sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,639
- 5,767
Picha inayosambazwa mtandaoni ikidaiwa kua ni raisi mteule wa senegal enzi hizo akiwa shambani na mke wake.
Kwa akili ya wastani tu hata ukiwaangalia hawa ni qatu wawili tofauti.
Picha ya kijana anaelima ilitumwa mwaka 2021 katika ukurasa wa facebook wa Zambia report, post hiyo yenye picha tatu, utaona kabisa ni mtu tofauti na raisi.
Je kwenye social media post hakuna wahariri?
Kwenye media kubwa wanashindwa hata kufanya image search?
Hii ni aibu
Kwa akili ya wastani tu hata ukiwaangalia hawa ni qatu wawili tofauti.
Picha ya kijana anaelima ilitumwa mwaka 2021 katika ukurasa wa facebook wa Zambia report, post hiyo yenye picha tatu, utaona kabisa ni mtu tofauti na raisi.
Je kwenye social media post hakuna wahariri?
Kwenye media kubwa wanashindwa hata kufanya image search?
Hii ni aibu