Ni aibu kwa Media, Waziri na Wachambuzi wa Michezo kutoa maamuzi Goli la Yanga bila kujiridhisha

Ni aibu kwa Media, Waziri na Wachambuzi wa Michezo kutoa maamuzi Goli la Yanga bila kujiridhisha

Pumbavu ,mnajaza servers Tu humu kwa mada zenu za kipumbavu na ushabiki maandazi wa timu zenu za misukule hizo simba na yanga

Mnashindwa kujadili mambo ya muhimu yanayogusa nchi na maisha ya watu ,mnakesha kuzungumzia mavi

Ndio maana ccm inaendelea kutawala taifa la misukule na wapumbavu hili miaka na miaka .
Vichwa vikubwa akili kamasi .

Stupid kabisa

Jitahidi watu wasijue kama huna akili
 
Walimu wote wa Mathee mtusamehe bado kwenye mathee hatujafika popote...! Si mnaona jinsi tunavyojadiliana? Tupo kama mazuzu.!

Smartphone ipi...kishikwambi au ?
chukua hiyo hiyo unayotumia ipime upana kisha rejea video angalia distance kwa kutumia simu yako uliingia kwa milimetre ngapi kisha piga hesabu
 
Yule Naibu Wazir naye kiaziiii hajui hata Diplomacy anaropoka kama anaimba taarabu tuu. Kuna namna ya kuongea kama Kiongozi siyo anatanguliza mihemko na ushabiki mwishowe wanaharibu.
Yaani huyu, hata Ubunge hakustahili. Ni mambo ya JPM, kutaka ku 'balansi' ,eti, kule kuna SUGU, nasi tuna Mwana………..!
 
Mpira ni kitu cha Duara hivyo unapotua chini ni sehemu ndogo tu ya mpira inagusa ardhi sehemu kubwa inakuwa hewani .

Kwa maana nyingine ukiwa upande mmoja unaweza ona mpira umevuka lakini ukiangalia kutoka juu ukawa bado haujavuka wote .

Na kwa maana rahisi ni kwamba VAR pia haiwezi kuwa sahihi sana pia ila ni GOAL LINE TECHNOLOGY tu ndio yenye uhakika kwa hapa .

Waziri, Wachambuzi wameconclude moja moja kuwa ni Goli

Yanga nao kwa haraka haraka wamejirizisha ni goal kwa kutumia video na image chache tu

Kulingana na Experts wa VAR Jerome Damon ..“Without GLT (Goal line technology) it’s impossible for VAR to say goal or no goal – one can speculate either way but cannot be 100% sure,” .

Hapa tumekosa
1.Goal line technology kitu ambacho ni muhimu
2.hatuna hata videos ambazo zinaonesha mpira katika pembe tofauti tofauti
View attachment 2956186
Hapa video ya juu ina angle tofauti inaonesha mpira vizuri goli letu halina

View attachment 2956187
Hapa technology imetumika
Na ni bora siasa isiingilie Mpira​
Umalaya si kujiuza tu kama hivi ufanyavyo hapa!
 
ALIYEKATAA BAO LA YANGA AITWA FIFA.

Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) limemteua refa Beida Dahane aliyechezesha mechi ya Mamelodi na Yanga, Ijumaa iliyopita kuchezesha mechi za soka za mashindano ya Olimpiki itakayofanyika Ufaransa kuanzia Julai 26 hadi Agosti 11, mwaka huu.

Dahane (32) ni miongoni mwa marefa 12 kutoka Afrika ambao wamepata fursa hiyo huku kiujumla wakiteuliwa marefa 89 kutoka nchi tofauti duniani.

Marefa kutoka Afrika walioteuliwa kuchezesha Olimpiki mwaka huu ni walioteuliwa kuchezesha michezo ya Olimpiki mwaka huu ni Karboubi Bouchraw wa Morocco, Mahmood Ismail(Sudan), Diana Chkotesha(Zambia), Fatiha Jermoumi(Morocco), Elvis Noupue (Cameroon), Stephen Yiembe.(Kenya), Mahmoud Ashour (Misri), Lahlou Benbraham (Algeria), Ahmed Abdoulrazack (Djibouti), Emiliano Dos Santos (Angola) na Shamirah Nabadda Uganda).

Ijumaa iliyopita Dahane alizua mjadala baada ya kukataa bao la kiungo wa Yanga, Stephane Aziz Ki ambalo kwa mujibu wa baadhi ya picha za video na za mnato, mpira ulivuka wote mstari wa goli ingawa kwa uamuzi wa refa, haukuvuka wote.

Katika mchezo huo Yanga iliondolewa kwenye hatua ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa penalti 3-2.
 
Back
Top Bottom