Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
looser kivip wakati kesi bado inaendelea?..........kitakachotokea ni diamond alete vielelezo anaongiza sh. ngapi kwa mwezi.......hapo ndio atakapojikuta hata hio milioni 5 itaonekana ndogoKaishia kuwa looser, ajipange tu atafute tena mwanaume wa tatu wa kumzalia mtoto wa tatu
Ni sawa lakini mil5 yote hiyo? Huyo mtoto anakula almasi?Ameenda kutafuta hela sababu baba hamtumzi mtoto so acha atafute hela....huyo mond angetaka missa atulie amlelee mtoto wake basi angetoa huduma inayotakiwa na sio laki 2 kwa mwezi.
Kipato kikishuka basi haina shida ila si kwa sasa ambapo ni msanii anayelipwa zaidi na alie na hela zaidi kuliko wasanii wote.
Wanaume kama hamtaki kuhudumia watoto wa nje acheni kuzaa zaa hovyo, natamani single mother wangekua wanafanyia hivi wanaume ambao ni wabishi kulea watoto wao.
Ameomba mil 5 akijua kabisa hapewi lazima ishuke ila sio laki 2 per month kwa mtu kama mond.Ni sawa lakini mil5 yote hiyo? Huyo mtoto anakula almasi?
Haya kila la kheri kwake!Ameomba mil 5 akijua kabisa hapewi lazima ishuke ila sio laki 2 per month kwa mtu kama mond.
Hakuna case hpo acheze tatu mzuka atapata hiyo pesaHaya bana mobeto mawakili wake pia nao sijui wa chuo gani?
Hawezi pewa million tano huyo, looser kwa maana amebaki kwenye mataa penzi limekimbilia mahakamani, ndugu wa diamond wamemgeuka, diamond nae shetani kamuachia karudi kwa zarilooser kivip wakati kesi bado inaendelea?..........kitakachotokea ni diamond alete vielelezo anaongiza sh. ngapi kwa mwezi.......hapo ndio atakapojikuta hata hio milioni 5 itaonekana ndogo
Acheze biko tu ndio msaada kwakeHawezi pewa million tano huyo, looser kwa maana amebaki kwenye mataa penzi limekimbilia mahakamani, ndugu wa diamond wamemgeuka, diamond nae shetani kamuachia karudi kwa zari
Ingekua hivyo kila mdangaji angezaa na mwenye uwezo atoke kimaishalooser kivip wakati kesi bado inaendelea?..........kitakachotokea ni diamond alete vielelezo anaongiza sh. ngapi kwa mwezi.......hapo ndio atakapojikuta hata hio milioni 5 itaonekana ndogo
Ha ha ha acheze Biko kwakweli, hivi kwa majizo analipwa kiasi gani?Acheze biko tu ndio msaada kwake
sasa si bado mahakama haijatoa hukumu?.......mi nina uhakika hiyo milioni 5 kwa mwezi itatolewa.....sio ombi bali kwa amri ya mahakamaHawezi pewa million tano huyo, looser kwa maana amebaki kwenye mataa penzi limekimbilia mahakamani, ndugu wa diamond wamemgeuka, diamond nae shetani kamuachia karudi kwa zari
sasa si bado mahakama haijatoa hukumu?.......mi nina uhakika hiyo milioni 5 kwa mwezi itatolewa.....sio ombi bali kwa amri ya mahakamaHawezi pewa million tano huyo, looser kwa maana amebaki kwenye mataa penzi limekimbilia mahakamani, ndugu wa diamond wamemgeuka, diamond nae shetani kamuachia karudi kwa zari
Kule hakuna pesa nyingi ndio mana hakuongeza mtoto naeHa ha ha acheze Biko kwakweli, hivi kwa majizo analipwa kiasi gani?
sio tu kuzaa, yani wanaume wangeviziwa, wangenyatiwa na kubakwa juu ilmradi mimba zipatikaneIngekua hivyo kila mdangaji angezaa na mwenye uwezo atoke kimaisha
tatizo umasikini wako unamekuathiri kisaikolojia.........mimi kuna mtu namjua anatoa matunzo ya mtoto zaidi ya hiyo milioni 5 kwa mwezi....hivi hujui kuna watu wanalipwa milioni 60 kwa mwezi hapa tz ?Ingekua hivyo kila mdangaji angezaa na mwenye uwezo atoke kimaisha
Mil 5 matumizi, huyo ni Mtoto au faru Dully?sasa si bado mahakama haijatoa hukumu?.......mi nina uhakika hiyo milioni 5 kwa mwezi itatolewa.....sio ombi bali kwa amri ya mahakama
Mshaurini acheze biko na tatu mzuka apige marundo ya pesasio tu kuzaa, yani wanaume wangeviziwa, wangenyatiwa na kubakwa juu ilmradi mimba zipatikane