Ahadi ya Noah kwa Kila mtanzania
Si vyema kuweka ahadi ambazo unajua huwezi kuzitimiza au zisizotekelezeka.
Baadhi ya watu hupatwa na msongo wa mawazo na kupoteza uaminifu kwa kushindwa kutimiza ahadi.
Uwekapo ahadi hugeuka deni, na usiku wa deni haukawii kukucha.
Je, ni ahadi zipi ziliwekwa na kiongozi wako ambazo hazijatekelezwa mpaka sasa?