luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,160
- 21,676
Hivi ni ramri ama? Tusubiri utasikia kampa mimba nyingineAma kweli huyo mwanamke ni sumu, hutakiwi kujihusisha nae kwa namna yoyote ile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ni ramri ama? Tusubiri utasikia kampa mimba nyingineAma kweli huyo mwanamke ni sumu, hutakiwi kujihusisha nae kwa namna yoyote ile
Kwani huyo Hamisa anataka shilingi ngapi toka kwa Diamond?!Nani kakuambia anatoa milioni 5? hatoi laki 2 ambayo mond ndiyo anataka atoe. next time mshaurini mtu wenu akumbuke kuvaa kinga kama hataki kutoa huduma.
Wewe ngoja tu nikuache toa povu ukimaliza relax.Kwani huyo Hamisa anataka shilingi ngapi toka kwa Diamond?!
Ashauriwe kutumia kinga kwanin alishindwa kutoa matunzo?! Angeshindwa kutoa matunzo angeweza kutoa 70K per day wakati wa ujauzito?! Si upumbavu wake mwenyewe ndo maana watu wakamchenjia!!! Kakutana na wajinga wenzake akadhani angeweza kuchukua nafasi ya Zari kumbe mwanaume yeyote anakuwa na mahali aliko committed bila kujali kama amefunga ndoa au hapa!!!
Narudia, weka hapa mchanganuo wa 5M!!
Simple and clear, umeshindwa kujibu!! Btw, anayetoa povu ni mimi au wewe unayelilia Hamisa apewe 5M wakati hiyo thamani ya 5M hana!!!!!Wewe ngoja tu nikuache toa povu ukimaliza relax.
ila mond ndiyo huyo keshapelekwa mahakamani, na hela itakayoamuliwa na mahakama atatoa hamtaki andamaneni[emoji23][emoji23][emoji23]
Bye maana sitokujibu tena , ngoja nisikilize halelujah!!!
Millioni 5 matunzo ya mtoto au huyo hamisa ni kichaa,kwa uwezo upi wa chibu ampe 5mMsanii Nasib Abdul maarufu Diamond Platinumz, amedai mahakamani kuwa hana uwezo wa kumlipa Mwanamitindo Hamisa Mobeto, Sh milioni tano kama gharama za matunzo ya mtoto kwa mwezi.
Diamond amewasilisha majibu hayo katika Mahakama ya Watoto Kisutu, mbele ya Hakimu Mkazi Devotha Kisoka baada ya Mobeto kumfungulia kesi ya madai katika Mahakama hiyo ya watoto akidai mambo mbalimbali ikiwamo matunzo ya mtoto.
Katika majibu yake Diamond amedai fedha hizo anazodai Hamisa kulipwa kwa mwezi kwa ajili ya matunzo ya mtoto ni kubwa hawezi kuzimudu.
Mobeto katika maombi yake kupitia mawakili wake Abdullah Lyana na Walter Godluck wa Kampuni ya Uwakili ya Century Attorneys, anaiomba mahakama imwamuru Diamond kutoa matunzo ya mtoto kila mwezi, mtoto huyo wa kiume aliyezaa na msanii huyo na kumuomba msamaha kwa umma kwa kumsababishia madhara yaliyoishtua familia yake.
Baada ya kupokea majibu hayo mahakama iliahirisha kesi hiyo ya madai hadi Novemba 8, mwaka huu kwa ajili ya kutajwa. Mobeto kupitia wakili wake walimpa notisi Diamond ya kutaka amwombe radhi na kupeleka matunzo ya mtoto ndani ya siku saba lakini notisi hiyo haikutekelezeka hivyo aliamua kulifikisha suala hilo mahakamani.
Eti Msanii mwenye hela nyingi mara ajiite Dangote, kumbe ni mbwembwe tu hana kitu.
Nimeona nikujibu sababu ume - edit hii comment yako, yes ni hiyo ID yako niliiona.Nilikubishia wapi?! Una uhakika hii ID uliiona wakati mnabishana kuhusu malezi ya hiyo mimba?!
Btw, ndo unataka kusema huyo Majizo anatoa Sh. 5,000,000? Anatoa 5M wakati huo analipwa shilingi ngapi?! Unaweza kuweka hapa mchanganuo wa matumizi ya Sh. 5M?
Acheni kugeuza watoto vitega uchumi vya watu wazima!!!
Nime-edit hiyo comment ya kukubishia, au?! Unaweza kuniambia huo mjadala ulikuwa lini hapa JF?!Nimeona nikujibu sababu ume - edit hii comment yako, yes ni hiyo ID yako niliiona.
Huyu mtoto anakula kuliko watu wazima 100 ndio mana anatumia 5mmilioni tano ni kwa mwaka ama?
She's very funny! Tanzania take home ya TZS 5,000,000 hata waziri hafikishi lakini Hamisa anataka hiyo iwe ni kwa ajili ya matunzo ya mtoto peke yake!!!Huyu mtoto anakula kuliko watu wazima 100 ndio mana anatumia 5m
Huyo mama akili hana anamdai 5m matunzo,hapo kakutana na mabush lawyer hawa wadangaji huwa hawana kazi.chibu nae wanawake wamejaa anakimbizana na hawa wauzaji wa mjiniShe's very funny! Tanzania take home ya TZS 5,000,000 hata waziri hafikishi lakini Hamisa anataka hiyo iwe ni kwa ajili ya matunzo ya mtoto peke yake!!!
Sidhani kama anafahamu kwamba hiyo ni take home ya senior managers wa makampuni makubwa! Kwahiyo, senior manager mzima na familia yake anaishi happily na take home ya 5M and sometimes less lakini kwa Hamisa, eti hiyo ni pesa ya matunzo ya mtoto mmoja!!!
Cyo kama hana hiyo pesa bali alipanga amkomoe tu maana ni kama kamdhalilisha jamaa so na yeye hawezi kukubali unyonge nilazima amuoneshe undava milion tano sipesa ya maji ya kunywa tu hawezi kusgindwa ila kamuamulia tu kumkomoa na hata ningekuwa mimiMsanii Nasib Abdul maarufu Diamond Platinumz, amedai mahakamani kuwa hana uwezo wa kumlipa Mwanamitindo Hamisa Mobeto, Sh milioni tano kama gharama za matunzo ya mtoto kwa mwezi.
Diamond amewasilisha majibu hayo katika Mahakama ya Watoto Kisutu, mbele ya Hakimu Mkazi Devotha Kisoka baada ya Mobeto kumfungulia kesi ya madai katika Mahakama hiyo ya watoto akidai mambo mbalimbali ikiwamo matunzo ya mtoto.
Katika majibu yake Diamond amedai fedha hizo anazodai Hamisa kulipwa kwa mwezi kwa ajili ya matunzo ya mtoto ni kubwa hawezi kuzimudu.
Mobeto katika maombi yake kupitia mawakili wake Abdullah Lyana na Walter Godluck wa Kampuni ya Uwakili ya Century Attorneys, anaiomba mahakama imwamuru Diamond kutoa matunzo ya mtoto kila mwezi, mtoto huyo wa kiume aliyezaa na msanii huyo na kumuomba msamaha kwa umma kwa kumsababishia madhara yaliyoishtua familia yake.
Baada ya kupokea majibu hayo mahakama iliahirisha kesi hiyo ya madai hadi Novemba 8, mwaka huu kwa ajili ya kutajwa. Mobeto kupitia wakili wake walimpa notisi Diamond ya kutaka amwombe radhi na kupeleka matunzo ya mtoto ndani ya siku saba lakini notisi hiyo haikutekelezeka hivyo aliamua kulifikisha suala hilo mahakamani.
Eti Msanii mwenye hela nyingi mara ajiite Dangote, kumbe ni mbwembwe tu hana kitu.
changu mchafu ni huyo diamond anaetomba kila mtu
Dua la kuku ilo!Nyumba ya South asahau ule urithi wa watoto wa zari.
Huyu bwamdogo atajikuta siku anaporomoka na kuishiwa kwa spidi ya rocket .
Alisema anatoa 70 per day so he is capable na kingine ukute hamisa anajua south zinapelekwa kias gani ndo maana