Ni aibu Diamond kukosa Milioni tano ya Matunzo ya Mtoto. Aache kuzaa tu

Ni aibu Diamond kukosa Milioni tano ya Matunzo ya Mtoto. Aache kuzaa tu

5 mil. per month is unreasonably much! hata bakhressa hawezi amriwa alipe hiyo hela!

I think the court will order maintenance accordingly...! but walichofanya mawakili wa mobeto ni prayer tactics...hapo wanategemea hata mahakama ikishusha na ukizingatia ubora wa maisha ya diamond,basi hawamkosi hata 1 mil. per month...lengo linakuwa limetimia...kuliko wangeanza na mil 1,wangeshushwa hadi laki 2.

Familia zenye kipata cha laki tano kwa mwezi watoto wanaozaliwa humo wanaishije.? Hebu muwe mnatumia hata akili kidogo. Serikali iliyoweka kiwango cha 70,000 kama kiwango cha chini cha kisheria kwa huduma za mtoto kwa wazazi waliotengana hawakuwa wajinga.
 
Na kwa yule mwingine anapewa ngapi????
Du inabidi mtoto wa tatu ategeshe kwa naniii
Atakuwa na uhakika wa 15m kwa mwaka...
 
Mimi wangu ananipa mia tano kwa mwezi, una lingine?
Pambana na hali yako sasa ya Diamond na Majizzo mbona unayajua sana na kutaka kuwapangia waishi vipi..Unataka Diamond atoe milioni tano anza na bwanako mwambie akupe milioni tano kila mwezi..😀😀😀
 
Pambana na hali yako sasa ya Diamond na Majizzo mbona unayajua sana na kutaka kuwapangia waishi vipi..Unataka Diamond atoe milioni tano anza na bwanako mwambie akupe milioni tano kila mwezi..😀😀😀
Sawa dada nimekusikia.
 
Ningekuwa ni msanii ninayelipwa millioni mia mbili kwa show au ningekuwa namiliki gari ya Mil mia sita ningeweza. Namshauri auze nyumba ya Africa kusini mtoto asife njaa.
Weeh jamaa nikajua akili yako inaendana na mwili wako kumbe hapana..!
 
Msanii Nasib Abdul maarufu Diamond Platinumz, amedai mahakamani kuwa hana uwezo wa kumlipa Mwanamitindo Hamisa Mobeto, Sh milioni tano kama gharama za matunzo ya mtoto kwa mwezi.

Diamond amewasilisha majibu hayo katika Mahakama ya Watoto Kisutu, mbele ya Hakimu Mkazi Devotha Kisoka baada ya Mobeto kumfungulia kesi ya madai katika Mahakama hiyo ya watoto akidai mambo mbalimbali ikiwamo matunzo ya mtoto.

Katika majibu yake Diamond amedai fedha hizo anazodai Hamisa kulipwa kwa mwezi kwa ajili ya matunzo ya mtoto ni kubwa hawezi kuzimudu.

Mobeto katika maombi yake kupitia mawakili wake Abdullah Lyana na Walter Godluck wa Kampuni ya Uwakili ya Century Attorneys, anaiomba mahakama imwamuru Diamond kutoa matunzo ya mtoto kila mwezi, mtoto huyo wa kiume aliyezaa na msanii huyo na kumuomba msamaha kwa umma kwa kumsababishia madhara yaliyoishtua familia yake.

Baada ya kupokea majibu hayo mahakama iliahirisha kesi hiyo ya madai hadi Novemba 8, mwaka huu kwa ajili ya kutajwa. Mobeto kupitia wakili wake walimpa notisi Diamond ya kutaka amwombe radhi na kupeleka matunzo ya mtoto ndani ya siku saba lakini notisi hiyo haikutekelezeka hivyo aliamua kulifikisha suala hilo mahakamani.

Eti Msanii mwenye hela nyingi mara ajiite Dangote, kumbe ni mbwembwe tu hana kitu.
Huyu ni mtanzania mwenye ubongo timamu........!!!!!
wewe mwanao anamaliza mil. 5 kwa mwezi.
 
Ningekuwa ni msanii ninayelipwa millioni mia mbili kwa show au ningekuwa namiliki gari ya Mil mia sita ningeweza. Namshauri auze nyumba ya Africa kusini mtoto asife njaa.
Naisi utakuwa gold digger
 
Asubirie katiba mpya pengine kutawekwa hiko kifungu cha milioni 5 kwa mwezi the Tanzanian record breaker gold digger!!
 
Haya si matunzo, anamfanya mtoto ni mtaji ... Hawezi kulipwa hela hilo
 
Back
Top Bottom