Ni Adhabu ipi kati ya hizi zifuatazo zinamfaa mno Abiria wa Mabasi yaendayo Mikoani ambaye hupenda Kukulalia, Kukutemea udenda yake na hadi Kujamba?

Hahaaaa....aseee nimecheka kufa
yaani siku ile ilikua nipigwe mpaka nife na yule mwamba, ila kilichonisaidia alikua kafunga mkanda, hivyo alipojaribu kuinuka mkanda ukamzuia, mie kuona hivyo kama umeme fastaaa nikakimbia mpaka kule mbele kwa dereva, halafu abiria wengine wakamzuia.

Kwa kuwa mimi nilikua naenda dar na yeye anashukia msamvu, tulipofika pale msamvu, mimi nikaanza kushushwa kwanza, nikapelekwa kwa wale trafiki wa pale getini ili wanipe ulinzi binafsi, jamaa akashuka then ndo nikapanda.

Huyo mwamba kama yumo humu jf i'm sorry mwamba(ila ulishika dudu langu hahaaaaa)
 
Wee jamaa unapenda ugomvi si kwa kumseti mwenzio hivyo

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
aaaah!

Wakati mwingine mtu unachoka, yaani unajiskiaje mwanaume mwenzio akulalie halafu anakoroma kabisa? Halafu ukimuelekeza anakwambia "im sorry" halafu haziiti hata dk 10 anarudia kitu kilekile?

Hiyo ni dharau au anakuchukulia poa.

Halafu mbaya zaidi pembeni kulikua na pisi kali iko pembeni inanitazama, halafu toka mwanzo ile pisi iliona ule ugomvi wetu wa kugombea siti.

Yaani vita ya seat alinishinda nikamuachia akae dirishani then ananilalua tena daaaah!
 
Pole sana

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Utashangaa wanavyolalamika. Ila hamna ishu inaboa km gari ishakolea road afu mtu mzima anaomba kujisaidia hivi huwa hawawezi kujikontrol hasahasa kunywa vinywaji kwa kiasi. Bora hata wewe unayechukua maamuzi ya kuuhifazi kwenye chupa.

Pale Wachafu Wakomavu wanapoteteana na Kupeana Moyo katika Kuuhalalisha Uchafu Wao huo.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚CHAIIIIII
 
kuna abria wanakera sio tu kujamba wengi wanajinyeaga na kutapika kwa kula samaki wabovu uku nangurukuru
 
Mleta Mada vipi kama wewe ni mwanaume halafu binti mrembo akikulalia huku akitoa udenda utafanya hivyo ulivyoandika?
 
kuna abria wanakera sio tu kujamba wengi wanajinyeaga na kutapika kwa kula samaki wabovu uku nangurukuru

Ndugu una Utani na Waha au Wasukuma? Kuna ulichokiandika hapa Wao ndiyo Wabobezi nacho sana pindi wakiwa huko Safarini. Na wasinibishie!
 
Mleta Mada vipi kama wewe ni mwanaume halafu binti mrembo akikulalia huku akitoa udenda utafanya hivyo ulivyoandika?

Umeshasema Binti Mrembo je, huoni kama hapo tayari Swali lako uliloliuliza umeshajijibu Mwenyewe Ndugu? Napenda mno Kuwanyiri Warembo.
 
Lakini mkuu usingizi huja bila mpangilio. Hapo itategemea na aina ya abiria uliyekaa naye. Sasa kama umekaa na mtoto mzuri f4, 6 au chuo akawa anakuegemea huku kifua chake kiko wazi nusu na tumbo na kiuno vyaonekana hapo atafanyake mkuu?
 
Mm nikisafiri na mtu akinilalia na kujamba tukifika sehemu ya kuchimba dawa nampa kibunzi/kigunzi cha mahindi namwambia ashindilie kwenye tigo yake ili asijambe na akishatia kigunzi kunako tigo na zile rasta/matuta kamwe hawezi kulala kizembe tena maana kigunzi kinaumiza kwenye tigo yake.!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…