lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
Milioni tano mbali mkuu apewe hata lk Mbili tu watu ni mabingwa Wa kuongea sana...Pambana na hali yako sasa ya Diamond na Majizzo mbona unayajua sana na kutaka kuwapangia waishi vipi..Unataka Diamond atoe milioni tano anza na bwanako mwambie akupe milioni tano kila mwezi..😀😀😀