Ni aibu lakini hakuna jinsi

Ni aibu lakini hakuna jinsi

Huyo Hilda ana vielement vya kutaka kupewa na huko nyuma, that's a good sign kwa jamaa kama nae ni mpenzi wa kuruka ukuta.

Lakini kama unampenda bidada ni lazima utaumia, kuwa umeingia kwa mtu ambaye mapenzi yake na yako, style zake na zako na vionjo vyenu vipo tofauti.
Mhh sijui kama kabila zao zinaruhus mchezo huu
 
Hakujua kama ni jike la nyani
Usiseme hakujua. Wanawake waliowengi hasa mnapoanza mahusiano huwa wanakuwa na vijitabia au vitendo vya kijingajinga vya kujaribu ili aijue tabia yako halisi au aweze kukuteka kiakili..
Sasa anapovionyesha hivyo vitabia naww unamuangalia tu bila kuvikemea ndio hapo baadae inakuletea shida.

Hapo mwambie huyo jamaa akae na huyo mchumba wake kwanza amuulize kwann anapenda kumfanyia hicho kitendo halafu akishayapata majibu ndip ampe ukweli kwamba hapendi huo mchezo na endapo atauendeleza unaweza kuvunja mapenzi yao...
 
Sioni cha kumfanya awe mnyonge hapo, kama kweli jambo hilo linampa tabu si aachane nae tu. Niliwahi kuwa na girlfriend kabla sijaingia kwenye ndoa, akawa anapenda sana kuangalia sinema za ngono- sikumkopesha aiseee, nilimwambia tu ukweli sipendezwi na tabia ile na tukavunja mahusiano. Sasa huyo wa kutiwa dole mkunduni na bado anajishaua shaua huyo duuh hapana kwakweli
 
Rob kazoea kutiwa icho kidole usishangae hata huyo mchumba kaambiwa iyo habari kama jamaa ukipachika finger anaridhia ndio maana
Mwanume wa ukweli ukucha haupiti na utapambana sikwambii atiwe dole na liingie lots halafu awe kanyamaza eti alijua kakosea mwambie mshikaji wako ajikaze mwisho atashindwa kukojoa adi aingizwe dole la tack core ajikaze aache ungese
 
Usiseme hakujua. Wanawake waliowengi hasa mnapoanza mahusiano huwa wanakuwa na vijitabia au vitendo vya kijingajinga vya kujaribu ili aijue tabia yako halisi au aweze kukuteka kiakili..
Sasa anapovionyesha hivyo vitabia naww unamuangalia tu bila kuvikemea ndio hapo baadae inakuletea shida.

Hapo mwambie huyo jamaa akae na huyo mchumba wake kwanza amuulize kwann anapenda kumfanyia hicho kitendo halafu akishayapata majibu ndip ampe ukweli kwamba hapendi huo mchezo na endapo atauendeleza unaweza kuvunja mapenzi yao...
Nimekusoma mkuu ujumbe ataupata
 
Rob kazoea kutiwa icho kidole usishangae hata huyo mchumba kaambiwa iyo habari kama jamaa ukipachika finger anaridhia ndio maana
Mwanume wa ukweli ukucha haupiti na utapambana sikwambii atiwe dole na liingie lots halafu awe kanyamaza eti alijua kakosea mwambie mshikaji wako ajikaze mwisho atashindwa kukojoa adi aingizwe dole la tack core ajikaze aache ungese
Ujumbe umefika
 
Rob kazoea kutiwa icho kidole usishangae hata huyo mchumba kaambiwa iyo habari kama jamaa ukipachika finger anaridhia ndio maana
Mwanume wa ukweli ukucha haupiti na utapambana sikwambii atiwe dole na liingie lots halafu awe kanyamaza eti alijua kakosea mwambie mshikaji wako ajikaze mwisho atashindwa kukojoa adi aingizwe dole la tack core ajikaze aache ungese
Et dole la Tack Core hahahahahahah
 
Hahahah Huyo Roberto akifanya masihala atageuzwa choko. Aache umbululaa hivi mwanaume mwenye pesa na kujimudu vyema unaendeshwaje na fara mmoja wa kike!

Mi nimevumilia ushenzi mwingi wa mademu kwa maana nilikuwa sina kisu ila nilipokipata ni ultimatum tu!

Nauenzi msimamo wa baba yangu, kamanda ni mmoja tu mjengoni ambaye ni yeye.Boya mwingine yeyote kama hataki order zake apite hivi.!!!
 
Hakuna mtu anayeweza kumuambia rafiki yake upuuzi kama huu kama ni kweli.

Huyo Jamaa atakuwa ni shoga anataka umle tigo na ukizingatia Katoka Marekani basi sishangai kuhisi hivyo.

Wanaume wengi kutoka ughaibuni hasa Marekani huwa na mambo hayo.

Ungemjaribu Kwa kumuambia embu nione kama kweli amekuweka kidole. Then na wewe umuweke uone kama hata taka umfanye.

Mambo mengine muwe mnajiongeza. Jamaa yako ni shoga aiseee!

Hivi mwanamke anawezaje hata kufikiri kuhusu Jambo hilo Kwa mwanaume halisi.
 
Aisee ameshindwa kuongea na huyo mwanamke wake.? Hivi wanaume mpojeee
Wala hakuna kitu kama hicho mkuu. Huyo Jamaa hafanywi na mchumba wake wala nini, ila anataka kumpa mleta mada tigo. Au mleta mada anapenda kuliwa au Kula tigo au yote mawili.

Huyo mwanamke kwenye stori hii amewekwa kama kipoteza uhalisia. Kwa watu wenye intelejensia ya maandishi tumemuelewa
 
duh labda hilda anamstua robert kuwa ampeleke chooni maana cyo kwa midole hiyo loh
 
Wala hakuna kitu kama hicho mkuu. Huyo Jamaa hafanywi na mchumba wake wala nini, ila anataka kumpa mleta mada tigo. Au mleta mada anapenda kuliwa au Kula tigo au yote mawili.

Huyo mwanamke kwenye stori hii amewekwa kama kipoteza uhalisia. Kwa watu wenye intelejensia ya maandishi tumemuelewa
Aiseee so anatafuta basha
 
Back
Top Bottom