Aidanna
JF-Expert Member
- Oct 25, 2019
- 1,810
- 2,844
Atajua mwenywe bhn, uzuri sina app, huwa naingia kupitia chromeSasa si ataiona hii koment maana huyo ni mdau.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atajua mwenywe bhn, uzuri sina app, huwa naingia kupitia chromeSasa si ataiona hii koment maana huyo ni mdau.
Nitajisikia vibaya kuwa imechoka sanaKama head inavosoma.....
Binafsi juzi kuna mmama flani wa so Mzee ni kama mshangazi alikuja ofisini kwangu akihitaji nimrekebishie swala fulani.
Sasa swala lenyewe lilikuwa ni app ya mesej ilijiupdate ikaleta features ambazo Maza alikuwa hazipendi sasa kaniachia cm yeye kakaa nje nikairekebisha then akanambia niingie nijaribu kutumia mtu meseji.
Sasa picha linaanza ile nimeingia nikakutana na text kwenye chat ya juu kabisa "leo uninyoe mavuz*, yani alikuwa katumiwa yeye hiyo text.
Nikanogewa nikascrol chini ebwana eeeeeeh!
Sisi vijana tunaigiza, zamani ndo watu walikuwa wanayafaidi mapenzi. Kwa zile chats nilizoziona kwa yule mama asee acheni vijana waangukie kwa mishangazi hata mm yule mama ikitokea nimempata ni lazima nihakikishe namla.
Sasa nikaona kama mesej tu zipo vile vipi watsap na picha chap nikaenda kwenye gallery wazee niishie hapa maana so kwa zile picha na video kitumbua kimepakwa mafuta kinameremeta kidogo nikitupe cha kuku, yule mama mm nitamtafuta anajua wazee nitamtafuta nitafanya kila liwezekanalo nimtembezee gwaji boi. Nikaclear history fasta nikamrudishia simu yake.
Sasa nikawaza hivi in case cm yangu nikajikuta ghafla mtu mwingine anayo katika umiliki wake yani sijafuta wala kuhide chochote ni vitu gani vya aibu atakutana navyo? Nikaamua nije nikuulize nawew mwanaJF.
Wanajf wengi ni matajiri siw kina mzabzab tumwvamia kambiKwani unafikiri ni mwanaume gani humu JF hana gari zaidi ya mimi na mzabzab ?
Mbona unafahamika mkuu😅Yangu haina shida kabisa, zaman wakati wa ujana ndo ilikua changamoto.
Kwasasa hamna kitu, zaidi zaidi labda uwe mdau wa jf utapata kunifaham.
😅😅 Seva zita corrupt.Kwa nini uende mbali...
Itokee tu siku moja PM imegeuka kuwa jukwaa, kila PM iwe hadharani...
Na wewe ni mhanga?Kuna huyo mmoja anajiita mchungaji of course hata watu wanamwiita mchungaji anachapa sana injili watu wanaokoka sana alooo hata wewe ukimuona utamuamini 100%
Kwenye simu yake kuna Jehanam ana groups zote za connection ana mapicha ya hovyo yaani kiufupi moto wake utakuwa wa gesi Kama atakufa na zile dhambi
Simu hizi zitawapeleka wengi Jehanam
Na wewe ni mhanga?
Ulijuaje hayo?
Nimewaza tu[emoji848]
Naunga mkono hojaYa gu ni chafu mpaka mwenyewe naiogopa
😂😂😂😂Yangu utakutana na memes na picha za wanangu.
Huko kwenye msg utakuta za data yako inakaribia kuisha. Whatsapp ni memes zaidi. Kwa kifupi simu yangu haina la maana la kuweza nitisha.
Kimbembe ukikamata laptop, huko ndoa itavunjika.
Ilikuwa zamani saizi nimebadilika 😂😂Ni katika kumchunguza tu dear… alitakaga kuniwowa but nikawa simtrust ni kama mambo mengi hivi anajifichia kwenye dini.. nikamwambia anipe nicheze game so nikapitia nilichotaka kupitia nika finalize ni muhuni tu
Kosa kisheriaYangu haina shida,hata password haina...
Hakuna anaenifaham ndgu, labda kama mods wana access na vifaa vyetu ila kama sivyo basi hamna anaenijua zaidi yangu.Mbona unafahamika mkuu😅