Pumbavu ,mnajaza servers Tu humu kwa mada zenu za kipumbavu na ushabiki maandazi wa timu zenu za misukule hizo simba na yanga
Mnashindwa kujadili mambo ya muhimu yanayogusa nchi na maisha ya watu ,mnakesha kuzungumzia mavi
Ndio maana ccm inaendelea kutawala taifa la misukule na wapumbavu hili miaka na miaka .
Vichwa vikubwa akili kamasi .
Stupid kabisa
chukua hiyo hiyo unayotumia ipime upana kisha rejea video angalia distance kwa kutumia simu yako uliingia kwa milimetre ngapi kisha piga hesabuWalimu wote wa Mathee mtusamehe bado kwenye mathee hatujafika popote...! Si mnaona jinsi tunavyojadiliana? Tupo kama mazuzu.!
Smartphone ipi...kishikwambi au ?
Yaani huyu, hata Ubunge hakustahili. Ni mambo ya JPM, kutaka ku 'balansi' ,eti, kule kuna SUGU, nasi tuna Mwana………..!Yule Naibu Wazir naye kiaziiii hajui hata Diplomacy anaropoka kama anaimba taarabu tuu. Kuna namna ya kuongea kama Kiongozi siyo anatanguliza mihemko na ushabiki mwishowe wanaharibu.
😆😆😆Walimu wote wa Mathee mtusamehe bado kwenye mathee hatujafika popote...! Si mnaona jinsi tunavyojadiliana? Tupo kama mazuzu.!
Smartphone ipi...kishikwambi au ?
AiseeYaani huyu, hata Ubunge hakustahili. Ni mambo ya JPM, kutaka ku 'balansi' ,eti, kule kuna SUGU, nasi tuna Mwana………..!
Wapo wanaobisha kwasababu goli ni la Yanga.Wako sahihi
Umalaya si kujiuza tu kama hivi ufanyavyo hapa!Mpira ni kitu cha Duara hivyo unapotua chini ni sehemu ndogo tu ya mpira inagusa ardhi sehemu kubwa inakuwa hewani .
Kwa maana nyingine ukiwa upande mmoja unaweza ona mpira umevuka lakini ukiangalia kutoka juu ukawa bado haujavuka wote .
Na kwa maana rahisi ni kwamba VAR pia haiwezi kuwa sahihi sana pia ila ni GOAL LINE TECHNOLOGY tu ndio yenye uhakika kwa hapa .
Waziri, Wachambuzi wameconclude moja moja kuwa ni Goli
Yanga nao kwa haraka haraka wamejirizisha ni goal kwa kutumia video na image chache tu
Kulingana na Experts wa VAR Jerome Damon ..“Without GLT (Goal line technology) it’s impossible for VAR to say goal or no goal – one can speculate either way but cannot be 100% sure,” .
Hapa tumekosa
1.Goal line technology kitu ambacho ni muhimu
2.hatuna hata videos ambazo zinaonesha mpira katika pembe tofauti tofauti
View attachment 2956186
Hapa video ya juu ina angle tofauti inaonesha mpira vizuri goli letu halina
View attachment 2956187
Hapa technology imetumika
Na ni bora siasa isiingilie Mpira
You're rightUmalaya si kujiuza tu kama hivi ufanyavyo hapa!