Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Ni wachache sana wasio na magari mkuu.Kwani unafikiri ni mwanaume gani humu JF hana gari zaidi ya mimi na mzabzab ?
Leo utaona anatafuta kazi yoyote kule ajira na tenda kesho kutwa anatoa ushuhuda jinsi bodaboda alivyomparua gari yake 😂😂