Ni aibu kwa chombo cha habari kama Times FM kutuma taarifa za uongo

Ni aibu kwa chombo cha habari kama Times FM kutuma taarifa za uongo

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Picha inayosambazwa mtandaoni ikidaiwa kua ni raisi mteule wa senegal enzi hizo akiwa shambani na mke wake.
Screenshot_20240329-215733_Chrome.jpg


Kwa akili ya wastani tu hata ukiwaangalia hawa ni qatu wawili tofauti.
Picha ya kijana anaelima ilitumwa mwaka 2021 katika ukurasa wa facebook wa Zambia report, post hiyo yenye picha tatu, utaona kabisa ni mtu tofauti na raisi.

Screenshot_20240329-220652.png


Je kwenye social media post hakuna wahariri?
Kwenye media kubwa wanashindwa hata kufanya image search?

Hii ni aibu
 
Picha inayosambazwa mtandaoni ikidaiwa kua ni raisi mteule wa senegal enzi hizo akiwa shambani na mke wake.
View attachment 2948551

Kwa akili ya wastani tu hata ukiwaangalia hawa ni qatu wawili tofauti.
Picha ya kijana anaelima ilitumwa mwaka 2021 katika ukurasa wa facebook wa Zambia report, post hiyo yenye picha tatu, utaona kabisa ni mtu tofauti na raisi.

View attachment 2948566

Je kwenye social media post hakuna wahariri?
Kwenye media kubwa wanashindwa hata kufanya image search?

Hii ni aibu
Kwakwel ujinga Ni mzigo 😅😅😅
 
mi huwaga siwaelew kabsa times hasa wnapomtumia yule sjui anajiita dokta masharubu anaongea vtu vya uongo ilimrqd tu wapate trending
Hivi ana vyeti vya udaktari au ni kanjanja tuu? Na serikali nayo imekaa kimya tu
 
Siku hizi ukitaka habari funga safari kahoji wahusika ukingoja media utaletewa habari paka ameota mabawa waandishi hawana muda wa kutumia taaluma zao!
 
Hata mleta mada hajaleta tofauti za hizo picha.
Kwamba hapo unataka explanation gani tena? Post ya timea fm iko juu, chini ni post ya huyo jamaa wanaedai ndo raisi wa senegal, huoni kua ni watu wawili tofauti? Au huyo rais wa senegal humjui?
 
Kwamba hapo unataka explanation gani tena? Post ya timea fm iko juu, chini ni post ya huyo jamaa wanaedai ndo raisi wa senegal, huoni kua ni watu wawili tofauti? Au huyo rais wa senegal humjui?
Rais wa Senegal alikuja kwangu juzi!!
 
Waandishi wa habari wengi wamekosa weledi hata elimu zao magumashi sana
 
Back
Top Bottom