Ni aibu kiasi gani utaipata endapo mtu akishika simu yako ghafla na akaanza kuikagua?

Ni aibu kiasi gani utaipata endapo mtu akishika simu yako ghafla na akaanza kuikagua?

Kama head inavosoma.....

Binafsi juzi kuna mmama flani wa so Mzee ni kama mshangazi alikuja ofisini kwangu akihitaji nimrekebishie swala fulani.

Sasa swala lenyewe lilikuwa ni app ya mesej ilijiupdate ikaleta features ambazo Maza alikuwa hazipendi sasa kaniachia cm yeye kakaa nje nikairekebisha then akanambia niingie nijaribu kutumia mtu meseji.

Sasa picha linaanza ile nimeingia nikakutana na text kwenye chat ya juu kabisa "leo uninyoe mavuz*, yani alikuwa katumiwa yeye hiyo text.

Nikanogewa nikascrol chini ebwana eeeeeeh!

Sisi vijana tunaigiza, zamani ndo watu walikuwa wanayafaidi mapenzi. Kwa zile chats nilizoziona kwa yule mama asee acheni vijana waangukie kwa mishangazi hata mm yule mama ikitokea nimempata ni lazima nihakikishe namla.

Sasa nikaona kama mesej tu zipo vile vipi watsap na picha chap nikaenda kwenye gallery wazee niishie hapa maana so kwa zile picha na video kitumbua kimepakwa mafuta kinameremeta kidogo nikitupe cha kuku, yule mama mm nitamtafuta anajua wazee nitamtafuta nitafanya kila liwezekanalo nimtembezee gwaji boi. Nikaclear history fasta nikamrudishia simu yake.

Sasa nikawaza hivi in case cm yangu nikajikuta ghafla mtu mwingine anayo katika umiliki wake yani sijafuta wala kuhide chochote ni vitu gani vya aibu atakutana navyo? Nikaamua nije nikuulize nawew mwanaJF.
Nitajisikia vibaya kuwa imechoka sana
 
Kijana huna mabadiliko ya kazi Yako. Ok, kwenye sms alimwambia ukaribu, kwenye WhatsApp kilikupeleka kitu gani?

Ukikutana na Daktari wa aina hii hauchelewikukuta taarifa za afya yako mtaani.

Wewe ukimpa mtu simu Yako akaanza kuipekua utajisikiaje?
 
Kuna huyo mmoja anajiita mchungaji of course hata watu wanamwiita mchungaji anachapa sana injili watu wanaokoka sana alooo hata wewe ukimuona utamuamini 100%

Kwenye simu yake kuna Jehanam ana groups zote za connection ana mapicha ya hovyo yaani kiufupi moto wake utakuwa wa gesi Kama atakufa na zile dhambi

Simu hizi zitawapeleka wengi Jehanam
Na wewe ni mhanga?
Ulijuaje hayo?
Nimewaza tu🤔
 
Yangu utakutana na memes na picha za wanangu.

Huko kwenye msg utakuta za data yako inakaribia kuisha. Whatsapp ni memes zaidi. Kwa kifupi simu yangu haina la maana la kuweza nitisha.

Kimbembe ukikamata laptop, huko ndoa itavunjika.
 
Yangu utakutana na memes na picha za wanangu.

Huko kwenye msg utakuta za data yako inakaribia kuisha. Whatsapp ni memes zaidi. Kwa kifupi simu yangu haina la maana la kuweza nitisha.

Kimbembe ukikamata laptop, huko ndoa itavunjika.
😂😂😂😂
 
Nime hide file la google photos ili asione changamoto ni pale wanapo tuma notification zina tokea pale juu
Ila ndo asirogwe kuingia umo maana kuna mapicha picha ya TBT toka enzi za college na mademu wa kushato mpaka vitoto vya certificate enz izo fisi kama fisi haswa!!..
 
Back
Top Bottom