Ni aibu kubwa sana mwanaume kumuomba kazi mwanaume mwenzio

Shukuru Mungu sn wazazi wako walihenyeka wakatengeneza hicho unayoringia hapo leo. Usitudharau sisi tuliosomeshwa kwa vibarua. Kumbuka waajiri na waajiriwa tunategemeana
 
Ni kazi zipi unaongelea nisije nikaingia mkenge. maana vijana wa Camerun mna mbinu sana
 
Kwani kuna jinsia ngapi kuna mwanaume na mwanamke sasa akaombe wapi? Akili yake hapo ndipo ilipofikia, na wengine wanaomba kazi ili baadae akipata anachotaji afanye mchakato wa kuwa na kazi yake na yeye ataajiri watu..ina maana katika kazi zako wewe mtoa mada hujaajiri?
 
Wewe jamaa ni kilaza wa karne ya 21
 
Utaeleweka vizuri ukitoa tafsiri ya kazi kwako. Kwangu nilichoelewa katika post yako,kazi ni kutenda ili baada ya tendo ulipwe ujira. Kama ndivyo ulivyomaanisha,je watumishi wetu wa umma wa kada mbalimbali na sekta binafsi huoni kama utakuwa umewadhalilisha? Mfano ukiomba kazi kwenye kampuni,ni sawa na kuomba kwa mwanaume/mwanamke kwani kampuni ilianzishwa na mtu ambaye aliweka mifumo ya kumfanyia kazi.
 
Mkuu wewe umesahau ulienda kuomba kazi kwa jimama lenye VVU?

Boss wangu ananizidi miaka 7 na nasikia ana ngoma lakin anataka nimuoe
 
Nimejifunza kitu kutoka kwako.kwamba hujawahi kupata shida ya kukwama kila jambo la muhimu katika maisha yako.jipe muda
 
Nimejifunza kitu kutoka kwako.kwamba hujawahi kupata shida ya kukwama kila jambo la muhimu katika maisha yako.jipe muda
 
Ukiendekeza aibu utakuwa maskini to infinity
 
Kweli wewe boya..! So masela wasisaidiane..! Mpuuuzi wa mwaka wewe.
 
Aiseee..
 

Attachments

  • bitmoji-20170705112553.png
    13.8 KB · Views: 21
Upuuz haujawah kumuacha mtu salama kbsa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…