Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,120
- 24,667
Mabeto ameona huo ni mtaji...
Even hata ingekuwa mimi na ikawa uwezo wa kutoa mil10 ninao, ni kuwa sitoweza kuzitoa !
Hapo sasa akitoa ajue atategeshewa mimba nyingine na hata watu wengine then wakimbilie mahakamani wakijua wakidai matunzo ya mamilion watapata!
Hizo mil5 kwa mwezi ni nyingi, ni matunzo ya aina gani hayo?!?..
Even hata ingekuwa mimi na ikawa uwezo wa kutoa mil10 ninao, ni kuwa sitoweza kuzitoa !
Hapo sasa akitoa ajue atategeshewa mimba nyingine na hata watu wengine then wakimbilie mahakamani wakijua wakidai matunzo ya mamilion watapata!
Hizo mil5 kwa mwezi ni nyingi, ni matunzo ya aina gani hayo?!?..