Ni aibu kiasi gani utaipata endapo mtu akishika simu yako ghafla na akaanza kuikagua?

Ni aibu kiasi gani utaipata endapo mtu akishika simu yako ghafla na akaanza kuikagua?

MtotoKautaka

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2018
Posts
373
Reaction score
895
Kama head inavosoma.....

Binafsi juzi kuna mmama flani wa so Mzee ni kama mshangazi alikuja ofisini kwangu akihitaji nimrekebishie swala fulani.

Sasa swala lenyewe lilikuwa ni app ya mesej ilijiupdate ikaleta features ambazo Maza alikuwa hazipendi sasa kaniachia cm yeye kakaa nje nikairekebisha then akanambia niingie nijaribu kutumia mtu meseji.

Sasa picha linaanza ile nimeingia nikakutana na text kwenye chat ya juu kabisa "leo uninyoe mavuz*, yani alikuwa katumiwa yeye hiyo text.

Nikanogewa nikascrol chini ebwana eeeeeeh!

Sisi vijana tunaigiza, zamani ndo watu walikuwa wanayafaidi mapenzi. Kwa zile chats nilizoziona kwa yule mama asee acheni vijana waangukie kwa mishangazi hata mm yule mama ikitokea nimempata ni lazima nihakikishe namla.

Sasa nikaona kama mesej tu zipo vile vipi watsap na picha chap nikaenda kwenye gallery wazee niishie hapa maana so kwa zile picha na video kitumbua kimepakwa mafuta kinameremeta kidogo nikitupe cha kuku, yule mama mm nitamtafuta anajua wazee nitamtafuta nitafanya kila liwezekanalo nimtembezee gwaji boi. Nikaclear history fasta nikamrudishia simu yake.

Sasa nikawaza hivi in case cm yangu nikajikuta ghafla mtu mwingine anayo katika umiliki wake yani sijafuta wala kuhide chochote ni vitu gani vya aibu atakutana navyo? Nikaamua nije nikuulize nawew mwanaJF.
 
Back
Top Bottom