Ni aibu kurudi kijijini kila mwaka hujapiga hatua, Ni lazima utarudi mjini na hasira ya kuzisaka noti, kwenye ukoo unadharaulika kama huna pesa

Ni aibu kurudi kijijini kila mwaka hujapiga hatua, Ni lazima utarudi mjini na hasira ya kuzisaka noti, kwenye ukoo unadharaulika kama huna pesa

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Jamii nyingi hazina hii pressure, mnakutana kiukoo kwenye misiba na sherehe, Imeisha hio!!

Kwa upande mwengine sana kuna haka kautamaduni mnakutana wiki hadi mwezi kwa dhumuni la kujuliana hali, kutambulisha wanafamilia wapya, n.k. Na ole wako ukose sasa kwenda kijijini, kelele zinaanza unajitenga sana, kaa huko huko mjini, n.k.

Nyuma ya huu utamaduni huwa kuna kuchorana sana hali za kiuchumi, flani anamiliki nini, flani kaja na gari au treni, flani ana kazi gani, n.k.

Ni furaha kwa waliofanikiwa lakini huwa ni kizimba chamoto kwa wale ambao hali zao za kiuchumi zipo chini

Yaani unaangalia ndugu wote wenye rika mnalofanana wamerudi na mikoko wewe umekuja kwa lift, hizo stress zake zisikiage tu

Shoo inaanzia kwenye vikao, huwaga hakuna maneno mengi sana kama sijui nahsauri kitu flani, mnaonaje tujadili kitu flani, n.k. Yani huwa kuna vitendo tu, Kitu flani kifanyike kitahitajika kiasi flani, hapo ni pesa tu ndio huzungumziwa, usie na pesa unaweza kutamani ardhi ipasuke.

Mnapoona watu wamerudi mjini hawalali mpaka saa nane usiku ukigonga duka unaweza kuuziwa sigara mjue kwamba huko kijijini mambo ni faya
 
Hii inaitwa ukirudi mjini lala masaa mawili, masaa 22 piga kazi, mwakani urudi hata na vitz
 
Jamii nyingi hazina hii pressure, mnakutana kiukoo kwenye misiba na sherehe, Imeisha hio!!

Kwa upande mwengine sana kuna haka kautamaduni mnakutana wiki hadi mwezi kwa dhumuni la kujuliana hali, kutambulisha wanafamilia wapya, n.k. Na ole wako ukose sasa kwenda kijijini, kelele zinaanza unajitenga sana, kaa huko huko mjini, n.k.

Nyuma ya huu utamaduni huwa kuna kuchorana sana hali za kiuchumi, flani anamiliki nini, flani kaja na gari au treni, flani ana kazi gani, n.k.

Ni furaha kwa waliofanikiwa lakini huwa ni kizimba chamoto kwa wale ambao hali zao za kiuchumi zipo chini

Yaani unaangalia ndugu wote wenye rika mnalofanana wamerudi na mikoko wewe umekuja kwa lift, hizo stress zake zisikiage tu

Shoo inaanzia kwenye vikao, huwaga hakuna maneno mengi sana kama sijui nahsauri kitu flani, mnaonaje tujadili kitu flani, n.k. Yani huwa kuna vitendo tu, Kitu flani kifanyike kitahitajika kiasi flani, hapo ni pesa tu ndio huzungumziwa, usie na pesa unaweza kutamani ardhi ipasuke.

Mnapoona watu wamerudi mjini hawalali mpaka saa nane usiku ukigonga duka unaweza kuuziwa sigara mjue kwamba huko kijijini mambo ni faya
Mimi binafsi Hata kama sina kituo siwazi,waniseme ,wanidharau Ipo siku watakaa kimya ili mradi napambana nitatoboa tuu
 
Rudi umependeza halafu usijieleze sana, asijue mtu unafanya nini town.

Epuka jaribu la kutaka kutumia pesa uonekane una pesa ukirudi kwenu.

Infact punguza maelezo waache njiapanda, watajadili walichofanikiwa kukijua tu - kupendeza kwako.
 
Sifikirii Kama Gari ni achievement kubwa Kwa mtu kuifikia kwa sasa hivi .

Na mambo ya kwenda nyumbani Kama hamna sababu ya muhimu sioni Kama ni muhimu kwenda .

Simu tunawasliana na tunaonana vizuri

Mimi kwenda nyumbani kwetu Kwa ndege 300K Ila nina miaka 10 sijaenda na sitoenda hadi pale nitakapoona kuna umuhimu hasa msiba tu
 
Kama huna Hela unaenda kwenu kuwatia aibu tu wazee Kijijini.


Mimi home nauli 30,000 nenda Rudi lakini Bora niwatumie tu hiyo kuliko kwenda kuaibika.

Nikizipata nitaenda.
 
Jamii nyingi hazina hii pressure, mnakutana kiukoo kwenye misiba na sherehe, Imeisha hio!!

Kwa upande mwengine sana kuna haka kautamaduni mnakutana wiki hadi mwezi kwa dhumuni la kujuliana hali, kutambulisha wanafamilia wapya, n.k. Na ole wako ukose sasa kwenda kijijini, kelele zinaanza unajitenga sana, kaa huko huko mjini, n.k.

Nyuma ya huu utamaduni huwa kuna kuchorana sana hali za kiuchumi, flani anamiliki nini, flani kaja na gari au treni, flani ana kazi gani, n.k.

Ni furaha kwa waliofanikiwa lakini huwa ni kizimba chamoto kwa wale ambao hali zao za kiuchumi zipo chini

Yaani unaangalia ndugu wote wenye rika mnalofanana wamerudi na mikoko wewe umekuja kwa lift, hizo stress zake zisikiage tu

Shoo inaanzia kwenye vikao, huwaga hakuna maneno mengi sana kama sijui nahsauri kitu flani, mnaonaje tujadili kitu flani, n.k. Yani huwa kuna vitendo tu, Kitu flani kifanyike kitahitajika kiasi flani, hapo ni pesa tu ndio huzungumziwa, usie na pesa unaweza kutamani ardhi ipasuke.

Mnapoona watu wamerudi mjini hawalali mpaka saa nane usiku ukigonga duka unaweza kuuziwa sigara mjue kwamba huko kijijini mambo ni faya
Kama huna pesa unarudi kwenu kufanya nini!?
 
Back
Top Bottom