Ni aibu Graduate wengi kumaliza chuo hawezi kujitegemea. Nashauri wasipewe vyeti hadi kuwe na ushahidi wa kujitegemea

Aibu kubwa ni mtu kupewa mafao af anagombea Tena kisha mafao Tena kisha anagombea afu anasema vijana wajiajiri
 
tukishatuma maombi tunasubiri interview,hatufanyi kazi na hatuhami kwa wazazi mkitaka mtuue
 
Ngumbaru wana akili za kinyesi , logic hii huyu mpumbavu aliyeandika hii mada ya kipuuzi hawezi elewa .


Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Umemaliza kabisa

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Kuchoma mahindi, kupika wali na maharage, kunyoa nywele kawaida ni skills ambazo mtu anaweza kujifunza hata kwa mwezi pekee, labda kama ni mambo advanced sana mfano kwenye kunyoa kuna wle wanaochora kwa kunyoa
kwahiyo wewe uko tayari umsomeshe mwanao afu aje achome mahindi konyo wewe nyau mmoja
 
Ok sijui circumstance zake aliyopo huyo jamaa ....tuishie hapa

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
kwahiyo wewe uko tayari umsomeshe mwanao afu aje achome mahindi konyo wewe nyau mmoja
Ni heri mtoto awe anaweza kumudu hata elf 5 kila siku kwa kuchoma mahindi kuliko kuwa na degree hana hata jero ya vocha ya ku apply ajira
 
Tatizo ni kwamba vijana wanajitenva hawataki kuchangamana na watu bila kujari elimu zao kutwa kulala tu, mm ni mhitimu na sijaajiliwa nimejiajiri kufundishia tuition kuhusu elf 30 mfukoni sikosi kbs
 
s
Ni heri mtoto awe anaweza kumudu hata elf 5 kila siku kwa kuchoma mahindi kuliko kuwa na degree hana hata jero ya vocha ya ku apply ajira
sasa si ungemkabidhi shamba tu asiende shule awe mlima mahindi na mchoma mahindi
 
kubwabwaja ukiwa sebulen kwa shemej yako daslam au umejipata ni rahis mno!ukwel ni kwamba ni binadamu wachache wanaeza ku~switch kutoka katka kitu alichobobea na kuanza kitu kipya katka umri mkubwa kwan akili na mwili hukataa kukata kona na kuanza upya....mada yako ni too general na umejikita kulaumu pasi na kuonyesha huyo std7 mchoma mahind nae ali~hustle kias gan had kusimama!
 
Kujitegemea ni kufanyaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…