OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mbaya zaidi wameshindwa kujitofautisha na mashabikiWaandishi wa habari wengi wamekosa weledi hata elimu zao magumashi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbaya zaidi wameshindwa kujitofautisha na mashabikiWaandishi wa habari wengi wamekosa weledi hata elimu zao magumashi sana
Hivi ni vyombo vya habari exclusively kwa ma-house girls na watu wa uswazi yaani low life. Mtu unayejitambua mambo kama haya unajitafutia mwenye kwenye Internet.Picha inayosambazwa mtandaoni ikidaiwa kua ni raisi mteule wa senegal enzi hizo akiwa shambani na mke wake.
View attachment 2948551
Kwa akili ya wastani tu hata ukiwaangalia hawa ni qatu wawili tofauti.
Picha ya kijana anaelima ilitumwa mwaka 2021 katika ukurasa wa facebook wa Zambia report, post hiyo yenye picha tatu, utaona kabisa ni mtu tofauti na raisi.
View attachment 2948566
Je kwenye social media post hakuna wahariri?
Kwenye media kubwa wanashindwa hata kufanya image search?
Hii ni aibu
Sawa 😂😂😂😂😂😂Kwaiyo motivation ya uongo? Kweli wajinga wengi