GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
gentamycine kuna mdada anakutafuta ni wiki sasa humu Jf , anataka kukuona face to face.Mmetuaibisha mno Wanaume Wenzenu na kuna Mbunge wa Kiume Mmoja aliamua kabisa Kuvua Viatu vyake huku akivishika Mkononi na Kukimbia peku na akipiga Yowe kutoka nje.
Wabunge wa Kike wakiongozwa na Spika wa Bunge walikuwa Watulivu hata wakati Wanatoka Bungeni.
Nashukuru huyu Mbunge si wa Mara.
Unapotaja sijui siyo wa wapi unachemsha..!!Mmetuaibisha mno Wanaume Wenzenu na kuna Mbunge wa Kiume Mmoja aliamua kabisa Kuvua Viatu vyake huku akivishika Mkononi na Kukimbia peku na akipiga Yowe kutoka nje.
Wabunge wa Kike wakiongozwa na Spika wa Bunge walikuwa Watulivu hata wakati Wanatoka Bungeni.
Nashukuru huyu Mbunge si wa Mara.
Kumbe umeleta uzi wa wa kupona uoga wa wabunge wanaume huku ukisifia wabunge wanawake.Wabunge wa Kike wakiongozwa na Spika wa Bunge walikuwa Watulivu hata wakati Wanatoka Bungeni.
Kiongozi kama huna jipya acha uzi wa mwenzako kuliko tuandika huu uharoIla mada zako Huwa hazina tofauti na mpwayunngu [emoji16][emoji16]
kifo hakina jinsia wewe jamaa!!!,wewe unafikiri ukifa utapaje UTI{ITIAI}, UTI inapatikana kupitia shoo,,,,,,ukiacha hili,ina maana haujui wanawake wana roho ngumu kuliko wanaume????? nenda china ukaabidili jinsia alaf ubebeb mimba miezi 9 then baada kuingiziwa uume kila siku,siku ukipumzika ni kwamba unableed,,,,then uingie leba ndo utajua kwa wabunge wa kike walitoka kishkaji,,,,sisi wanaume hatuna roho ngumu ata kidogoMmetuaibisha mno Wanaume Wenzenu na kuna Mbunge wa Kiume Mmoja aliamua kabisa Kuvua Viatu vyake huku akivishika Mkononi na Kukimbia peku na akipiga Yowe kutoka nje.
Wabunge wa Kike wakiongozwa na Spika wa Bunge walikuwa Watulivu hata wakati Wanatoka Bungeni.
Nashukuru huyu Mbunge si wa Mara.
Kumetokea nin huko???Mmetuaibisha mno Wanaume Wenzenu na kuna Mbunge wa Kiume Mmoja aliamua kabisa Kuvua Viatu vyake huku akivishika Mkononi na Kukimbia peku na akipiga Yowe kutoka nje.
Wabunge wa Kike wakiongozwa na Spika wa Bunge walikuwa Watulivu hata wakati Wanatoka Bungeni.
Nashukuru huyu Mbunge si wa Mara.
Anazibua Choo?gentamycine kuna mdada anakutafuta ni wiki sasa humu Jf , anataka kukuona face to face.
Mbona umepiga kimya umeibukia huku.