Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,368
- 7,935
akimbinu mbunu,amembunu bunu πππππ unenifanya nicheke mkuu kula replyπππMsomi unayemsemea wewe akimbinu mbuni yake nzuri mtaji utampa wewe mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akimbinu mbunu,amembunu bunu πππππ unenifanya nicheke mkuu kula replyπππMsomi unayemsemea wewe akimbinu mbuni yake nzuri mtaji utampa wewe mkuu?
Unafanya biashara gani mkuu!Umenigusa. Nafanya biashara ambayo hata asiesoma anaweza kufanya. Ila jinsi ninavyoifanya mimi na hao wengine ni tofauti kabisa jambo linalofanya nipate wateja wa kudumu kirahisi sana, kwa sababu wateja wengi wa biashara yangu ni wasomi hivyo wanakuwa na amani ku-deal na mtu wanaeongea nae lugha moja.
Ni vigumu sana kufanya jambo jipya ila unaweza kufanya kitu kile kile wanachofanya wengine kwa namna tofauti na bora zaidi,utafanikiwa. Bottom line kinachotakiwa ni kipato kizuri kama biashara ni halali hamna ubaya. Mentality kama hii unayoizungumzia ndio inawagharimu wasomi wengi na kubaki walipo kwasababu wanaona watu kama wewe mtawaonaje.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Noma sanaakimbinu mbunu,amembunu bunu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unenifanya nicheke mkuu kula reply[emoji23][emoji23][emoji23]
Orodhesha idea zako tano, 'solid', unazofikiria kuzianzisha ili kuhamasisha wahusika. Au wewe siyo 'mwenye digrii'?Embu tuacheni Idea za Ajabu, sijui kulima tikiti, sijui juisi ya Muwa, tuje na Idea solid ambayo asilimia kubwa inakuwa ni service business na sio manufacturing ambazo asilimia kubwa ni hasara tu.
Hahaha acha tubuni mbunu ya kutoka kimaisha tuwe na pesa mingi.akimbinu mbunu,amembunu bunu πππππ unenifanya nicheke mkuu kula replyπππ
Mkuu umeulizwa wewe ni mfanyabiashara?Watu wasomi, gena wa fani za ukulima,
nina wajua,
wanalima miaka 10 sasa,
hakuna jipya Zaidi ya kufanya katika mfumo huu huu wa udalali
Lazima ichome tu mkuu,wasomi kama wakina Prof. Palamagam.. wanakana misimamo yao ili mkono uende kinywani wkt tulitegemea kuwaona wana Law firm kubwa kubwa,lazima mada ichome tu.Hii mada inachoma haswa
Umetoa changamoto nzuri lakini ya kukandia wajasiriamali wadogo. Mtu anaweza kuwekeza kwenye hivyo vitu unavyoviona wewe vya ovyo na akatoka sana kimaisha kushinda wewe na elimu yako na mawazo makubwa makubwa! Kazi ya elimu ni pamoja na kukuwezesha kuboresha hali ya chini ya maisha/utendaji kuwa wa hali bora zaidi. Hivyo mkulima wa matikiti akiwekeza na kulima kitaalam anaweza kufika mbali sana kiuchumi na anaweza hata kulenga masoko ya nje ya nchi kwa vile atakuwa na elimu na ufahamu mpana zaidi wa kidunia.Wasomi Vijana, mliosoma elimu kubwa za madigrii na Masta tumekosa ubunifu hakika.
Yashangaza sana, Kijana umesoma IT, Umesoma Engeneering, Uhasibu eti unakuja Mtaani unawaza Kufunga Banda la Chips, sijui Kulima matikiti mara duka la vipodozi ni aibu kubwa.
Haiwezekani, Msomi elie elimika unashindwa kuja na mawazo mbadala ya kusaidia Jamii, kuja na mawazo mapya, kuja na Idea za kisomi, mwishoe umepata ajira unachukua mkopo alafu unawaza kufungua duka la Nguo???
Kibaya sio kufanya biashara hizo hapo nilizosema, kinachosikitisha ni kwamba unazifanya biashara hizo kama mtu ambae hajasoma, hakuna kipya wala ubunifu yani ni vuluvulu tu.
Mimi nashangaa sana, Msomi mzima unawekeza milioni 20 kwenye duka la nguo kama la Mangi ambae kaishia la saba na unaifanya biashara hiyo kama yeye?
Nimeikubali Idea ya Benjamin Fernandez, yule jamaa aliyemaliza Stanford university, kaja na Idea ambayo zilikuwepo lakini kaboresha kidogo na sasa ni mwendo wa kupiga pesa tu.
Embu tuacheni Idea za Ajabu, sijui kulima tikiti, sijui juisi ya Muwa, tuje na Idea solid ambayo asilimia kubwa inakuwa ni service business na sio manufacturing ambazo asilimia kubwa ni hasara tu.
Nakaribisha majadiliano,
Nani kakuambia mtu na elimu yako hutakiwi kuuza juisi ya miwa?Hakika mkuu,
Ila inashangaza mtu na elimu yako,
umekopa mkopo bank, alafu unaenda fungua juisi ya miwa kama mpemba wa ilala,
mazingira ya kizwasi, yani vuluvulu
ela ndio nini?Aisee,
Watu wana ela ila hawajui pakuziweka,
kwa mtu ambae ni mjasiriamali na anapenda kufanya hivyo,
akiwa na idea iliyosimama ela zipo mkuu,
watu wanaandika pepa, wanashindanisha idea, wanazipeleka kwa masponser na ena zinamwagaa.
hao akina Zurckeberg na bill Gates hawakuwa na ela, bali walifanya watu wakaona na wakaeka ela
Kweli kabisa.....Hizi tuhuma za wasomi wetu na kufanya mambo ya kawaida ungeanzia, kwanza kwa walimu wao maprofesa na madakta, wanaochukulia siasa kama sehemu ya kutokea. Hawa nao wamekosa creativity!.....kuhusu vijana kuja mezani na idea zilezile inategemea na exposure na kijana husika. Chukulia mathalani kijana familia bora 'kabukua' huko stanford, tayari anakuwa mawazo ya juu zaidi. Huyu hata wazazi wake wanaweza kumsapoti kifedha, ingawa yeye ana idea. Sasa mwenzangu namie kasoma huku hela, ya mkopo anawaza kuwasaidia wazazi, ataweza kuwaza zaidi yamradi wa kufuga kuku...?
Ukweli ila kuna mamburula yatapinga tu