Binti Sayuni03
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 1,075
- 1,913
Umeenda mbali sana mkuu, ni wapi nimesema hiyo taarifa?Inaonekana wew una ka umalaya fulani au uko kazin kutangaza biashara yako ya ukahaba.
Nyuzi zako nyingi znajihusisha na Ngono na kungonoka.Umeenda mbali sana mkuu, ni wapi nimesema hiyo taarifa?
Samahani mkuu, nitaanza kuleta nyuzi za masikitiko na huzuni usijali.Nyuzi zako nyingi znajihusisha na Ngono na kungonoka.
Shida hamna ila yule rafiki ake nadhani alimwambia jamaa akaona ajikataeHiyo mbona kawaida?
Kama mliachana, hata kama ukidate na rafiki zake shida iko wapi?
Unasoma neno saa ngapi mtumishi.Mimi niliwahi kuitwa mahali na mtu nikaenda hiyo sehemu nikakutana na marafiki zake, sasa huyo mmoja niliwahi kudate nae aisee hii aibu ilikuwa kubwa sana na huyu jamaa niliekuwa nae akawa ananiintroduce mimi mtu wake nini ana furahia😁😁
After hapo yule jamaa nadhani alipewa taarifa na rafiki yake hakunitafutaga tena na alikuwa hajawahi kula mzigo, ndiyo iliishaga hivyo.
Hiyo ilikuwa kitambo kwasasa nimeacha hayo, maana hamchelewi kunipopoa😁😁🙌
💯💯Inaonekana wew una ka umalaya fulani au uko kazin kutangaza biashara yako ya ukahaba.
Hiyo mbona kawaida?
Kama mliachana, hata kama ukidate na rafiki zake shida iko wapi?
Sasa hapa aibu inatoka wapi jamaaMimi niliwahi kuitwa mahali na mtu nikaenda hiyo sehemu nikakutana na marafiki zake, sasa huyo mmoja niliwahi kudate nae aisee hii aibu ilikuwa kubwa sana na huyu jamaa niliekuwa nae akawa ananiintroduce mimi mtu wake nini ana furahia😁😁
After hapo yule jamaa nadhani alipewa taarifa na rafiki yake hakunitafutaga tena na alikuwa hajawahi kula mzigo, ndiyo iliishaga hivyo.
Hiyo ilikuwa kitambo kwasasa nimeacha hayo, maana hamchelewi kunipopoa😁😁🙌
Lazima tukupopoe si unaturingishia matunda yakoMimi niliwahi kuitwa mahali na mtu nikaenda hiyo sehemu nikakutana na marafiki zake, sasa huyo mmoja niliwahi kudate nae aisee hii aibu ilikuwa kubwa sana na huyu jamaa niliekuwa nae akawa ananiintroduce mimi mtu wake nini ana furahia😁😁
After hapo yule jamaa nadhani alipewa taarifa na rafiki yake hakunitafutaga tena na alikuwa hajawahi kula mzigo, ndiyo iliishaga hivyo.
Hiyo ilikuwa kitambo kwasasa nimeacha hayo, maana hamchelewi kunipopoa😁😁🙌
We mzee 🤣Ebu njoo PM...😋
Na ulete na za mauaji ya kutisha!Samahani mkuu, nitaanza kuleta nyuzi za masikitiko na huzuni usijali.
Sawa mkuu nitafanya hivyoNa ulete na za mauaji ya kutisha!
Matunda gani tena jamani😁😁Lazima tukupopoe si unaturingishia matunda yako