Ni aibu kubwa kwa Waziri Mwigulu kusema Serikali ndiyo hulipa madeni

Ni aibu kubwa kwa Waziri Mwigulu kusema Serikali ndiyo hulipa madeni

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Hii ya leo hakika bwana Waziri Nchemba ni zaidi ya utovu wa nidhamu kwa walipa kodi!

Unatoa wapi uthubutu wa kudai Serikali ndiyo hulipa madeni na si wananchi?!

Kwamba bila kodi ya wananchi Serikali bado ingeweza kulipa deni?!

Hii ni zaidi ya dharau kutoka kwa mtu aliyeshiba.

Ukweli ni kwamba kodi anayolipa Mwananchi ndiyo hulipa madeni.
 
Acha ujuajia kaka, serikali ni ya Wananchi. Wanaolipa Kodi ni serikali kwa niaba ya Wananchi. Wanaokopa pia ni serikali kwa niaba ya Wananchi. Alipoelezea mambo haya ya madeni, alisema serikali inapokopa haiweki Bondi Wananchi. Kwa hiyo bado Dr. Mwigulu yuko sahihi.
 
Hii ya leo hakika bwana Waziri Nchemba ni zaidi ya utovu wa nidhamu kwa walipa kodi!

Unatoa wapi uthubutu wa kudai Serikali ndiyo hulipa madeni na si wananchi?!

Kwamba bila kodi ya wananchi Serikali bado ingeweza kulipa deni?!

Hii ni zaidi ya dharau kutoka kwa mtu aliyeshiba.

Ukweli ni kwamba kodi anayolipa Mwananchi ndiyo hulipa madeni.
Mzee utakuwa na matatizo ya akili siyo bure!! Unahitaji msaada ,haiwezekeni nyuzi zako zote ni kupinga kila kitu!!Roho mbaya,uchoyo,husuda,chuki,kiburi,majivuno,dharau,gubu n.k hivi vyote akiwa navyo mtu mmoja kama wewe ni hatari kwa afya!!!Tafuta tiba haraka sana!!!
 
Acha ujuajia kaka, serikali ni ya Wananchi. Wanaolipa Kodi ni serikali kwa niaba ya Wananchi. Wanaokopa pia ni serikali kwa niaba ya Wananchi. Alipoelezea mambo haya ya madeni, alisema serikali inapokopa haiweki Bondi Wananchi. Kwa hiyo bado Dr. Mwigulu yuko sahihi.
Mama amesema watalipa wanainchi
 
Acha ujuajia kaka, serikali ni ya Wananchi. Wanaolipa Kodi ni serikali kwa niaba ya Wananchi. Wanaokopa pia ni serikali kwa niaba ya Wananchi. Alipoelezea mambo haya ya madeni, alisema serikali inapokopa haiweki Bondi Wananchi. Kwa hiyo bado Dr. Mwigulu yuko sahihi.
Naongezea, Marekani wanapoletaga misaada yao iliyoandikwa "Kwa Msaada wa Watu wa America" hao watu ndio wanaletaga misaada au Serikali yao?
 
Hii ya leo hakika bwana Waziri Nchemba ni zaidi ya utovu wa nidhamu kwa walipa kodi!

Unatoa wapi uthubutu wa kudai Serikali ndiyo hulipa madeni na si wananchi?!

Kwamba bila kodi ya wananchi Serikali bado ingeweza kulipa deni?!

Hii ni zaidi ya dharau kutoka kwa mtu aliyeshiba.

Ukweli ni kwamba kodi anayolipa Mwananchi ndiyo hulipa madeni.
Zaidi ya 800bil za kodi hutumika kulipa madeni sasa izo ela si zinatoka kwa wananchi au kuna sehemu kuna kibubu wamevunja?
 
Back
Top Bottom