?

Hiyo ni dharau au anakuchukulia poa.

Halafu mbaya zaidi pembeni kulikua na pisi kali iko pembeni inanitazama, halafu toka mwanzo ile pisi iliona ule ugomvi wetu wa kugombea siti.

Yaani vita ya seat alinishinda nikamuachia akae dirishani then ananilalua tena daaaah!
 
aaaah!

Wakati mwingine mtu unachoka, yaani unajiskiaje mwanaume mwenzio akulalie halafu anakoroma kabisa? Halafu ukimuelekeza anakwambia "im sorry" halafu haziiti hata dk 10 anarudia kitu kilekile?

Hiyo ni dharau au anakuchukulia poa.

Halafu mbaya zaidi pembeni kulikua na pisi kali iko pembeni inanitazama, halafu toka mwanzo ile pisi iliona ule ugomvi wetu wa kugombea siti.

Yaani vita ya seat alinishinda nikamuachia akae dirishani then ananilalua tena daaaah!
Pole sana

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Utashangaa wanavyolalamika. Ila hamna ishu inaboa km gari ishakolea road afu mtu mzima anaomba kujisaidia hivi huwa hawawezi kujikontrol hasahasa kunywa vinywaji kwa kiasi. Bora hata wewe unayechukua maamuzi ya kuuhifazi kwenye chupa.

Pale Wachafu Wakomavu wanapoteteana na Kupeana Moyo katika Kuuhalalisha Uchafu Wao huo.
 
Mimi kuna lijamaa nilipanda nalo basi, kwanza likafosi kukaa dirishani nikaona poa haina shida.

Huyu bwege alikua analala mpaka anakoroma, ubaya akilala ananiegemea, ikawa kila likinilalia nalistua linaamka, linakaa kama dk5 linalala tena, nikaona isiwe taabu, nikaliacha likalala mpaka usingizi ukalikolea kweli kweli.

Nilipohakikisha liko ndotoni nikaliseti vizuri likalala mapajani kwangu(muda huo niliichezea dushe ikawa wima kama mlingoti) kisha kiutaratiiibu nikalishikisha dushe halafu nikajifanya na mie nimelala.

Abiria wa pembeni walipoona wakastuana wakaanza kuangalia huku wanacheka tu.

Baadae linakuja kustuka linajikuta lipo mapajani kwa mwanaume, mkono mmoja umeshika dushe, halafu ule udenda wake umelowanisha pale juu ya zipu likapagawa, likaanza kunikoromea, hapo ndo nikawa mkali kama mbogo mpaka basi zima wakajua

Mie nikawa nafoka kwa sauti ya juu kabisa " yaani umeona nimelala ukaamua kunichezea mboo yangu, ona mboo mpaka imesimama, halafu abiria wamekuona unajidai kuzuga, hebu tazama nguo yangu ilivyolowa, in umeninyonya mpaka nimekojoa"

Ilibidi nibadilishiwe seat maana vita kubwa sana ilikua inaelekea kutokea
😂😂😂😂😂😂😂😂CHAIIIIII
 
kuna abria wanakera sio tu kujamba wengi wanajinyeaga na kutapika kwa kula samaki wabovu uku nangurukuru
 
Mleta Mada vipi kama wewe ni mwanaume halafu binti mrembo akikulalia huku akitoa udenda utafanya hivyo ulivyoandika?
 
kuna abria wanakera sio tu kujamba wengi wanajinyeaga na kutapika kwa kula samaki wabovu uku nangurukuru

Ndugu una Utani na Waha au Wasukuma? Kuna ulichokiandika hapa Wao ndiyo Wabobezi nacho sana pindi wakiwa huko Safarini. Na wasinibishie!
 
Mleta Mada vipi kama wewe ni mwanaume halafu binti mrembo akikulalia huku akitoa udenda utafanya hivyo ulivyoandika?

Umeshasema Binti Mrembo je, huoni kama hapo tayari Swali lako uliloliuliza umeshajijibu Mwenyewe Ndugu? Napenda mno Kuwanyiri Warembo.
 
Lakini mkuu usingizi huja bila mpangilio. Hapo itategemea na aina ya abiria uliyekaa naye. Sasa kama umekaa na mtoto mzuri f4, 6 au chuo akawa anakuegemea huku kifua chake kiko wazi nusu na tumbo na kiuno vyaonekana hapo atafanyake mkuu?
Unakuta unasafiri Umbali mrefu sana kama wa kutoka Mkoani Dar es Salaam na kwenda zako Mkoani Kigoma halafu unajikuta umekaa Siti moja na Abiria ambaye huwa ana tabia zake za Kipuuzi Kipuuzi tu ambapo Usingizi ukimshika atakuegamia na kuanza Kukulalia na hapo hapo akikulalia ataanza Kukutolea Miudenda yake na Valvu yake ya Matakoni itaachia na atakujambia vilevile.

Je, Mzukulu nikikutana na Abiria Mpuuzi Mpuuzi kama huyu nikimpa Adhabu moja kati ya hizi nitakuwa namkosea au namuonea?

1. Nikiona amenilalia tu namwacha Usingizi umkolee kabisa kisha nafyatuka haraka ili ajigonge katika Siti ya mbele aumie akome
2. Nikiona amenilalia tu na kaanza Kunitolea Maudenda (Mate) yako nivumilie na tukifika sehemu ya Kula anifulie Nguo yangu
3. Nikiona amenilalia tu kwa Kuniegemea, Kunidondoshea Maudenda yake na Kunijambia nimzabe Kofi/ Kibao kimoja takatifu

Tafadhalini nichagulieni Adhabu moja tu hapo juu kwani nahisi Siku si nyingi nitasafiri Safari ndefu na najua haya Mauzauza nitakutana nayo tena.
 
Mm nikisafiri na mtu akinilalia na kujamba tukifika sehemu ya kuchimba dawa nampa kibunzi/kigunzi cha mahindi namwambia ashindilie kwenye tigo yake ili asijambe na akishatia kigunzi kunako tigo na zile rasta/matuta kamwe hawezi kulala kizembe tena maana kigunzi kinaumiza kwenye tigo yake.!!
 
Back
Top Bottom