Ni aibu kuandaa sherehe za kupokea ndege

Ni aibu kuandaa sherehe za kupokea ndege

Ndiyo ununuzi wa ndege kinaonekana ni kitu kidogo kwa nchi lakini kina maana kubwa sana miaka ya hivi karibuni hasa baada ya miaka takribani 20 ya kufa kwa kila kitu kilichotambulisha nchi yetu kitaifa na kimataifa.

Viwanda vyote vilivyotengeneza Made in Tanzania waliviua.
Usafiri wa treni uliosafirisha bidhaa za kilimo kwa gharama nafuu toka pande zote za Tanzania mliziua.
Usafiri wa ndege kupitia ATCL nazo mkaziua.
Hadi shule zetu kongwe kidogo mziue.

Ni baada ya JPM kuingia na kuanza takribani kuamsha roho ya utaifa na kuanza kufufua karibu kila kitu.

Kwa muktadha huu kusheherekea hakuepukiki.
We... mshamba zwazwa unajua nini Punda wewe?
 
alisema yeye na mzeebaba ni kitu kimoja ila she is proving to be the worst.
 
Sisi tukiagiza magari yetu hakuna uzinduzi wowote wanaotufanyia angalau kuyarushia maji pindi yanapokanyaga ardhi ya nyumbani. Badala yake wanatwambia yakakaguliwe TBS ila ndege yao inazinduliwa kwa mbwembwe zote, inaogeshwa maji na haipelekwi kukaguliwa TBS, hivi hizi double standard hadi lini......
 
Back
Top Bottom