laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,755
ina maana matumizi ya milion 5 hayawezekani?Mil 5 matumizi, huyo ni Mtoto au faru Dully?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ina maana matumizi ya milion 5 hayawezekani?Mil 5 matumizi, huyo ni Mtoto au faru Dully?
Angeongeza mtoto saa ngapi wakati aliachwa bado ananyonyesha teh Lulu akajibebea majayKule hakuna pesa nyingi ndio mana hakuongeza mtoto nae
Hahaha mkikata viuno mjue ni utamu wa mda mfupi malezi ni mda mrefu.Wanaume tumeumbwa matesooo
Yanawezekana kama hizo pesa ni zako na umeamua kuzitumia hivo, ila sio kwa kutegemea pesa ya kuomba....ina maana matumizi ya milion 5 hayawezekani?
hizo pesa ni kwa ajili ya matunzo ya mtoto na mama yakeYanawezekana kama hizo pesa ni zako na umeamua kuzitumia hivo, ila sio kwa kutegemea pesa ya kuomba....
Hata hivo hamisa anataka pesa ya kufanyia show off instagram
Za kufanyia party tu instagramhizo pesa ni kwa ajili ya matunzo ya mtoto na mama yake
Duuuh kumbe mtoto ndio matajiAngeongeza mtoto saa ngapi wakati aliachwa bado ananyonyesha teh Lulu akajibebea majay
Kasome sheria kwanza ujuwe inaeleza nini kabla hujajurupuka kuchangia. Isitoshe jambo hili liko mahakamani, hivyo kujaribu kuingilia swala ambalo bado halijaamuliwa kisheria pia ni kosa. Yako mambo mengi ya kuuelimisha umma, usikomalie maisha binafsi ya mtu.Msanii Nasib Abdul maarufu Diamond Platinumz, amedai mahakamani kuwa hana uwezo wa kumlipa Mwanamitindo Hamisa Mobeto, Sh milioni tano kama gharama za matunzo ya mtoto kwa mwezi.
Diamond amewasilisha majibu hayo katika Mahakama ya Watoto Kisutu, mbele ya Hakimu Mkazi Devotha Kisoka baada ya Mobeto kumfungulia kesi ya madai katika Mahakama hiyo ya watoto akidai mambo mbalimbali ikiwamo matunzo ya mtoto.
Katika majibu yake Diamond amedai fedha hizo anazodai Hamisa kulipwa kwa mwezi kwa ajili ya matunzo ya mtoto ni kubwa hawezi kuzimudu.
Mobeto katika maombi yake kupitia mawakili wake Abdullah Lyana na Walter Godluck wa Kampuni ya Uwakili ya Century Attorneys, anaiomba mahakama imwamuru Diamond kutoa matunzo ya mtoto kila mwezi, mtoto huyo wa kiume aliyezaa na msanii huyo na kumuomba msamaha kwa umma kwa kumsababishia madhara yaliyoishtua familia yake.
Baada ya kupokea majibu hayo mahakama iliahirisha kesi hiyo ya madai hadi Novemba 8, mwaka huu kwa ajili ya kutajwa. Mobeto kupitia wakili wake walimpa notisi Diamond ya kutaka amwombe radhi na kupeleka matunzo ya mtoto ndani ya siku saba lakini notisi hiyo haikutekelezeka hivyo aliamua kulifikisha suala hilo mahakamani.
Eti Msanii mwenye hela nyingi mara ajiite Dangote, kumbe ni mbwembwe tu hana kitu.
Labda anakula kama kazaliwa mashinenimilioni tano???????!!!!!!.....mtoto anakula kama faru fausta auN
Hapa wazazi wetu wametulea Na kutusomesha hadi nasisi tumeaza Maisha na tumeajiliwa wanalipwa mishahala Chini ya milioni mbili. Leo tena unakuta mmezaliwa watano. Leo bado waajiliwa na degree zao wanalipwa bado Chini ya miloni mbili nawanajenga,wanasomesha wanafurahia Maisha sasa mtoto mmoja milioni tano hapo unaona kuna tatizo ndio maana wana wake wanaogopwa na wenye Pesa huwa wanacho fuata ni pesa sasa kunasehemu zingine Pesa haitoki kizembe.Iwe isiwe ila milioni 5 Kwa mwezi.hizo ni hela nyingi.unafanya mtoto kama mtaji wako. Kulipa anatakiwa diamond alipe ila sio Kwa milioni 5.hamissa inabidi na yeye ajitume.
ina maana matumizi ya milion 5 hayawezekani?
Mkuu milioni tano ni nyingi sana mzee alikuwa anapokea milioni moja na laki nane tulikuwa tunaishi poa kabisa kusoma na kila kitu hii milioni tano duuuWewe unayeona ni aibu, hebu tuwekee hapa mchanganuo wa Sh.5000,000 kwa mwezi kwa mtoto mmoja!!!!
Tanzania hii inafahamika wazi kwamba, baba anayepokea mshahara wa Sh. 5000,000 basi atakuwa ni miongoni mwa baba ambae familia yake itakuwa inaishi maisha safi kabisa.... familia mzima, itaishi vizuri kwa 5M!!!
Sasa ndugu, tupe huo mchanganuo wa pesa inayoweza kuhudumia familia mzima vizuri sana lakini hii leo ionekane hiyo inatosha kwa mtoto mmoja tu!!!!