Ni aibu kiasi gani utaipata endapo mtu akishika simu yako ghafla na akaanza kuikagua?

Ni katika kumchunguza tu dear… alitakaga kuniwowa but nikawa simtrust ni kama mambo mengi hivi anajifichia kwenye dini.. nikamwambia anipe nicheze game so nikapitia nilichotaka kupitia nika finalize ni muhuni tu
Pole
 
Mimi ya kwangu ni user friendly kwasababu haina hata passcode ama video na nyimbo za kusikilza wala picha ya mtu
 
 
Kwakweli hamna simu yangu naweza kumpa hata mama yangu apekue
 
Nyie ndo mnapewa lift mnataka kupiga na honi,
Ulivyo mpumbavu nawewe unataka kwenda kukomba maradhi tu,huyo mama kakupa makusudi hiyo simu anajua una kimbelembele sana.
Ushasema,mjimama,mshangazi sasa huyo cha ajabu nini wewe kushangaa ambacho yeye dunia hii hajafanya.
 
Ataambulia vyeti vyangu na picha za watoto,message za mama fulani mmeamkaje basi
 
kote sawa ila shida mtu akiingia telegram au search history za opera
 
Kwa sasa nashukuru, nimejaribu kuacha flirting na nadhani nimeweza. Huu ndio ugonjwa wangu miaka mingi, ila maamuzi magumu yamenisaidia. Yoyote aje aishike, atakuta jf, fb, twitter, sms, WhatsApp ni kama haitumiki tena..sina picha mbovu..
 
Umenikumbusha kuna mmoja aliwahi kuniomba nimrudishie picha alizofuta bahati mbaya (kurestore). Bahati mbaya ukirestore zinakuja zote πŸ˜€πŸ˜€aisee, nyingi alijirekodi uchi wa mnyama akikatika, mchana ana baibui kafunika kabakiza macho tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…