OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
kama hujui kushirikisha ubongo wako uwe unasema ueleweshwe kwa hoja sio ku attack mtu sawa? Twende taratibu umbali wa kutoka kwenye mstari wa goli mpaka kwenye nyavu parpendicular distance ni cm 240, upana wa kioo cha smart phone yako ni cm 5.7 kwahiyo ukiona mpira umeingia kwa ndani ya goal kwa umbali wa cm 1.5 kutoka kwenye mstari wa nyavu hapo umeangalia kwa smartphone yako ni sawa na cm ngapi kwenye uwanja kwa vipimo halisi? Jibu swali bwana kashandeKaka ulisoma shule gani hujui hata centimita 30 inafananaje na upo humu??
HakikaYule refa anatakiwa kujengewa sanamu pale msimbazi......katuepusha na mengi sana ya aibu na masimango
Hizo 3ocm umizipatajeCamera zipo nyingi sana pia VAR haikutumika hata hiyo video iliyopo inaonyesha mpira ulivuka zaidi ya cm 30 kutoka kwenye goal line pengine labda wewe unavideo yako peke yako
Hesabu za wapi hizi ?kama hujui kushirikisha ubongo wako uwe unasema ueleweshwe kwa hoja sio ku attack mtu sawa? Twende taratibu umbali wa kutoka kwenye mstari wa goli mpaka kwenye nyavu parpendicular distance ni cm 240, upana wa kioo cha smart phone yako ni cm 5.7 kwahiyo ukiona mpira umeingia kwa ndani ya goal kwa umbali wa cm 1.5 kutoka kwenye mstari wa nyavu hapo umeangalia kwa smartphone yako ni sawa na cm ngapi kwenye uwanja kwa vipimo halisi? Jibu swali bwana kashande
Kama ingekuwa rahisi kama alivyoandika hapo, basi pasingekuwepo na haja ta goal line technologyHesabu za wapi hizi ?
unazijua hesabu za kutafuta umbali kwenye ramani kwa kutumia uzi na rula zile mlifundishwa form three? Unajua maana ya scale? Viwango standards kutoka kwenye mstari wa goli la mamelod hadi kwenye nyavu ni 2.4metre sawa na 240cm hivyo kwa mkapa hivyo hivyo old traford ni standard, smart phone nyingi zina width ya 5.7cm .. Kwa ile video mpira ulivuka mstari kwa kutumia simu yako pima umbali kwa macho au rula kisha kadiria ni milimetre ngapi kisha zigeuze ktk cm then piga hesabu.. Wengi mnashangaa kwa sababu mlikuwa mkifundishwa darasani mnasema zinatusaidiaje kwenye maisha ? Hasa hasa zile hesabu za umri za shule ya msingi ungekuwa unazijua kila kitu nmekuwekea ungekua ushaelewaHesabu za wapi hizi ?
unaweza kutuelezea mechanism behind hiyo technology? Kwa taarifa yako hiyo techoology inatumia hesabu kama calculator na haituzii sisi kuchambua kwa kutumia manual method wewe unadhani hiyo technology inasimama pembeni ya kipa?Kama ingekuwa rahisi kama alivyoandika hapo, basi pasingekuwepo na haja ta goal line technology
soma post kuanzia namba 61 kushuka chiniHizo 3ocm umizipataje
Acha mambo ya uongo uongounazijua hesabu za kutafuta umbali kwenye ramani kwa kutumia uzi na rula zile mlifundishwa form three? Unajua maana ya scale? Viwango standards kutoka kwenye mstari wa goli la mamelod hadi kwenye nyavu ni 2.4metre sawa na 240cm hivyo kwa mkapa hivyo hivyo old traford ni standard, smart phone nyingi zina width ya 5.7cm .. Kwa ile video mpira ulivuka mstari kwa kutumia simu yako pima umbali kwa macho au rula kisha kadiria ni milimetre ngapi kisha zigeuze ktk cm then piga hesabu.. Wengi mnashangaa kwa sababu mlikuwa mkifundishwa darasani mnasema zinatusaidiaje kwenye maisha ? Hasa hasa zile hesabu za umri za shule ya msingi ungekuwa unazijua kila kitu nmekuwekea ungekua ushaelewa
unajua definition ya mathematics ni nini? Haya onyesha uongo ulipo!Acha mambo ya uongo uongo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa mamlaka niliyokuwa nayo nimeamua lile ni goli......[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Asante sana refa......umetunguzia kero kubwa Sana hapa mjini.,...
Poleeeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni mbumbumbu pekee atakataa na kuona lile siyo goli
Error 404unajua definition ya mathematics ni nini? Haya onyesha uongo ulipo!
unajua daana ya error and dimension?Error 404
Hiyo ni system error sio hizo unazofundisha darasaniunajua daana ya error and dimension?
Wako sahihiAngalia hiyo
kama hujui kushirikisha ubongo wako uwe unasema ueleweshwe kwa hoja sio ku attack mtu sawa? Twende taratibu umbali wa kutoka kwenye mstari wa goli mpaka kwenye nyavu parpendicular distance ni cm 240, upana wa kioo cha smart phone yako ni cm 5.7 kwahiyo ukiona mpira umeingia kwa ndani ya goal kwa umbali wa cm 1.5 kutoka kwenye mstari wa nyavu hapo umeangalia kwa smartphone yako ni sawa na cm ngapi kwenye uwanja kwa vipimo halisi? Jibu swali bwana kashande