Ni aibu Diamond kukosa Milioni tano ya Matunzo ya Mtoto. Aache kuzaa tu

Mabeto ameona huo ni mtaji...
Even hata ingekuwa mimi na ikawa uwezo wa kutoa mil10 ninao, ni kuwa sitoweza kuzitoa !
Hapo sasa akitoa ajue atategeshewa mimba nyingine na hata watu wengine then wakimbilie mahakamani wakijua wakidai matunzo ya mamilion watapata!
Hizo mil5 kwa mwezi ni nyingi, ni matunzo ya aina gani hayo?!?..
 
Unasema ni aibu ww unaweza kumpa mwanamke uliezaa nae mil.5 per month?
 
mimi nitampa,potelea pote.
Mabeto mabeto njoo nikutunzie mtoto wa CHIBU.
 
Iwe isiwe ila milioni 5 Kwa mwezi.hizo ni hela nyingi.unafanya mtoto kama mtaji wako. Kulipa anatakiwa diamond alipe ila sio Kwa milioni 5.hamissa inabidi na yeye ajitume.
Ni kweli au chachandu...
 
Hamissa mjanja sana anajua mond hawezi kukubali kulipa hiyo hela hata mahakama haiwezi kukubali ilo ila itashushwa na ikishushwa haiwezi kua chini ya milioni 1 kwa mwezi, hata mahakama wanaangalia kipato cha baba...huwezi kuwa kwa mwezi baba unapata milion 10 au 20 halafu mtoto umpe laki 2 kwa mwezi hiyo ilikua zamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…